Jukwaa la Historia

On JF:

Paul Kagame (born October 23, 1957) is the current President of the Republic of Rwanda. He rose to prominence as the leader of the Rwandan Patriotic Front (RPF), whose victory over the incumbent...
1 Reactions
6 Replies
8K Views
nina shida na movie ya second world war kama kuna mwenye nayo naomba aniwekee niidownload.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF salam,kunakuwaga na tetesi Mwl JK Nyerere alipofika UK kutafuta kupewa uhuru wa Tanganyika alimkuta mmoja wa wafalme (mangi)wa kichaga nae akitafuta uhuru ila yeye alitaka wa Kilimanjaro...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Afghanistan February 20, 1919: Nasrullah Khan overthrows Habibullah Khan February 28, 1919: Amanullah Khan overthrows Nasrullah Khan January 17, 1929: Habibullah Kalakani overthrows Inayatullah...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
NGUZO TANO ZA UJAMAA - KWA MUJIBU WA Mwalimu Julius K. Nyerere CLICK LINK IYO CHINI KUZISOMA Hermes Power Inc: Tanzania: Kuelekea Ujamaa Mamboleo - Toward Neo-Socialism
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Ndugu zangu kuna kijana wa BONGO FLEVA ameimba wimbo wake wa KIMAPINDUZI sana. Moja ya msitari wke unasungumzia Marekani kubadirisha na Tanzania YANDARUA KWA URANIUM. Bahati nzuri wimbo huu hata...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Salamu wakuu. Nilikua naomba kufahamu kama kuna mtu ana fahamu kidogo historia ya huyu raisi wetu mstaafu kuanzia udogoni mpaka kuja kuupata uraisi. Nimegundua najua kidogo sana kuhusu historia ya...
0 Reactions
14 Replies
16K Views
Jana katika taarifa ya habari ya Star TV, Meya wa Ilemela akizozana vikali na maneno mengi yasio staha wakati madiwani na mbunge wa ilemela walipogusia ukiukwaji wa kanuni, ameonyesha ujinga...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Akitokea Kwenye kikao Cha suluhu Za kivita kilichojumuisha mobutu sese seko wa Zaire(Congo), Kamuzu Banda wa Malawi na keneth Kaunda wa Zambia Mwaka 1986 huko Africa ya Kusini, Rais wa Msumbiji...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Haya ni maneno aliyo yatabiri baba wa taifa akiwa kama mtu mwenye maono ya mbali sana kwakindi kile ilikua kama vigumu sana kuyatambua maneno haya lakini leo tunashuhudia kwa macho na masikio yetu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Waungwana katika JF Kila siku kila sehemu katika lalamiko kubwa tunazozisikia ni biashara ya utumwa lawama kem kem zinamuangukia Bwa Mohammed Murjib au kwa umaarufu wake Tip Tip kama ndie...
1 Reactions
25 Replies
5K Views
ktk muda mfupi tumeona cdm wakizika political carreer za viongozi wa ccm ktk serikali na wastaafu. tumeona arumeru lowasa,wasira,mkapa,sendeka, ,tumeona ktk mazishi ya makani mukama alionekana...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Balozi Ami Mpungwe: Mandela niliyemfahamu Ezekiel Kamwaga Toleo la 301 3 Jul 2013 NILIZALIWA mwanzoni mwa miaka ya 1950. Kama ilivyo kwa watu wengi wa kizazi changu, tulikulia katika kipindi...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
BABA WA TAIFA alipinga suala la serikali tatu kwa uhai wake wote na aliwapinga g55 mpaka leo malecela alijiharibia sn kwani nyerere alisema likipita hilo ni bora asizikwe tanzania hoja ikafa kifo...
2 Reactions
35 Replies
4K Views
Katika kauli inayoekelea kumlenga mtangulizi wake katika Ikulu ya Zanzibar, Rais Ali Mohamed Shein, amesema hawezi kumzunguka Rais wa Jamhuri ya Muungano, Jakaya Kikwete kwa kupigia debe Muungano...
3 Reactions
0 Replies
2K Views
W
0 Reactions
0 Replies
2K Views
niliutazama Ujio wa rais wa China kwa masikitiko sana na Tangu jana nimekuwa nikiangalia Mbwembwe za kumpokea Rais Obama na Wamarekani wengine kama Kejeli ya wakati wote katika Taifa letu. Wakuu...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Wakuu magwiji wa historia, nimekutana na ubishi mkubwa sana, kuna mtu amedai kuwa hayati Julius Kambarage Nyerere, aliyekuwa Rais wa jamuhuri wa Tanzania hakuhudhuria sherehe za uhuru wa Zimbabwe...
0 Reactions
34 Replies
12K Views
WIKI hii Rais wa Marekani, Barack Obama alifanya ziara ya wiki moja barani Afrika, akizulu nchi tatu ikiwamo nchi yetu, Tanzania. Obama alianzia ziara yake nchini Senegal, kisha akaelekea...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mandela said that if you wanted to know how a nation treats its people, you should visit its prisons. This quote greets visitors to Number Four Prison on Constitution Hill in Johannesburg, where...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom