NISIKILIZE NYERERE.
1.Huku tunadanganyana,ya kwamba tunakuenzi
Na mbali wameikana,wajali kiti cha enzi
Tasema tena na tena,Hata kama kwa utenzi
Nisikilize Nyerere,kwa hili hauenziwi...
JE!HUENDA MRISHO MPOTO (MJOMBA)ANAUSHANGILIA UTAWALA WA DKT.JOHN POMBE MAGUFULI KWA WIMBO WAKE MPYA WA "NIMWAGE RADHI"?.
Hivi karibuni Mwanamuziki Mrisho Mpoto(Mjomba)ametoa wimbo wake mpya...
ZIMWI LA DAR!
Kwanza naanza kwa dua, Yarabi nisimamie,
Moyo nakuinulia, roho wako nivuvie
Hekima busara pia, nazo unikirimie
Pamwe na Watanzania, yao nchi watetee
Zimwi limeteka Dar, limejivika...
Neno la Mungu linasema katika Yoshua 1:5 Hapatakuwa na mtu ye yote atakayeweza kusimama mbele yako siku zote za maisha yako; kama nilivyokuwa pamoja na Musa, ndivyo nitakavyokuwa pamoja na wewe...
Nimekuwa nakutana na sentensi hizi kwenye uandishi wa watu na huwa zinanipa wakati mgumu kujua kama ni sahihi pale mwandishi anapotaka kuelezea
wingi wa MPANGO MKAKATI.
-MIPANGO MIKAKATI
-MIPANGO...
1.Kunavyo vingi vizuri
Vizuri vino pendeza
Vyang'ara nakuvutia
2.Vipo kwenye jiji zuri
Lilojawa na mwangaza
Kama utaliingia.
3.Taona mengi mazuri
Ambayo yanashangaza
Miguu ukiitia.
4.Utapofika...
1)Namanga hadi Holili,tunarejea nyumbani
Twarudi na zetu hali,na furaha vifuani
Safari yetu ya ghali,ila bado na imani
Tutaporudi nyumbani,tutakutana na Melo.
2)Tutapeana mikono,na kukumbuka...
Cool fact About English Language
1.No word in the English language rhymes with month, orange, silver, or purple.
2. The "sixth sick sheik's sixth sheep's sick" is said to be the
toughest tongue...
Jamani,kama kuna mwana jamii anajua tofauti ya maneno haya: FEDHA,HELA na PESA, tusaidiane.
Cc Kiranga FaizaFoxy Madame B.
===========
Huitwa ‘Fedha’ wakati mwingine huitwa ‘Pesa’ na wengine...
Shairi langu natunga, kuwapa pole raia,
Na nyinyi tunajiunga, sote huku tunalia,
Kukumbwa na hili janga, pole kwa zao familia,
Poleni wa Tanzania, ajali haina kinga.
Ajali haina kinga, poleni wa...
Wakati DSTv wakiwa peke yao Ktk dunia ya kidigitali hapa bongo, wakaamua kuleta msamiati unaitwa "DIKODA" ambapo kikazoeleka Kiasi hata BAKITA walipofafanua kuwa kifaa husika sio dikoda, ni...
Mzuqa
Nimeshikwa na kichomi hapa mzigoni yani kimenikalisha. Msaada kwa kiingereza kinaitwaje?
Nimecheki kwenye google translate eti cinnamon wakati cinammon ni ile aina ya spices. Google...
Nimejaribu kutafsiri kwenye google langunge tool imeleta kiswahili hiki nimecheka sana...
When I stepped into the house I saw this very very beautiful girl with a wonderful smile I never stop...
Kama kichwa kinavyosema hapo juu ...ni kuwa ninahitaji kusoma masters ya regional development planning nje ya Tanzania sasa naomba kusaidiwa utaraibu wa kuomba nje (kuapply) vilevile mambo ya...