Jukwaa la Historia

On JF:

KUMBUKUMBU ZA PROF. KIGHOMA MALIMA NA SHEIKH IBRAHIM MAVUMBI WA TABORA UCHAGUZI WA 1995 Radio ya gari yangu siku zote wakati wote ninapokuwa naendesha kituo changu ninachosikiliza ni TBC Taifa...
6 Reactions
29 Replies
6K Views
Siku kama ya leo miaka 60 iliyopita Kwa mara ya kwanza Gari aina ya Volvo PV444 na Nyambizi iliyoitwa Hayen III ziligongana. Ajali hii ilitokea Mjini Liskill huko Sweden, mwaka 1960, hii ilikuwa...
4 Reactions
4 Replies
2K Views
Mauaji ya Moringe Sokoine, Horace Korimba, Dr.Mvungi, Daudi Mwangosi, na wengine ambao siwakumbuki naomba uwataje hapa chini.
1 Reactions
16 Replies
7K Views
Hii ilikuwa ni mwaka 1961 August 13 Askari wa Ujerumani Mashariki aliyeitwa Berlio akifanya kinyume na maagizo Directly na kumsaidia mtoto kutengana na familia yake kwa kuvuka ukuta wa Berlin.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
MUZIKI ULIOCHELEWA WA OMARI KUNGUBAYA Omari Kungu Baya alikuwa mpiga guitar maarufu katika miaka ya 1970. Nyimbo yake, "Salaam za Wagonjwa," ilikuwa ikifungua kipindi cha Radio Tanzania Dar es...
4 Reactions
8 Replies
3K Views
Inasemekana alihamia Uingereza na Malkia Catherine wa Aragon kutokea Hispania. Alikua mtumbuizaji kwenye mazishi ya Mfalme Henry VII na aliburudisha siku Mfalme Henry wa VIII anawekwa wakfu...
4 Reactions
9 Replies
2K Views
In the United States, the anti-vaccinationist movement, using pamphlets, court battles, and fights in state legislatures, succeeded in repealing compulsory vaccination laws in California...
1 Reactions
1 Replies
801 Views
WAZEE WANA USEMI "CHINI KUNAKWENDA WATU" Picha hizo mbili hapo chini hazihitaji maelezo mengi ni picha za Abdul Sykes na Julius Nyerere na wake zao. Picha ya Abdul Sykes imepigwa Government...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
JIFUNZE HISTORIA YA TANU KUTOKA MAKTABA YA MOHAMED SHEBE Angalia umma uliokuwa unahudhuria mikutano ya TANU Mnazi Mmoja. Nimefahamishwa kuwa shajara (diary) za Abdul Sykes zina hotuba za Nyerere...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Shekhe Amri Abeid ni mmoja ya washairi maarufu Tanzania na Meya wa kwanza Mwafrika ambaye pia ni mwanafunzi mwenzake wa Baba wa Taifa mwalimu Julius Kambarage Nyerere wakiwa wamesoma wote shule...
15 Reactions
37 Replies
10K Views
Habari ya uzima wanaJF, natumaini mko wazma sana. Kazi iendelee. Nimepokea jumbe nyingi kutoka kwa wadau mbalimbali wakiomba niweke bandiko kuhusu Sutherland’s Seven sisters, Kwani niliwagusia juu...
8 Reactions
14 Replies
2K Views
Israel haina mamlaka juu ya Gaza wala Jerusalem wala West bank. Israel ilivamia tu maeneo hayo ya Palestine toka miaka ya 1960s. Palestine ilikuwepo na kihistoria ilitawaliwa na Uingereza. Je...
8 Reactions
155 Replies
20K Views
NAMKUMBUKA RASHID KHERI BAGHDELLEH RAFIKI WA BABA YANGU Anza kwa kuangalia picha hapo chini. Baba Said Salum, Babu Salum Abdallah na juu ni Kheri Rashid Baghdelleh. Baba na Baghdelleh...
5 Reactions
18 Replies
3K Views
Tuendelee tulipoishia.... Mara baada ya kufariki kwa wazazi wao, basi ule usemi wa “wazazi ni nguzo; zikidondoka basi nyumba haina faida tena” ukachukua maisha ya mabinti hawa. Walitumia fedha...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
ABIRIA CHEO CHA PILI DARAJA yangu katika kazi sasa ilikuwa imeniwezesha kusafiri kama abiria wa cheo cha pili katika gari moshi. Mapendeleo haya yanayotamaniwa yalinijia baada ya miaka kumi na...
6 Reactions
12 Replies
3K Views
Tarehe 6 August 1926 mdada huyu alikuwa mwanamke wa kwanza Kuvuka mlango bahari kati ya Uingereza na Ufaransa (The English Channel) kwa kuogelea Kilomita 56.327 kwa masaa 14½ tu. Aliporudi kwao...
5 Reactions
5 Replies
2K Views
Mshiki: Dada Mamkwe: Mtoto wa Pili wa Kike katika Familia Haikaelly: Asante Mungu - Jina la kiume Haika: Asante,Jina la kike Finyaelly: Nguvu za Mungu Ndekarisho: Ndekirwa: Nderingo: Elikunda...
1 Reactions
15 Replies
21K Views
TGOS A TGOS A 1. (Sh240,000), TGOS A 2. (Sh245,600), TGOS A 3. (Sh251,200), TGOS A 4. (Sh256,800), TGOS A 5. (Sh262,400), TGOS A 6. (Sh268,000), TGOS A 7.(Sh272,000), TGOS A 8(Sh279,000), TGOS A...
5 Reactions
43 Replies
28K Views
Mji wa songea upo mkoani Ruvuma ndiyo manispaa pekee iliyopo katika mkoa wa Ruvuma Huu mji bhana ukiwa meajiriwa unakufaa kuishi na hutopata tabu Ila ukiwa mtafutaji wa kilasiku songea ni ngumu...
20 Reactions
47 Replies
13K Views
Mwishoni mwa mwezi Oktoba mwaka 1347 karne ya 14, meli 12 ziliwasili katika bandari ya messina mji wa Sicily nchini Italia zikiwa zimetokea bahari nyeusi maarufu kama The Black Sea. Sababu ilikua...
7 Reactions
25 Replies
5K Views
Back
Top Bottom