Ninajiuliza swali hilo hapo juu kwani wizara ya elimu imesitisha ajira za wakufunzi? Kama imesitisha kwanini? je vyuo vya serikali walivyo vipendekeza kuto DIPLOMA IN EARLY CHILDHOOD EDUCATION...
Wakuu sheria za elimu zinasemaje kuhusu hili? Hivi ni haki kwa wakuu wa vyuo/shule kuwazuia wanafunzi kufanya mitihani ya taifa inayotolewa na baraza la mitihani la tanzania(necta)? Kisa mtoto...
Tunafanya Admission ya kimasomo nchn India kwa mwaka wa masomo 2015/2016 katka chuo kikuu Bangalore, kwa course za arts, science na biashara, kwa ngazi ya diploma, degree na masters. Kwa...
A Texas A&M University Galveston professor has failed his entire management class this semester for lacking "the competence and/or desire to do the quality work necessary to pass the course,"...
Ni mwezi wa pili baada ya matokeo ya kidato cha nne CSEE 2014 kutoka. NECTA wanasubiri nini kutoa majina ya wanafunzi waliochaguliwa ili wazazi wajiandae.
Jamani naomba kujua, hivi baada ya majina ya waalimu kuondolewa na tangazo la kusitisha ajira mpya, je kwa sisi tuliokwishaona halmashauri zetu tunaruhusiwa kwenda kuripoti tarehe moja? Maana...
Ajira zetu vipi tena tumekubali kwenda vijijini kulijega taifa, tuko radhi kutumikia serikali popote palejaman, mbona mmetuonyesha kidogo mmeondoa marekiso hayo bado?
Tumejipangakufanya kazi so...
I am looking for someone who is studying or has completed a masters degree in microbiology and immunology at MUHAS. I just wanna know more about the courses and work load. Any help rendered will...
Nimekuwa nikipitia hatua mbalimbali za maisha, nilihitimu kidato cha sita mchepuo wa sayansi (PCB) miaka kadhaa iliyopita, sikubahatika kuendelea na ngazi ya shahada ila nikajiunga na masomo ya...
salaam sana, wana jamvi naombeeni kuelimishwa namna ya kutuma maombi ya ualimu wa diploma shule ya msingi, aidha nimeenda kule kwenye website ya necta maelezo nimeyapa nusunusu. sijaeelewa...
Habari,
Naam,ndugu zangu mnaoenda kusomea ualimu jueni ya kua nyie ni watu muhimu kwa taifa hili kwa kua in the near future ndio mtakao kuja ku impart knowledge and skills kwa watoto wa kitanzania...
Baada ya kimya cha muda mrefu hatimaye ajira za ualimu zimetoka. Ingawa wengi wamepelekwa vijijini lakini kutoka kwa ajira hizo kumeleta matumaini na furaha mpya kwa wahitimu wote waliokuwa...
Habari wanajamvi!
Tukumbushanene mambo yawapata wahitimu pindi wanapofuatia vyeti vyao!
Mimi ni pamoja na kuchelewa gari wakati nimesha kata ticket na lugha mseto!
Vipi wewe unakumbuka nini na...
habari ya jumapili, samahani ninatafuta chuo cha ualimu kwa ngazi ya cheti pia nauliza kwa wanaoelewa naomba kujua kama kwa matokeo haya naweza kupata hiyo nafasi, C moja, D Tatu, na E tatu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.