Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Ninajiuliza swali hilo hapo juu kwani wizara ya elimu imesitisha ajira za wakufunzi? Kama imesitisha kwanini? je vyuo vya serikali walivyo vipendekeza kuto DIPLOMA IN EARLY CHILDHOOD EDUCATION...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Wakuu sheria za elimu zinasemaje kuhusu hili? Hivi ni haki kwa wakuu wa vyuo/shule kuwazuia wanafunzi kufanya mitihani ya taifa inayotolewa na baraza la mitihani la tanzania(necta)? Kisa mtoto...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Tunafanya Admission ya kimasomo nchn India kwa mwaka wa masomo 2015/2016 katka chuo kikuu Bangalore, kwa course za arts, science na biashara, kwa ngazi ya diploma, degree na masters. Kwa...
0 Reactions
3 Replies
938 Views
A Texas A&M University Galveston professor has failed his entire management class this semester for lacking "the competence and/or desire to do the quality work necessary to pass the course,"...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni mwezi wa pili baada ya matokeo ya kidato cha nne CSEE 2014 kutoka. NECTA wanasubiri nini kutoa majina ya wanafunzi waliochaguliwa ili wazazi wajiandae.
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Jamani naomba kujua, hivi baada ya majina ya waalimu kuondolewa na tangazo la kusitisha ajira mpya, je kwa sisi tuliokwishaona halmashauri zetu tunaruhusiwa kwenda kuripoti tarehe moja? Maana...
0 Reactions
44 Replies
9K Views
Ajira zetu vipi tena tumekubali kwenda vijijini kulijega taifa, tuko radhi kutumikia serikali popote palejaman, mbona mmetuonyesha kidogo mmeondoa marekiso hayo bado? Tumejipangakufanya kazi so...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habar members...naomba mtu ambaye anazifahamu theories za trade union anitajie kwa majina na waandish wa hzo theories pia itakuwa poa
0 Reactions
0 Replies
621 Views
I am looking for someone who is studying or has completed a masters degree in microbiology and immunology at MUHAS. I just wanna know more about the courses and work load. Any help rendered will...
0 Reactions
4 Replies
982 Views
Husika na kichwa hapo juu, sababu kuna wengine wamekwisha anza safari.
0 Reactions
64 Replies
6K Views
Nimekuwa nikipitia hatua mbalimbali za maisha, nilihitimu kidato cha sita mchepuo wa sayansi (PCB) miaka kadhaa iliyopita, sikubahatika kuendelea na ngazi ya shahada ila nikajiunga na masomo ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
sifa za kujiunga na st joseph kwa barchelour of education kwa miaka miaka mitano zikoje na board inatoa mkopo kwa watu hao
0 Reactions
3 Replies
2K Views
nilikua nataka kuingia katika website ya bodi ya mikopo kuangalia taarifa mpya,duuh nimekutana na mauzauza sijui hata ni nini,ma IT watujuze
0 Reactions
3 Replies
992 Views
salaam sana, wana jamvi naombeeni kuelimishwa namna ya kutuma maombi ya ualimu wa diploma shule ya msingi, aidha nimeenda kule kwenye website ya necta maelezo nimeyapa nusunusu. sijaeelewa...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Nimepangwa Arusha lakini bado nina vimeo chuo hivyo sina transcript siku ya kuripoti nifanyeje? Ngazi ya Shahada
0 Reactions
4 Replies
991 Views
Habari, Naam,ndugu zangu mnaoenda kusomea ualimu jueni ya kua nyie ni watu muhimu kwa taifa hili kwa kua in the near future ndio mtakao kuja ku impart knowledge and skills kwa watoto wa kitanzania...
1 Reactions
104 Replies
11K Views
hellow kwa wale tuliosoma tinde kuanzia mwaka 2010-2015 tujuane big up sana kwa wale wote tuliopita hapo mungu awajalie afya njema kwenu
0 Reactions
0 Replies
850 Views
Baada ya kimya cha muda mrefu hatimaye ajira za ualimu zimetoka. Ingawa wengi wamepelekwa vijijini lakini kutoka kwa ajira hizo kumeleta matumaini na furaha mpya kwa wahitimu wote waliokuwa...
0 Reactions
20 Replies
7K Views
Habari wanajamvi! Tukumbushanene mambo yawapata wahitimu pindi wanapofuatia vyeti vyao! Mimi ni pamoja na kuchelewa gari wakati nimesha kata ticket na lugha mseto! Vipi wewe unakumbuka nini na...
0 Reactions
4 Replies
974 Views
habari ya jumapili, samahani ninatafuta chuo cha ualimu kwa ngazi ya cheti pia nauliza kwa wanaoelewa naomba kujua kama kwa matokeo haya naweza kupata hiyo nafasi, C moja, D Tatu, na E tatu
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom