Jukwaa la Historia

On JF:

Anaandika Alexandr Solzhenitsyn kwenye Gulag Archipelago. Anasema kuwa wakati wa ukomunist huko USSR kulikuwa na mambo ya kushangaza sana. Siku moja katibu wa chama alitembelea mji fulani. Ndani...
3 Reactions
2 Replies
639 Views
Na Alhaji Abdallah Tambaza MKOANI Dar es Salaam, kwenye Wilaya ya Ilala kuna eneo linaloitwa Kisutu, ambalo historia yake inaanzia karne ya 1800 hivi wakati wa Utawala wa Kiarabu wa Seyyid Majid...
28 Reactions
61 Replies
19K Views
Habari wana historia wa JF na wadau mbalimbali, Binafsi nimekua nikiwaza sana ni kwanini walichagua jina la Tanganyika wakati kulikua na ziwa Victoria ambalo ni kubwa kuliko ziwa Tanganyika...
6 Reactions
99 Replies
16K Views
BURIANI SALUM ZAHORO Makala hiyo hapo chini niliandika miezi miwili iliyopita. Naiweka tena tuisome kama kumbukumbu ya Salum Zahoro aliyefariki jana na kuzikwa jana hiyo hiyo: SALUM ZAHORO...
5 Reactions
20 Replies
4K Views
AFRICAN SPORTS YA TANGA Jana mtaani pangu nimesikia washabiki wa Wekundu wa Msimbazi, Simba Sports Club wakiwatupia madongo mazito mazito washabiki wa Yanga kwa kufungwa goli moja na African...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Miaka 3500 iliyopita katika nchi ya Misri walipata kupata ustarabu na mariifa ya hali ya juu. Karne ya 19 kuligunduliwa michoro ya ajabu katika pyramidi ukionesha sehemu za ubongo wa mwanadamu...
3 Reactions
54 Replies
10K Views
KALAMU YA ABDALLAH TAMBAZA INAPOOMBOLEZA HUTOA MACHOZI SHAJARA YA MWANAMZIZIMA: Buriani Sheikh Ahmed Haidar Na Alhaj Abdallah Tambaza JUMUIYA ya wanazuoni wa Kiislamu kote ulimwengu; wafuasi wa...
6 Reactions
6 Replies
3K Views
ENZI ZA AFRICA EVENTS Msomaji wangu mmoja kaniandikia maneno hayo hapo chini baada ya kusoma makala yangu niliyomtaja Prof. Hamza Njozi: "Makala ya Prof.Hamza Njozi katika jarida la Africa...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
HATUA ZANGU CHACHE PEMBENI YA ABDILATIF ABDALLA, UINGEREZA, UJERUMANI NA KENYA Abdilatif Abdallah alipokuwa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam tukionana kwa mbali labda kwa kuwa hapakuwa na kitu cha...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari wakuu, Mimi ni mtu ambaye huwa napenda kujifunza mambo, nimesoma nadharia tofauti tofauti kuhusu huyu rais wa Urusi Napenda kujua historia yake maana kuna vitu vinanichanganya sana kama...
3 Reactions
10 Replies
3K Views
KAGERA NI MUHAYA Turejee Historia. Wahaya ni nani? Jina Wahaya lilianza kutumika lini? Jina Wahaya linatokana na nomino IHAYA. Huu ni mwambao wa Ziwa Lweru. Hadi ujio wa Wazungu lilimaanisha...
5 Reactions
58 Replies
11K Views
Niko Zanzibar kiasi cha miaka miwili mitatu hivi na ni Mwezi Mtukufu wa Ramadhani hoteli niliyopanga iko karibu sana na pwani. Inakaribia Maghrib wakati wa adhana na kufungua. Nikaona itapendeza...
11 Reactions
15 Replies
3K Views
Leo alfajir nimeikuta video ya Mwalimu wangu wa masafa marefu Prof. Ali Mazrui.bImenikumbusha mbali. Nina umri wa miaka 15/16 namsoma Ali Mazrui katika Sunday Nation kutoka Kenya. Siku moja...
9 Reactions
25 Replies
4K Views
Makabila makubwa 1. Wasukuma 2. Wamakonde 3. Wachagga 4. Wahaya 5. Wanyamwezi Dini kubwa: 1. Wapagani ("local beliefs") 2. Wakristo 3. Waislamu
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Historia hii ya Wahaya na Wanyambo ina ukweli gani?[emoji1427] Je, ni kweli % kubwa ya wanakagera hawakwenda shule? [emoji1427] Kama kuna upotoshwaji kwanini Wanakagera tumekaa kimya...
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Anasimulia mzee wangu ambaye alikuwa Mwalimu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam miaka hiyo Che Guavera alikuja Tanzania mwaka 1965. Anasema Che alijaribu kuulizia habari za Mwanamapinduzi aliyesaidia...
3 Reactions
14 Replies
4K Views
MOHAMED SAID NA MAUREEN TBC 1 HISTORIA YA UHURU WA TANGANYIKA Taarifa zimenifikia kuwa TBC1 watarusha kipindi cha historia ya uhuru wa Tanganyika leo saa sita na nusu mchana. Haya ni mahojiano...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Mapinduzi ya Zanzibar yalitokea mwaka 1964 ili kumuondoa madarakani Sultani wa Zanzibar na serikali yake, iliyoundwa hasa na Waarabu, na hatimaye kuweka uongozi mikononi mwa Waafrika, ambao ndio...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom