Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Familia za vijana kutoka Mathare na Huruma zimefika hadi Bungeni kudai majibu kuhusu wapendwa wao waliotoweka katika mazingira yasiyoeleweka. Juni 18, 2026: Joel Kariuki Mwai, mfanyabiashara na...
0 Reactions
0 Replies
56 Views
Wakazi wa Mathare wameandamana wakitaka haki na uchunguzi wa kina kufuatia kifo cha kijana Eric, ambaye familia yake inasema alijeruhiwa akiwa katika seli za polisi. Kulingana na taarifa iliyo...
0 Reactions
0 Replies
83 Views
Ndoto ya watoto wa Uasin Gishu kusoma Finland na Canada imegeuka kuwa kilio kwa wazazi waliolipa mamilioni ya fedha kupitia mpango wa masomo wa kaunti. Baadhi ya wanafunzi walifika Finland lakini...
0 Reactions
1 Replies
92 Views
Ukarabati unaoendelea kwenye Barabara ya Kasarani–Mwiki umeibua maoni tofauti kutoka kwa wakazi, huku wengi wakitaka serikali kuweka kipaumbele katika kutengeneza barabara yenyewe kabla ya...
0 Reactions
0 Replies
73 Views
Mzozo wa kifedha unaohusisha First Assurance Investment Company Limited umegeuka kuwa kesi kubwa ya jinai baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP) kuwafungulia mashtaka Wakurugenzi Wakuu wa...
0 Reactions
0 Replies
54 Views
Hali ya barabara katika baadhi ya sehemu za Mathare North imeibua maswali kuhusu kasi ya utoaji wa huduma kwa wananchi, huku wakazi wakisema baadhi ya barabara zimekuwa katika hali mbaya kwa...
0 Reactions
0 Replies
90 Views
MUST READ Misbehaving in Dar es Salaam: A Kenyan journalist’s experience in Tanzania Last week, I took a trip from my work routine at Pulse Live Kenya to cool off in Tanzania. A close friend has...
13 Reactions
17 Replies
3K Views
Mradi wa Kituo cha Mabasi cha Green Park, ambao hapo awali ulipigiwa debe kuwa ungebadilisha hali na kupunguza msongamano CBD, unadaiwa kusimamiwa na kuendeshwa na watu wenye uhusiano na viongozi...
0 Reactions
0 Replies
79 Views
Kenya imeibuka kuwa moja ya nchi zinazolengwa zaidi na wahalifu wa mtandaoni Afrika Mashariki, huku ongezeko la utumiaji wa huduma za kidijitali na pesa kupitia simu likiwaacha mamilioni ya...
1 Reactions
0 Replies
81 Views
Kenya imelipa takriban Shilingi bilioni 7.7 kama ada za kujitolea (commitment fees) kwa mikopo ya kigeni ambayo haikutumika kati ya mwaka wa fedha 2020/21 na 2024/25, kulingana na ripoti za...
0 Reactions
0 Replies
79 Views
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), Erastus Ethekon, amesema tume haiwezi kuendesha uchaguzi katika mazingira yaliyojaa chuki, uchochezi, mgawanyiko na vurugu, huku akitoa wito...
0 Reactions
0 Replies
72 Views
Garissa Referral Hospital imekanusha madai yaliyosambaa kwenye video ya viral kwamba kukatika kwa umeme kuliacha wagonjwa wa ICU na vitengo vingine muhimu bila huduma ya umeme kwa sababu ya...
1 Reactions
2 Replies
230 Views
Mpango wa Vision 2060 umeendelea kuzua mjadala nchini baada ya Rais William Ruto kuuzungumzia wakati wa mkutano na wanahabari, akisema utakuwa dira ya maendeleo ya muda mrefu ya Kenya baada ya...
0 Reactions
0 Replies
248 Views
Je, kukamatwa kwa viongozi wa kisiasa baada ya kutoa matamshi ya hadharani ni utekelezaji wa sheria bila upendeleo, au kunaweza kuibua maswali kuhusu uhuru wa kisiasa na uhuru wa kujieleza...
0 Reactions
3 Replies
145 Views
Mchakato wa kuwa jaji nchini Kenya unasimamiwa na Tume ya Huduma za Mahakama (JSC) kulingana na Katiba ya mwaka 2010. Hatua kuu zinahusisha utangazaji wa nafasi wazi, maombi ya umma, mchujo...
3 Reactions
5 Replies
139 Views
Mwalimu mmoja wa Naivasha ameripotiwa kufariki kwa kujitoa uhai katika tukio linalodaiwa kuhusishwa na kupoteza Sh40,000 kupitia kamari ya michezo. Kwa mujibu wa Mkuu wa Upelelezi wa Jinai (DCIO)...
2 Reactions
9 Replies
175 Views
  • Featured
Wakazi wa sehemu ya Mathare North wameendelea kulalamikia kukosekana kwa umeme tangu Ijumaa iliyopita, wakisema hali hiyo imeathiri maisha yao ya kila siku huku juhudi za kurejesha huduma...
3 Reactions
7 Replies
463 Views
Starting from upcoming Msalato International Airport
25 Reactions
2K Replies
142K Views
Aliyekuwa mwenyekiti wa kwanza wa Mamlaka Huru ya Kusimamia Utendakazi wa Polisi (IPOA), Macharia Njeru, amedai kuwa Rais William Ruto aliwaita viongozi wa IPOA katika Ikulu na kutoa matamshi...
0 Reactions
0 Replies
90 Views
Seneta wa Makueni, Daniel Maanzo, amedai kuwa baadhi ya maseneta walipewa hongo ili kuunga mkono hoja ya kumwondoa aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua madarakani. Akizungumza katika mkutano wa...
0 Reactions
0 Replies
96 Views
Back
Top Bottom