Mwalimu Nyerere akisukuma gari pamoja na watu wengine
"USIMUONE VILE KAMBARAGE ANA KIBEGA"
Dossa Aziz
Picha hiyo hapo juu inanikumbusha Jumapili moja miaka mingi iliyopita tumekaa barazani...
Wenye Akili tupo na huenda tunajiona tuna Akili Kila mmoja katika Fani yake, ila ukweli ni kua, hata katika Fani yako wewe mwenye Akili, Kama Lissu naye angekua hapo ulipo, Angeifanya kwa Uwezo...
Mvutano mkali wa kimtazamo umeibuka mtandaoni kati ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Bara John Heche, na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, kufuatia ubora wa huduma ya maji wilayani Handeni...
Je, dunia inaambiwa ukweli wote kuhusu mzozo wa Iran, Marekani na Israel?
Katika uchambuzi huu mzito kutoka Kutoka Maktaba ya Mohamed Said, tunaingia ndani ya siasa za Mashariki ya Kati na...
Nukuu za Dossa Aziz na Harakati za Uhitaji
Dossa Aziz anatajwa kama mtu aliyekuwa na utajiri mkubwa ambao aliutumia kufadhili chama cha TANU na viongozi wake:
Dossa kama "Benki": Wakati wa...
Mchapishaji huyo, baada ya kuuona mswada (manuscript) wa kitabu cha historia ya harakati za uhuru ambacho Mohamed Said alikuwa amekiandika, alimwambia: "...unajua kama wewe umekalia neno la tumia...
Mzee Mohamed Said anaielezea Marekani kama taifa lililopoteza nguvu zake na kushindwa vibaya katika mzozo wa sasa:
"Irani imedhibitishia dunia kuwa hawa Marekani ni chui wa karatasi".
"Marekani...
Ukifika Mbeya Mjini kuna eneo linaitwa Forest Mpya.
Siku za nyuma eneo hilo lilijulikana tu kama Forest kwa kuwa kulikuwa na msitu mkubwa sana wa miti ya milingoti ambayo Kama huijui ni miti...
Kuhusu Maisha na Historia ya Malcolm X
Mohamed Said anaeleza namna historia ya Malcolm X ilivyokuwa na ushawishi mkubwa kwa vijana wa miaka ya 1960:
Mabadiliko ya Maisha: Alieleza kuwa vijana...
Mohamed Said anasimulia kuwa alipokea ujumbe wa moja kwa moja kutoka CIA mnamo mwaka 2006 wakati akifanya utafiti kwenye mtandao:
"mimi niliwahi kuletewa email message ujumbe katika emaili yangu...
Nukuu za Simanzi na Buriani
Mohamed Said anaanza kwa kutoa taarifa ya kifo cha dada yake na kuelezea mazingira ya mazungumzo yao ya mwisho:
"Nimefiwa na dada yangu Mwajame Dosa Azizi Wajabe ni...
Kuhusu Kudhoofika kwa Nguvu za Marekani na Israel
Mohamed Said anaeleza kuwa Marekani imepoteza nguvu zake za kijeshi dhidi ya Iran kiasi cha kulinganishwa na "chui wa karatasi":
"...tunavyodhani...
Jamaa anaitwa Victor Lustig mzaliwa wa nchi ya Ufaransa. Alijulikana sana kama “mtu aliyeliuza Eiffel Tower” na cha kushangaza zaidi, alijaribu kulifanya tukio hilo mara mbili.
Mwaka 1925...
Wakuu
Nilikuwa naangalia series ya The American Experiment ikielezea how America was founded na walivyoandika katiba
Kumbe Katiba ya Marekani ya mwaka 1787 iliandaliwa na wazee 55 tu...
Mwaka 1933, kutokana na hofu kuwa African Association ilionekana kuwa na sura ya Kiislamu pekee, waasisi waliamua kutenganisha dini na siasa ili kuwavutia Wakristo. Mzee Bin Sudi na Kleist Sykes...