Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

On JF:

Habari zenu wanajukwaa.
0 Reactions
107 Replies
12K Views
Inaonekana wengi tumeaminishwa na Tamko la TCD kuhusu maazimio ya kikao chake na Mh Rais, najiuliza; Hivi TCD kina mandate gani ktk nchi hii? (naamini ni NGOs Hivi tamko hilo lina legality...
0 Reactions
0 Replies
989 Views
Dada mmoja amenishtaki ustawi wa jamii kuwa nilimpa mimba mwezi mmoja kabla ya kuolewa na mume aliye nae sasa Japo ametoka kwa mumewe muda mrefu bado ansendelea kunizonga na kunisumbua...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wanajamvi, nimekuja huku leo ninahtaj msaada wenu. Japo sio mwandishi mzuri lakin naamin mtanielewa. Mimi ni msichana niliolewa na nikabahatika kuzaa watoto wawili (mapacha) wa kike na wa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
  • Closed
Una kimada mmezaa naye mtoto baadaye akapata bwana akauacha. Hakuishia hapo akakwambia waziwazi huyo mtoto siyo wa kwako, ati unaendelea kutoa matumizi?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wadau, Kwanza niwapongeze waliobuni na kuanzisha jukwaahili ambalo siyo tu ni chanzo cha habari mpya, burudani bali pia kisima chamaarifa. Hapana shaka kuwa kila anayetembelea jukwaa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau wa Sheria naomba mawazo yenu: Ninamiliki kiwanja chenye hati na kimepimwa, ndani ya hicho kiwanja nilikuwa nimejenga nyumba moja na baadaye nikaona kuna nafasi ya kutosha nikaongeza nyumba...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Ndugu,Wanasheria,eneo Letu La Familia Limefuatwa Na Bara Bara, Lipo Nzega, Malipo Yalolipwa Ni sh 150 kwa mita skwea moja ya ardhi, eneo lipo ndani ya mji,ni dakika 4 tu toka nzega mjini, ukubwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Huyu Spika wa bunge Maalum la Katiba anaweza kushitakiwa ? Labda kosa niseme ni kuliendesha bunge kwa kutotumia kile kilichotakiwa kitumike ,ikithibitika kuwa ameiweka pembeni Rasimu halisi ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakubwa Shkamooni wadogo Habari zenu. Mwanamke mmoja wa nchini Marekani ametupwa jela miezi 30 na kufanyishwa kazi ngumu baada ya kukiri kubadilishana watoto wawili kwa ndege aina ya Kasuku...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naombeni mnipatie ushauri. Nimewakodisha Prado kampuni ya Travel Partner, wao wanaazimaga magari ya watu kwa kuwa hawana magari ya kutosha kukidhi mahitaji ya wateja wao. Baada ya kunisumbua sana...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Habari zenu?? Nlikua naomba soft copies za "The employment and labour relations (code of good practice) rules 2007 na labour institutions(mediation and arbitration) rules 2007 km kuna mtu anazo.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Oscar Pistorius could also be convicted of a lesser murder charge or negligent killing, both of which call for years in jail. The judge Thokozile Masipa, 66, could acquit him if she believes the...
5 Reactions
32 Replies
3K Views
Wadau nisaidieni, mfano mwalimu nimepangiwa Mwanza nyumbani Mtwara. Ntalala Dar kabla kufika Mwanza. Je pamoja na nauli ya kutoka Mtwara kwenda Mwanza. Nastahili kulipwa gharama ya kulala njiani?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu wa Sheria naombeni msaada, kuna jamaa yangu mmoja wametofautiana na mkewe na mke amerudi kwao kama miezi minane iliyopita, katika kujadili naye akanieleza walikuwa na argument ya kawaida...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
mimi ni mfanya biashara wa mpesa hapa jijini mwanza mwaka jana nilivamiwa na majambazi wakachukua 19. m badae niliitwa polisi nikamtambua mtuhumiwa1 kesi ikafika mahakamani nikaitwa kutoa...
0 Reactions
1 Replies
967 Views
Wakuu poleni na majukumu. Kunamzungu ambaye alikuwa expat hapa Tanzania na mda wake wa kuishi nchini umekaribia kwisha, kuna silaha (bunduki) anayeimiliki kisheria, ningependa kununua kutoka...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Ni muda mrefu nafatilia kesi ya m ama ambae anaumwa tangia mwaka 2012.ajabu nikwamba jarada halionekani,nilienda mahakama ya wilaya ambapo kesi hiyo ilihukumiwa wkadai file liliitwa mahakama kuu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kumeshawahi kuwa na propaganda lukuki hapa jamvini kuhusu Marando kuwatetea watuhumiwa wa EPA etc. kuwa ni indication ya namna gani hapaswi kuaminika. Muda si mrefu nilikuwa naangalia TV nikaona...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Back
Top Bottom