Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
WanaJF, nimetafuta soft copy ya Kanuni za Kudumu kwa Utumishi wa Umma, 2009 (Standing Orders For the Public Service, 2009) bila mafanikio. Kama kuna mtu anayo naomba msaada aiweke hapa pls!
Wakuu, msaada wa kisheria. Ni wapi naweza kumtuma shemeji yangu kwenda kwa notary public kuweza kupata 'affidavit of marriage" kuonesha kuwa yeye na mkewe (wao ni wa jadi) wamekuwa na ndoa ya muda...
Wasomi wenzangu:
nataka niandike Legal Paper juu ya Mkanganyiko ninaouona kati ya Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971 na Sheria nyinginezo zinazoshughulikia maswala wa wanandoa hapa Tanzania...
Habari wadau wa sheria
Mimi nimepata frame nataka nifungue biashara ya juices za aina mbalimbali kama ya miwa, ukwaju na matunda. . . Pia baadae kuweka na chips na vyote vinavyoambatana na hivyo...
kama kichwa cha habari kilivyo hapo juu wadau naombeni msaada wenu tafadhari,niko na point shallow nimeombwa msaada pia,nimeona bora nije kwa wanajamvi mliobobea katika upande huu.
Asante!!
Wakuu, napenda kuchukua nafasi hii kuwashukuru wale wote walioomba msaada wangu niwasaidie baada ya kuona bandiko langu kwenye jukwaa hili wiki mbili zilizopita.
Nawashukuruni sana na ninapenda...
Wana JF mimi na familia yangu tunaitaji msaada wenu kisheria juu ya kesi inayo mkabili mama yetu.
Kuna mambo ya mila ambayo yalisababisha sisi tuwe mbali na bibi yetu mzaa mama, yaani tulimpenda...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naombeni tafsiri sahihi ya kifungu hiki cha sheria kilichopo ktk mkataba wa ajira wa mdogo wangu.
Governing Law
'It is the intention of the parties to this...
Ndugu wanajamvi naombeni msaada wenu,
Mimi ni mlinzi katika eneo letu la kazi, inasadikika kulitendeka wizi jambo la kushangaza lindo hilo lina zaidi ya walinzi 13.
Baada ya mpelelezi wa kituo...
Saudis order 40 lashes for elderly woman for mingling
By Mohammed Jamjoom and Saad Abedine
(CNN) -- A Saudi Arabian court has sentenced a 75-year-old Syrian woman to 40 lashes, four months...
Wadau, naomba aliye na:
1. Employment and Labour Relations (Code of Good Practice) Rules, 2007 (GN No. 42 of 2007)
2. The Employment and Labour Relations (Forms) Rules, 2007 (GN No. 65 of 2007)...
Wandugu, hivi ukitaka kuharakisha utoaji wa talaka kisheria unafanyaje? Kuna namna ambayo unaweza kuanzia mahakamani moja kwa moja bila kupitia baraza la kata?
Nilifanya kazi kwa muhindi kwa muda wa miaka 3.
Nnikapata kazi kwa sehemu nyingine nikaomba kuresigne, bosi wangu akamindi kwanini naondoka nikamwambia nimeamua coz nimepata sehemu nyingine...
Habari wakuu, weekend hii nilikuwa nimekaa na marafiki zangu tunapata vinywaji tukimuaga mwenzetu anarudi overseas. Polisi wakaja na gari lao wakimtafuta kaka yake na yule tuliyekuwa tunamuaga kwa...
kuna mfanyakazi wa shirika la posta...alifariki akiwa kazini(hajastaafu)...lkn katika kufuatilia mafao...shirika limesema lenyewe halitoi aina yeyote ile ya mafao...ninavyojua ni shirika la...
Kuna mfanyabiashara mmoja hapa Mwanza nilipeleka mzigo wangu aniuzie mwezi umepita sasa.Baada ya siku chache ofisi yao ilifungwa na TRA hivyo nilipokuwa nampigia simu hapokei ,Leo nampigia anasema...
Mimi ni mfanyakazi wa kampuni moja ya ulinzi.
Miezi michache iliyopita client wa kampuni tunayoliilinda alidai kuibiwa mali yake baada ya uchunguzi wa kina upande wa kampuni yetu ya ulinzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.