Jukwaa la Historia

On JF:

HATUA ZANGU CHACHE PEMBENI YA ABDILATIF ABDALLA, UINGEREZA, UJERUMANI NA KENYA Abdilatif Abdallah alipokuwa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam tukionana kwa mbali labda kwa kuwa hapakuwa na kitu cha...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari wakuu, Mimi ni mtu ambaye huwa napenda kujifunza mambo, nimesoma nadharia tofauti tofauti kuhusu huyu rais wa Urusi Napenda kujua historia yake maana kuna vitu vinanichanganya sana kama...
3 Reactions
10 Replies
3K Views
KAGERA NI MUHAYA Turejee Historia. Wahaya ni nani? Jina Wahaya lilianza kutumika lini? Jina Wahaya linatokana na nomino IHAYA. Huu ni mwambao wa Ziwa Lweru. Hadi ujio wa Wazungu lilimaanisha...
5 Reactions
58 Replies
11K Views
Niko Zanzibar kiasi cha miaka miwili mitatu hivi na ni Mwezi Mtukufu wa Ramadhani hoteli niliyopanga iko karibu sana na pwani. Inakaribia Maghrib wakati wa adhana na kufungua. Nikaona itapendeza...
11 Reactions
15 Replies
3K Views
Leo alfajir nimeikuta video ya Mwalimu wangu wa masafa marefu Prof. Ali Mazrui.bImenikumbusha mbali. Nina umri wa miaka 15/16 namsoma Ali Mazrui katika Sunday Nation kutoka Kenya. Siku moja...
9 Reactions
25 Replies
4K Views
Makabila makubwa 1. Wasukuma 2. Wamakonde 3. Wachagga 4. Wahaya 5. Wanyamwezi Dini kubwa: 1. Wapagani ("local beliefs") 2. Wakristo 3. Waislamu
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Historia hii ya Wahaya na Wanyambo ina ukweli gani?[emoji1427] Je, ni kweli % kubwa ya wanakagera hawakwenda shule? [emoji1427] Kama kuna upotoshwaji kwanini Wanakagera tumekaa kimya...
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Anasimulia mzee wangu ambaye alikuwa Mwalimu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam miaka hiyo Che Guavera alikuja Tanzania mwaka 1965. Anasema Che alijaribu kuulizia habari za Mwanamapinduzi aliyesaidia...
3 Reactions
14 Replies
4K Views
MOHAMED SAID NA MAUREEN TBC 1 HISTORIA YA UHURU WA TANGANYIKA Taarifa zimenifikia kuwa TBC1 watarusha kipindi cha historia ya uhuru wa Tanganyika leo saa sita na nusu mchana. Haya ni mahojiano...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Mapinduzi ya Zanzibar yalitokea mwaka 1964 ili kumuondoa madarakani Sultani wa Zanzibar na serikali yake, iliyoundwa hasa na Waarabu, na hatimaye kuweka uongozi mikononi mwa Waafrika, ambao ndio...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hamisi Hababi: Assalaam Alaikum, jana nilikuwa na Mzee Kissinger na nikamsimulia andiko lako mtandaoni kuhusiana yeye na Hafidh Kido, na akafurahi sana nilimpomwambia yeye ni Mwalim na wewe ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Leo tunatimiza miaka 500 tangu Kanisa Katoliki lilipotoa waraka wa Kipapa wa kumfukuza aliyekuwa padre wake Martin Luther Januari 3, 1521. Papa alifikia uamuzi huo baada ya miaka minne ya...
7 Reactions
25 Replies
11K Views
Mzee Kissinger Nimefika kwenye walima wa harusi ya bint wa ndugu zangu akina Tambaza aliyenipokea Sheikh Ali Sindo. Uwanja umejaa lakini badala ya kunitafutia mahali pa kukaa ananipeleka kwa...
4 Reactions
8 Replies
3K Views
Wakuu habari ya muda huu, ni matumaini yangu kuwa mpo salama mkiendelea na shughuli za ujenzi wa Taifa. Kwa wale wenye matatizo ya hapa na pale nawaombea kwa MUNGU awafanyie wepesi ili mfanikiwe...
2 Reactions
32 Replies
6K Views
Nimeona niulize swali hiyo kwenye ukurasa huu wa Historia pengine kuna watu walionizidi umri kama kina mzee Mohamed Said wanaweza kuchangia
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Mzee Kissinger huniambia, ''Wewe Mohamed mimi nimekusomesha wapi?'' Mimi huwa simjibu kitu nashukuru na kama nimefuata kujua kitu kutoka kwake nitamuuliza na palepale mwalimu wangu ataniangusha...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Rafiki yangu Salum Matimbwa ametukumbusha baba yetu Mzee Kitwana Selemani Kondo. Kanirudisha nyuma mbali sana. Namkumbuka Kitwana Kondo na Peugeot yake 404 rangi ya kijani ameiegesha pembeni...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia ilikuwa vita iliyopigwa kuanzia mwaka 1914 hadi 1918 . Mataifa wapiganaji yalikuwa Ujerumani, Austria-Hungaria , Bulgaria na Uturuki (ziliitwa "Mataifa ya Kati", ing...
2 Reactions
20 Replies
15K Views
MAZUNGUMZO NA MAUREEN MINANAGO WA TBC KITABU CHA JUDITH LISTOWEL ''THE MAKING OF TANGANYIKA'' (1965) Kesho Jumatatu Insha Allah saa tatu na nusu asubuhi Maureen Minanago katika kipindi, ''Kurasa...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…