Jukwaa la Historia

On JF:

Mwalimu Nyerere akisukuma gari pamoja na watu wengine "USIMUONE VILE KAMBARAGE ANA KIBEGA" Dossa Aziz Picha hiyo hapo juu inanikumbusha Jumapili moja miaka mingi iliyopita tumekaa barazani...
11 Reactions
16 Replies
1K Views
https://youtu.be/jrKB04KZZgk?si=WOSyzNai_st_yDcB
0 Reactions
0 Replies
54 Views
Wenye Akili tupo na huenda tunajiona tuna Akili Kila mmoja katika Fani yake, ila ukweli ni kua, hata katika Fani yako wewe mwenye Akili, Kama Lissu naye angekua hapo ulipo, Angeifanya kwa Uwezo...
16 Reactions
46 Replies
657 Views
Mvutano mkali wa kimtazamo umeibuka mtandaoni kati ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Bara John Heche, na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, kufuatia ubora wa huduma ya maji wilayani Handeni...
0 Reactions
1 Replies
73 Views
Je, dunia inaambiwa ukweli wote kuhusu mzozo wa Iran, Marekani na Israel? Katika uchambuzi huu mzito kutoka Kutoka Maktaba ya Mohamed Said, tunaingia ndani ya siasa za Mashariki ya Kati na...
0 Reactions
1 Replies
87 Views
https://youtu.be/8bHn7ojbnlo?si=p3RGwTUvj34OmroN
0 Reactions
3 Replies
101 Views
https://youtu.be/ZgzpXeu9eRY?si=HgH6XfcePFIMrxuI
0 Reactions
0 Replies
41 Views
Nukuu za Dossa Aziz na Harakati za Uhitaji Dossa Aziz anatajwa kama mtu aliyekuwa na utajiri mkubwa ambao aliutumia kufadhili chama cha TANU na viongozi wake: Dossa kama "Benki": Wakati wa...
0 Reactions
0 Replies
56 Views
Mchapishaji huyo, baada ya kuuona mswada (manuscript) wa kitabu cha historia ya harakati za uhuru ambacho Mohamed Said alikuwa amekiandika, alimwambia: "...unajua kama wewe umekalia neno la tumia...
1 Reactions
2 Replies
70 Views
Mzee Mohamed Said anaielezea Marekani kama taifa lililopoteza nguvu zake na kushindwa vibaya katika mzozo wa sasa: "Irani imedhibitishia dunia kuwa hawa Marekani ni chui wa karatasi". "Marekani...
0 Reactions
2 Replies
76 Views
Ukifika Mbeya Mjini kuna eneo linaitwa Forest Mpya. Siku za nyuma eneo hilo lilijulikana tu kama Forest kwa kuwa kulikuwa na msitu mkubwa sana wa miti ya milingoti ambayo Kama huijui ni miti...
66 Reactions
542 Replies
73K Views
Kuhusu Maisha na Historia ya Malcolm X Mohamed Said anaeleza namna historia ya Malcolm X ilivyokuwa na ushawishi mkubwa kwa vijana wa miaka ya 1960: Mabadiliko ya Maisha: Alieleza kuwa vijana...
1 Reactions
0 Replies
34 Views
Mohamed Said anasimulia kuwa alipokea ujumbe wa moja kwa moja kutoka CIA mnamo mwaka 2006 wakati akifanya utafiti kwenye mtandao: "mimi niliwahi kuletewa email message ujumbe katika emaili yangu...
4 Reactions
14 Replies
325 Views
Nukuu za Simanzi na Buriani Mohamed Said anaanza kwa kutoa taarifa ya kifo cha dada yake na kuelezea mazingira ya mazungumzo yao ya mwisho: "Nimefiwa na dada yangu Mwajame Dosa Azizi Wajabe ni...
1 Reactions
17 Replies
302 Views
Kuhusu Kudhoofika kwa Nguvu za Marekani na Israel Mohamed Said anaeleza kuwa Marekani imepoteza nguvu zake za kijeshi dhidi ya Iran kiasi cha kulinganishwa na "chui wa karatasi": "...tunavyodhani...
0 Reactions
0 Replies
57 Views
Jamaa anaitwa Victor Lustig mzaliwa wa nchi ya Ufaransa. Alijulikana sana kama “mtu aliyeliuza Eiffel Tower” na cha kushangaza zaidi, alijaribu kulifanya tukio hilo mara mbili. Mwaka 1925...
5 Reactions
12 Replies
133 Views
Wakuu Nilikuwa naangalia series ya The American Experiment ikielezea how America was founded na walivyoandika katiba Kumbe Katiba ya Marekani ya mwaka 1787 iliandaliwa na wazee 55 tu...
1 Reactions
1 Replies
164 Views
https://youtu.be/SIhAolibf1c?si=Y2Pk2yO1KCUm7j31
0 Reactions
0 Replies
55 Views
Mwaka 1933, kutokana na hofu kuwa African Association ilionekana kuwa na sura ya Kiislamu pekee, waasisi waliamua kutenganisha dini na siasa ili kuwavutia Wakristo. Mzee Bin Sudi na Kleist Sykes...
0 Reactions
20 Replies
208 Views
https://youtu.be/2AJc0jjjz9k?si=IBOQqohMS8pQIGn9
0 Reactions
15 Replies
202 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…