Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Wanafunzi wa chuo cha IFM wanaandamana kuelekea kituo cha police Kigamboni kupinga maovu yanayofanywa na majambazi hapo chuoni. Ina aminika kuwa police wanajua waliofanya uhalifu huo na bado...
0 Reactions
166 Replies
20K Views
Habari zenu wanaJF, Ninatafuta vyuo katika nchi zilizoendelea kama UK,USA,Canada,New Zealand na zinginezo ili niweze kupata nafasi ya kusoma masters katika mambo yahusuyo IT. Nimejaribu kufanya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Here are some of the "Best Books" I have read in 2012. Please post your list. The books need not be published in 2012, only read in 2012. Non-Fiction 10. Total Recall: My Unbelievably True...
20 Reactions
89 Replies
8K Views
Kwa wale mnaolitambua somo la falsafa (philosophy) kuna dhana moja potofu sana kwamba uyunani ya kale(ancient Greece) ndio wa kwanza kustaarabika na kujenga msingi wa'' wisdom''. hata Gwiji wa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
hivi mkuu wa mkoa wa pwani Bi. Mwantumu Mahiza anawaza nini kichwani kwake? kufunga shule ya wanafunzi ambao wanatarajia kufanya mitihani ya mwisho mwezi wa pili mwaka huu maana yake nini, tena...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF, mnaweza kunijuza wapi hapa bongo au mbele naweza kusoma diploma au advance diploma ya medical officer nakupata ufadhili wa serekali? Matokeo yangu ya O-Level Biology - B...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Mimi ni mwalimu katika shule moja ya sekondari huku Rufiji.Mwaka huu tunategemea fom 3 wa 1 ktk shule hii,Chakushangaza madarasa yakusomea hayajakamilika mpaka sasa na shule zimefunguliwa.Hii...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WanaJF Naomba kujua ada ya chuo kikuu huria kwa udergraduates.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Jaman naomben kujua kuhusu chuo hki cha kilimanjaro international institute je ni kizuri?
0 Reactions
7 Replies
8K Views
WATAHINIWA wapatao 2,602 wamefeli mtihani wa bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu [NBAA] Tarifa iliyotolewa na bodi na kusainiwa na Mkurugenzi Mtendaji wake, Pius Maneno ilisema jumla ya...
0 Reactions
43 Replies
11K Views
Katika hali iliyojili leo hapa UDOM KITIVO CHA ELIMU, Kila mtanzania mpenda maadili anapaswa kuupongeza uongozi. Inasemekana zaidi ya wanafunzi kumi na, wametimuliwa chuo kwa kosa la kuvaa mavazi...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
:flock:Mimi ni mwanafunzi wa chuo cha mwenge(moshi).ninasomea hesabu na takwimu (BS IN MATHEMATICS AND STATISTICS) hivo basi mwezi ujao (mwezi wa pili) tunatakiwa kufanya fieldwork katika mikoa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hey guys if any of you got some links which have a pile of exams, notes, practicals just post in here: I HAVE FOUND A COOL LINK JUST GET IN ONE OF THE FOLLOWING 1. http://202.82.16.155/bss/...
0 Reactions
0 Replies
555 Views
Tofauti ipi iko ya kielimu kati ya dk slaa na dk Wilimboka?
1 Reactions
43 Replies
7K Views
VYUO VIKUU MADESA YAKITIRI KUCLEM KWA SANA.MAKAZIN HAKNA UFANISI:evil::evil::evil::evil::evil::evil::evil::evil:
0 Reactions
6 Replies
1K Views
jamani ndugu zangu nina shida kweli na matokeo ya kidato cha nne ya mwaka 2003 na 2006, hususani ya Morogoro Sekondari mwak 2003 na Kigurunyembe Teachers college private candidates mwaka 2006
0 Reactions
8 Replies
15K Views
Jamani naombeni mnijuze kuna mdau mmoja kaniambia eti ajira kwa walimu wote ni mwez wa nne? Je mna taarifa hiyo.
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Ndugu wadau wa elimu, Tunafahamu kuwa kazi ya kutoa huduma ya elimu nchini Tanzania inafanywa na serikali na sekta binafsi. Serikali inajukumu la kuandaa sera, mitaala na kutoa miongozo kuhusu...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
KWA WANA SUA INABIDI TUMALIZE SEMISTER 1, 1/03/2013 :israel::israel:
0 Reactions
6 Replies
1K Views
miongoni mwa mambo nisiyoweza kuelewa ni nadharia ya mageuzi. Nadharia hii ya kisayansi naiona kama jambo lililopitwa na wakati. Katika nyakati hizi za maendeleo ya kisayansi tuliyofikia haiingii...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Back
Top Bottom