Wakuu habari za usiku,kwa wale ambao tumeajiriwa poleni na majukumu ya kila siku na wale ambao bado tunatafuta kazi tusikate tamaa MUNGU yupo na ipo siku atakusaidia utapata tu,Baada ya salam...
Kuna Dean wa Faculty ya ICT katia chuo kimoja (sitotaja jina la chuo) alikuwa anasimulia maswaibu anayoyapata katika kazi yake.
Alisema ya kwamba anahudumiua wanachuo 120, takribani 90% ya...
Habari wapendwa!, ni mara ya kwanza kuandika chochote mahali hapa. Kikubwa naomba kufahamishwa kwa wale wenye uzoefu. Nina Diploma in Electronics and Telecommunicatrions Engineering kwa bahati...
Wakuu habari za usiku,kwa wale ambao tumeajiriwa poleni na majukumu ya kila siku na wale ambao bado tunatafuta kazi tusikate tamaa MUNGU yupo na ipo siku atakusaidia utapata tu,Baada ya salam...
Poleni kwa shughuli,nahitaji msaada wa vyuo vya ualimu wa diploma,vyuo vya serikali,na wanaanza kuapply mwezi wangapi?plz nahitaji hata naejua gharama zake,nisaidieni tafadhali,Mungu awabariki
Hello watanzania wenzangu, mimi nina mapendekezo ambayo ningependa wadau wa elimu tujaribu kuyaangalia na kuya pa umuhimu...kutokana na swala la elimu kuwa muhimu kwa vijana wa nchi yetu nina...
mimi nlifanya mtihani wa form six kama private candidate mwaka jana nikafanikiwa kupata division 3 ya point 13 tatizo nilifeli GS nikapata F sasa sielewi kama nikifanya application ya kwenda chuo...
Kwa wale wanaopenda watoto wao kusomea mambo ya anga imeniwia kuomba radhi kwa wanaohusika na hiki chuo kwa matendo wanayoendelea kuwafanyia wanafunzi wao
muhimu kilichonileta hapa ni wale wazazi...
Kwa sasa, Tanzania ina vyuo vikuu vingi; tunamshukuru Mungu kwa hilo. Baadhi ya majukumu makubwa ya vyuo vikuu ni kutoa elimu kwa wanafunzi na kufanya tafiti mbalimbali kwa maendeleo ya taifa...
Ndugu wana JF Utawala wa Awamu ya Nne unakaribia kufikia ukingoni na kama ilivyo kawaida ya awamu zote matukio kadhaa makubwa ya Hujuma hufanyika ili kuficha/kufunika maovu yaliyofanywa ama na...
wana jf naomba msaada!
kuna kipindi serikali ilipiga marufuku kufundisha tuition mashuleni.
mwaka gani?
nani alikuwa waziri?
sheria( policy) gain ilitumika?
asanteni
MIHULA YA HIGH SCHOOL KUBADILIKA TZ.
Wanafunzi ambao wapo Form VI sasa imekubalika kufanya mitihani February(next month) badala ya May 2013) well and good.
Wanafunzi walio Form V sasa eti kuja...
Hi guys,
I have come accross to the website of Nice discussion whereby CPA guys can discuss as per their subjects in the Module. I think it is the useful one. It is called:-
Exhale Tanzania-An...
Leo baadhi ya wanachuo wa vyuo mbalimbali hapa nchini wanaanza mitihani yao ya kumaliza semister, vyuo hivyo ni kama UDSM, UCLAS etc.
Mimi kama mmoja wa wanachuo hao, napenda kuwatakia baraka na...
Wana jamvi kuna kitu ambacho watanzania tunashindwa kutofautisha ntaelezea tofauti hiyo ntaanza na CHUO KIKUU; kwa hapa tanzania tuna chuo kikuu kimoja tu nacho ni chuo kikuu cha dar es salaam...
Hello all; I hope you are all well. I am a student doing a PhD research on tourism in Tanzania funded by the World Bank. My goal is to find out what really affects the preferences of tourist...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.