Ni miaka 55 imepita toka Mnyalukolo, Said Abdallah Siulanga Mwamwindi, ammimimie risasi na kumuua aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Iringa, marehemu Dr. WILBERT KLERUU. Mauaji hayo yaliyokea tarehe...
KUNA HISTORIA KUBWA YA MWALIMU NYERERE NDANI YA SOKO LA KARIAKOO
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amelifungua Soko la Kariakoo jana Jumapili tarehe 8 February 2026.
Nimepata siku za nyuma...
Brussels, Ubelgiji. Tarehe 3 Novemba 1995.
Yupo Mwanadiplomasia mmoja wa Hamas siku hii alikuwa anatoka kwenye mkutano wa Umoja wa Mataifa uliokuwa ukijadili kuhusu wakimbizi wa Palestina.
Sasa...
5
Historia ya dunia imejaa matukio makubwa yaliyobadilisha namna wanadamu wanavyoishi, kufikiri, kufanya biashara na kuendesha jamii. Baadhi ya matukio hayo hayakuathiri nchi moja pekee, bali...
let’s stop playing, man. Let’s look at this whole f*cking situation intellectually lakini kwa lugha ya kitaani kabisa. Hii nchi inapelekwa kipumbavu na hawa dumb ass motherf*ckers kiasi kwamba...
JF imekuwa ni mahali pa kupashana habari na kuweza pia kuzungumzia mambo ya historia yetu na mwelekeo wa nchi.
Kuna Huyu bwana anajulikana kama marehemu Dr Kleruu, mie nimekuwa nikimsikia katika...
Wakati wote wa Vita vya Kagera Mwalimu Nyerere alikuwa anatoa hotuba kila baada ya muda fulani ili kuwajulisha wananchi maendeleo ya vita. Hotuba zote zimewekwa kwenye kakitabu haka. Kitabu...
Kupotea kwa Urithi na Mtihani wa Imani NyikaniKatika kipindi kigumu cha dhoruba za vumbi (Dust Bowl), takriban mwaka wa 1936 ndani ya Kaunti ya Morton, Kansas, jamii ilishuhudia mtihani mkubwa wa...
MAKTABA YAPOKEA KITABU CHA MWANDISHI M.A. MOHAMED: "USIPOZIBA UFA UTAJENGA UKUTA''
Jioni hii baada ya swalat ya Maghrib wakati naelekea kwenye ngazi za msikiti kuvaa viatu kanikabili mtu akanipa...
IKUMBUKWE TV WAFIKA MAKTABA KUFANYA KIPINDI CHA BIBI TITI MOHAMED MAALUM KWA VIJANA
Leo nimetembelewa na Abdallah Khamisi wa Ikumbukwe TV kwa ajili ya kufanya kipindi cha Bibi Titi Mohamed maalum...
Bi. Khadija Nkomanile ndiye mwanamke pekee aliyenyongwa na Wajerumani kwa kushiriki wake katika vita vya Maji Maji (1905 - 1907).
Wakati tunawaadhimisha wanawake ni muhimu tukamkumbuka mama yetu...
👉"Usiue" ni mojawapo ya amri kuu, lakini katika Agano la Kale kuna simulizi nyingi za vita, mauaji ya hukumu na maangamizi ya mataifa. Hii huibua mjadala mkubwa kuhusu tofauti kati ya sheria ya...
LIBERIA 1980
Cabinet ministers lined up for execution after a coup d'état in Liberia, 1980
A Liberian army soldier stands ready to execute a former cabinet minister following the 1980 coup...
April 2 2021
Kilonzo, Paulo Saburi (c. 1890–1979)
Na
Gadi Kilonzo
Ilichapishwa kwa Mara ya Kwanza: Machi 29, 2021
Mhubiri painia, mchungaji, na mmishonari katika Afrika Mashariki, Paulo Saburi...
Kuna kitu kimoja kinachowazuia watu wengi kubadilisha maisha yao.
Sio ukosefu wa akili.
Sio ukosefu wa vipaji.
Sio hata ukosefu wa fursa.
Ni kupenda faraja kupita kiasi.
Na huo ndio mtego...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.