Ni kinyang'anyilo cha Uchaguzi wa Serikali ya Ya Wanafunzi UDOSO.
Kuna hekaheka kubwa na Mhemuko mkubwa wa huo Uchaguzi. Ni uchaguzi unaovuta hisia kubwa juu ya makundi yanayohasimiana chuoni...
Tetesi kutoka katika kikao kati ya bodi ya mishahara ya serikali na wakurugenzi wa halmashauri zote nchini; madaraja ya waalimu yamerekebishwa, graduate ataanza na TGTS E kama laki 850,000 na...
New Zealand Development Scholarships are well known scholarships which are awarded each year by New Zealand Government. The scholarships are offered for the students of developing countries to...
Jumatatu nilikuwa nafanya maongezi na baadhi ya wanafunzi wa mwaka 2 UDSM wanaofanya bachelor degree of computer science katika maongezi yetu mengi kuna maswali nimuuliza mwanafunzi mmoja...
Walimu wakipata huduma bora hata utendaji kazi wao lazima uwe bora.Huduma kwao ni kuanzia mazingira ya kufundishia na kujifunzia pamoja na maslahi yao.
"kwa waliohama / uhamisho wa shule au kubadilisha vituo' hii ni muhimu sana kuepuka usumbufu hapo baadaye"
Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Bungu, Dismas Kimweli akizungumza na mwandishi wa...
Wadau leo nimekatiza maeneo ya Kimara,safar yangu ikiwa kuelekea KIMARA BONYOKWA,ila kuna ya kuingilia barabara ya kwenda bonyokwa upande wa kushoto nimeona jengo la ghorofa 3 au 4,ni leupe...
Ndugu zangu, siku za hivi karibuni waziri mwenye dhamana na elimu (Naibu waziri wa elimu) ameutangazia umma kuwa kushuka kwa ufaulu wa wanafunzi, kumetokana na kufutwa kwa adhabu ya viboko...
WanaJF naombeni msaada wenu kuhusu Chuo Kikuu cha Mount Meru University eti pia kinatoa stashahada ya ualimu kwa walimu wa grade A wenye at least D 5 cheti cha O-level ila nasikia ukifika...
Mwalimu aliacha kazi serikalimi takribani miaka mitano sasa na alivyoacha punde tu alikatiwa mshahara baada ya hapo akaomba ajira moevt akapata na amesharipoti na kuanza kazi kituo kipya sasa...
Ni mwezi wa pili na zaidi tangu wapate boom la mwisho,hadi leo hakuna ht dalili za kusign.Watoto wanakufa njaa kwa kula mlo mmoja.Na taarifa ni kwamba board ilisha tuma pesa tangu...
Hivi inamaana hawa viongozi watz wametuona sie mabongolala sana.
Kwamba sababu za kufeli kwa wanafunz wa shule ya msingi na form 4 hazifahamiki coz tangu mwaka 2007 hadi 2012 chart inashuka tu...
Habar wana uwanja. M napenda sana somo la biology coz linanijuza jins mwili wangu unavyofanya kazi.
Napenda kujua ni nin kinachofanya mtu acheke?
Inakuwaje kuwaje mpaka mtu acheke {how}...
Ukurutu(mange) ni ugonjwa wa ngozi wa kuambukizwa wenye dalili kuu zifuatazo: ngozi kuwa ngumu yenye magaga, ngozi kuwasha sana na kupotea kwa nywele/au manyoya unaosababishwa na wadudu wadogo...
Mi nashangaa tume kuundwa kuchunguza the reason why there are massive failures in the NECTA form four, i find it to be a means of using unreasonably the funds of poor tax payers. Haihitaji elimu...
Nina dv2 ya point 11(HGK) nataka kufanya application ya university mwaka huu ila nitabase sana kwenye faculties znazohusiana na Geography. Naomba mnisaidie hzo faculties pamoja na chuo kizur tz.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.