Jukwaa la Historia

On JF:

Wana JF Wengi ya washabiki wanaojadili mapinduzi haramu ya zanizbar ya 1964, wanakuwa wanasema watakavo au kwa mujibu wa taaluma walizipata kutoka kwa vyombo vya habari vya tz au wana propaganda...
11 Reactions
183 Replies
39K Views
Mzee Mohamed Omari Mkwawa au kwa jina lingine Tindo alilopewa na Karume wakati wa harakati za ukombozi Zanzibar katika miaka ya 1950 amefariki dunia usiku wa Jumamosi kuamkia Jumapili tarehe 5 May...
3 Reactions
9 Replies
5K Views
ABBAS SYKES (1929 - ) SEHEMU YA PILI: MJUMBE WA KAMATI YA SAADAN ABDU KANDORO NA JAPHET KIRILO KUCHANGISHA FEDHA KUPELEKA MJUMBE UNO 1953 Mwaka wa 1952 Japhet Kirilo akiongozana na Earle Seaton...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
GRAMOPHONE YA MWALIMU SUBETI SALUM Mwalimu Subeti Salum Subeti (1903 - 1974) Mwalimu Subeti alikuwa mwalimu wa shule Kitchwele akifundisha useremala na pia alikuwa mmoja katika wapiga fidla...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuanzia tourist information zao mpaka politics zao kila kitu ni baada ya kuja mwarabu toka Omani This is just ridiculous na wenyewe ukakutana nao wanakwambia mwarabu kaja kukuta pako empty!!!
3 Reactions
33 Replies
5K Views
Kuna watu wamefanya matukio ya kutisha lakini historia zao haziandikwi. Kuna jambazi aliitikisa Tanzania alikuwa akiitwa Sura mbaya, si jina lake halisi bali lilitokana na matendo yake. Jambazi...
7 Reactions
105 Replies
33K Views
Habari wadau,hii luninga imeanza sio miaka mingi hapa nchini kurusha matangazo jee kwa sasa inapatikana kwenye kisimbuzi gani? Napenda sana uchambuzi wa michezo na mechi walizokua wakionyesha...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Hundreds of thousands of slaves freed during the American civil war died from disease and hunger after being liberated, according to a new book. The analysis, by historian Jim Downs of...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Historia ya mkoa wa Shinyanga inaanza hata kabla ya wakoloni kuitawala Tanganyika mwaka 1890's-1961. Wakoloni wa kwanza kutawala eneo la sasa la mkoa wa Shinyanga walikuwa ni wajerumani walioanza...
3 Reactions
9 Replies
10K Views
Hamjambo? Mimi ni raia wa Msumbiji na ninafanya utafiti kuhusu asili ya Shamba 17 la Wilaya ya Nachingwea. Ninaelewa kuwa baada ya Vita vya Pili vya Dunia, Uingereza ilitenga Shamba 17, ikiwa...
0 Reactions
28 Replies
14K Views
Jamani napenda kuuliza kuhusu historia ya kabila la wasumbwa hili kabila lilianza anza vipi,walitokea wapi chimbuko lao hadi kutawanyika Maana hili kabila lipo sana Urambo,Kaliuwa,Kahama,Geita...
1 Reactions
38 Replies
21K Views
*Binti Phila Ndwandwe: Akili Kubwa aliyochagua kufa kuliko kumtumikia Kaburu!* Kwa nini usife? Ukifa utaacha nini? Maswali ya namna hii hujiuliza watu wema Denis Mpagaze Kipindi cha Ubaguzi wa...
12 Reactions
68 Replies
15K Views
Zamani huko uchaggani kulikuwa na viongozi wa ukoo. Koo nyingi zilikuwa na umahiri/umaarufu wake, unao julikana na usio julikana, ulio andikwa na usio andikwa. Koo nyingine zilikuwa za kimangi...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Azaria C. Mbughuni December 31, 2019 at 10:05 PM · ''One thing that Mwalimu Nyerere did every December between 1953 and 1959. December 1953 Mwalimu Nyerere visited Bukoba to investigate an...
5 Reactions
5 Replies
2K Views
Naikumbuka siku hii kama jana vile. Nilikuwa na umri wa miaka 11 na vitu viwili vitatu ndivyo vilivyonasa kwenye kichwa changu. Kwanza ni kumuona Mzee Abdulrahman akitoka nyumbani kwake kashika...
8 Reactions
13 Replies
3K Views
NA MOHAMMED ABDULRAHMAN Historia ya Afrika kama ilivyo ya dunia kwa ujumla, kimsingi imejaaa masimulizi ya wanasiasa mbali mbali. Lakini waadilifu hasa ni wachache. Jina la Lucio Rodrigo Leite...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
0 Reactions
1 Replies
713 Views
Wajue Wasukuma.. Wasukuma ni Wabantu wanaopatikana katika mwambao wa Ziwa Nyanza.Wasukuma wamegawanyika katika koo zaidi ya 80. Wanafahamiana kwa koo na tawala zao. Jamii hii ya Wasukuma ni...
1 Reactions
21 Replies
7K Views
Jaws Corner Uchaguzi wa Zanzibar 1995 Propaganda kuhusu Maalim na siasa za Zanzibar zimezoeleka nyakati kama hizi. Yaandikwayo hupati kusikia lolote la maana kutoka kwao. Haya wasemayo...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…