Familia za vijana kutoka Mathare na Huruma zimefika hadi Bungeni kudai majibu kuhusu wapendwa wao waliotoweka katika mazingira yasiyoeleweka.
Juni 18, 2026: Joel Kariuki Mwai, mfanyabiashara na...
Wakazi wa Mathare wameandamana wakitaka haki na uchunguzi wa kina kufuatia kifo cha kijana Eric, ambaye familia yake inasema alijeruhiwa akiwa katika seli za polisi.
Kulingana na taarifa iliyo...
Ndoto ya watoto wa Uasin Gishu kusoma Finland na Canada imegeuka kuwa kilio kwa wazazi waliolipa mamilioni ya fedha kupitia mpango wa masomo wa kaunti.
Baadhi ya wanafunzi walifika Finland lakini...
Ukarabati unaoendelea kwenye Barabara ya Kasarani–Mwiki umeibua maoni tofauti kutoka kwa wakazi, huku wengi wakitaka serikali kuweka kipaumbele katika kutengeneza barabara yenyewe kabla ya...
Mzozo wa kifedha unaohusisha First Assurance Investment Company Limited umegeuka kuwa kesi kubwa ya jinai baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP) kuwafungulia mashtaka Wakurugenzi Wakuu wa...
Hali ya barabara katika baadhi ya sehemu za Mathare North imeibua maswali kuhusu kasi ya utoaji wa huduma kwa wananchi, huku wakazi wakisema baadhi ya barabara zimekuwa katika hali mbaya kwa...
MUST READ
Misbehaving in Dar es Salaam: A Kenyan journalist’s experience in Tanzania
Last week, I took a trip from my work routine at Pulse Live Kenya to cool off in Tanzania.
A close friend has...
Mradi wa Kituo cha Mabasi cha Green Park, ambao hapo awali ulipigiwa debe kuwa ungebadilisha hali na kupunguza msongamano CBD, unadaiwa kusimamiwa na kuendeshwa na watu wenye uhusiano na viongozi...
Kenya imeibuka kuwa moja ya nchi zinazolengwa zaidi na wahalifu wa mtandaoni Afrika Mashariki, huku ongezeko la utumiaji wa huduma za kidijitali na pesa kupitia simu likiwaacha mamilioni ya...
Kenya imelipa takriban Shilingi bilioni 7.7 kama ada za kujitolea (commitment fees) kwa mikopo ya kigeni ambayo haikutumika kati ya mwaka wa fedha 2020/21 na 2024/25, kulingana na ripoti za...
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), Erastus Ethekon, amesema tume haiwezi kuendesha uchaguzi katika mazingira yaliyojaa chuki, uchochezi, mgawanyiko na vurugu, huku akitoa wito...
Garissa Referral Hospital imekanusha madai yaliyosambaa kwenye video ya viral kwamba kukatika kwa umeme kuliacha wagonjwa wa ICU na vitengo vingine muhimu bila huduma ya umeme kwa sababu ya...
Mpango wa Vision 2060 umeendelea kuzua mjadala nchini baada ya Rais William Ruto kuuzungumzia wakati wa mkutano na wanahabari, akisema utakuwa dira ya maendeleo ya muda mrefu ya Kenya baada ya...
Je, kukamatwa kwa viongozi wa kisiasa baada ya kutoa matamshi ya hadharani ni utekelezaji wa sheria bila upendeleo, au kunaweza kuibua maswali kuhusu uhuru wa kisiasa na uhuru wa kujieleza...
Mchakato wa kuwa jaji nchini Kenya unasimamiwa na Tume ya Huduma za Mahakama (JSC) kulingana na Katiba ya mwaka 2010. Hatua kuu zinahusisha utangazaji wa nafasi wazi, maombi ya umma, mchujo...
Mwalimu mmoja wa Naivasha ameripotiwa kufariki kwa kujitoa uhai katika tukio linalodaiwa kuhusishwa na kupoteza Sh40,000 kupitia kamari ya michezo.
Kwa mujibu wa Mkuu wa Upelelezi wa Jinai (DCIO)...
Wakazi wa sehemu ya Mathare North wameendelea kulalamikia kukosekana kwa umeme tangu Ijumaa iliyopita, wakisema hali hiyo imeathiri maisha yao ya kila siku huku juhudi za kurejesha huduma...
Aliyekuwa mwenyekiti wa kwanza wa Mamlaka Huru ya Kusimamia Utendakazi wa Polisi (IPOA), Macharia Njeru, amedai kuwa Rais William Ruto aliwaita viongozi wa IPOA katika Ikulu na kutoa matamshi...
Seneta wa Makueni, Daniel Maanzo, amedai kuwa baadhi ya maseneta walipewa hongo ili kuunga mkono hoja ya kumwondoa aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua madarakani.
Akizungumza katika mkutano wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.