Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Ni kinyang'anyilo cha Uchaguzi wa Serikali ya Ya Wanafunzi UDOSO. Kuna hekaheka kubwa na Mhemuko mkubwa wa huo Uchaguzi. Ni uchaguzi unaovuta hisia kubwa juu ya makundi yanayohasimiana chuoni...
1 Reactions
36 Replies
6K Views
Tetesi kutoka katika kikao kati ya bodi ya mishahara ya serikali na wakurugenzi wa halmashauri zote nchini; madaraja ya waalimu yamerekebishwa, graduate ataanza na TGTS E kama laki 850,000 na...
0 Reactions
62 Replies
8K Views
New Zealand Development Scholarships are well known scholarships which are awarded each year by New Zealand Government. The scholarships are offered for the students of developing countries to...
0 Reactions
0 Replies
940 Views
1. Tuamkapo asubuhi tuwasalimu wazazi shikamoo baba/mama/kaka/dada etc HII NDO TABIA NJEMA !! 2. Mabata madomadogo yanaogelea katika shamba zuri la bustaani, yanapenda kuogelea bila viatuuu katika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jumatatu nilikuwa nafanya maongezi na baadhi ya wanafunzi wa mwaka 2 UDSM wanaofanya bachelor degree of computer science katika maongezi yetu mengi kuna maswali nimuuliza mwanafunzi mmoja...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Walimu wakipata huduma bora hata utendaji kazi wao lazima uwe bora.Huduma kwao ni kuanzia mazingira ya kufundishia na kujifunzia pamoja na maslahi yao.
1 Reactions
1 Replies
1K Views
"kwa waliohama / uhamisho wa shule au kubadilisha vituo' hii ni muhimu sana kuepuka usumbufu hapo baadaye" Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Bungu, Dismas Kimweli akizungumza na mwandishi wa...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Wadau leo nimekatiza maeneo ya Kimara,safar yangu ikiwa kuelekea KIMARA BONYOKWA,ila kuna ya kuingilia barabara ya kwenda bonyokwa upande wa kushoto nimeona jengo la ghorofa 3 au 4,ni leupe...
1 Reactions
16 Replies
7K Views
  • Poll
Ndugu zangu, siku za hivi karibuni waziri mwenye dhamana na elimu (Naibu waziri wa elimu) ameutangazia umma kuwa kushuka kwa ufaulu wa wanafunzi, kumetokana na kufutwa kwa adhabu ya viboko...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
WanaJF naombeni msaada wenu kuhusu Chuo Kikuu cha Mount Meru University eti pia kinatoa stashahada ya ualimu kwa walimu wa grade A wenye at least D 5 cheti cha O-level ila nasikia ukifika...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kulikua na tetec za form six kwenda jeshini,vp walienda? Kama walienda utaratibu wa kujiunga na vyuo ukoje maana cc wengine tulimaliza toka 2008.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Mwalimu aliacha kazi serikalimi takribani miaka mitano sasa na alivyoacha punde tu alikatiwa mshahara baada ya hapo akaomba ajira moevt akapata na amesharipoti na kuanza kazi kituo kipya sasa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni mwezi wa pili na zaidi tangu wapate boom la mwisho,hadi leo hakuna ht dalili za kusign.Watoto wanakufa njaa kwa kula mlo mmoja.Na taarifa ni kwamba board ilisha tuma pesa tangu...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Hivi inamaana hawa viongozi watz wametuona sie mabongolala sana. Kwamba sababu za kufeli kwa wanafunz wa shule ya msingi na form 4 hazifahamiki coz tangu mwaka 2007 hadi 2012 chart inashuka tu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habar wana uwanja. M napenda sana somo la biology coz linanijuza jins mwili wangu unavyofanya kazi. Napenda kujua ni nin kinachofanya mtu acheke? Inakuwaje kuwaje mpaka mtu acheke {how}...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ukurutu(mange) ni ugonjwa wa ngozi wa kuambukizwa wenye dalili kuu zifuatazo: ngozi kuwa ngumu yenye magaga, ngozi kuwasha sana na kupotea kwa nywele/au manyoya unaosababishwa na wadudu wadogo...
1 Reactions
0 Replies
8K Views
heshima yenu wakubwa,, Mimi nimehitimu kidato cha nne na kupata Math-F Geo-F Kisw-D Eng-D Hist-D Civ-D Phy-D Chem-D Bios-C Naweza kusoma Computer...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Ni chuo gani cha serikali ambacho kinaweza kunipokea nimemaliza fom 4 kama ifuakavyo: Math F Kisw F Eng D Hist D Geo D Civ C Bio D
0 Reactions
1 Replies
934 Views
Mi nashangaa tume kuundwa kuchunguza the reason why there are massive failures in the NECTA form four, i find it to be a means of using unreasonably the funds of poor tax payers. Haihitaji elimu...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Nina dv2 ya point 11(HGK) nataka kufanya application ya university mwaka huu ila nitabase sana kwenye faculties znazohusiana na Geography. Naomba mnisaidie hzo faculties pamoja na chuo kizur tz.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom