Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
231
Posts
7.2K
Threads
231
Posts
7.2K

JF Prefixes:

  • Redirect
nna 5 m nahitaji kufanya biashara ndogo nisaidien mawazo
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Za asubuhi nyote. Naombeni msaada kidogo wa kupatiwa maeneo ambayo kuna wakulima wengi wenye kulima mazao ya biashara. Na wakulima wenyewe wanauza kwa vikundi au wanauzia makampuni moja kwa moja...
0 Reactions
Replies
Views
Tunazo system za kisasa zenye kusimamia biashara yako vizuri. Zinadhibiti udokozi unaofanywa na wauzaji Gharama ni nafuu mnoo.
0 Reactions
0 Replies
704 Views
  • Redirect
Habari zenu wakuu, Naombeni ushauri wenu wakuu, nina mtaji wa shilingi laki mbili lakini sijui nifanye biashara gani. Asanteni.
0 Reactions
Replies
Views
Nimeona kwenye taarifa ya habari kuwa ni kinyume cha sheria kuwa na biashara isiyosajiliwa. Naomba kujuzwa na wanaojua huu utaratibu ulivyo. Ni biashara ipi inayotakiwa kusajiliwa na nini faida...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Dear All, Please i looking partinership for NGOs project. The NGOs will provide food,shelter and clothes and their education every where. for information please call me and send email ...
0 Reactions
0 Replies
572 Views
Nataka kujua bei ya embe, mimi nipo Kahama, Shinyanga. Tafadhali mnaojua bei kwa azam na kwingineko naomba mnijulishe. Nina gunia zaidi ya 150 nataka niangue hivyo nataka kujua bei kwa kilo au...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa wanunuzi wa mazao click link Soko la mazaoUZA NUNUA kujiunga katika group la what's app litakalo kuwezesha kuwafikia wakulima kirahisi na kupata mazao mbalimbali kama papai, kitunguu maji...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Ule msururu wa watu kuingia Twinga (Bank) leo ( Nimeona kupitia ITV) wote watakuwa wameenda kutoa chao... sasa sijui itakuwaje.
0 Reactions
0 Replies
554 Views
Habari, Taarifa za fedha hasa za robo ya mwaka na za mwaka kwenye makampuni yaliyosajiriwa DSE zimekuwa zikichapishwa kwenye lugha ya kiingereza na kushindwa kufikia malengo ya Taarifa za fedha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Redirect
Wadau, nataka kuwekeza katka biashara ya mashine ya kusaga na kukoboa. Naomba ushauri wenu kwa wenye uzoefu na biashara hii.
1 Reactions
Replies
Views
Najiuliza coca cola wanatumia bajeti ya kiasi gani kwa marangazo ya TV...? watu wao wa matangazo strategies zao ni nini? Hili tangazo la sasa naliona ni kila baada ya dakika chache tu... je...
4 Reactions
129 Replies
10K Views
Habari Wanajukwaa Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu chuo kikuu cha Dodoma(UDOM) Natarajia kuhitimu masomo mwezi wa saba (July) mwaka huu.(2016). Profesheno yangu ni Ualimu, tena ni Mwalimu...
1 Reactions
20 Replies
6K Views
hello JF nina hicho kiasi na ninataka faida ya angalau buku 20 kwa siku kama faida mradi gani utafaa..?
0 Reactions
21 Replies
9K Views
  • Redirect
Habar? Kuna njia nyingi ambazo zinaweza kukusaidia kufikia malengo yako mojawapo ni kujitangaza! Kwa njia ya kisasa kabisa GRAPHICS DESIGN/MABANGO Njoo tufanye promotion ya biashara kwa njia Hui...
0 Reactions
Replies
Views
Habari za kazi wana jamvi.... Nilikua na share na kampuni fulani ambayo ilisajiriwa brela na mimi nikiwa share holder na mmoja wa directors lakini mimi sikua owner wala founder wa hiyo kampuni...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
  • Redirect
1 Reactions
Replies
Views
Habarini za leo? Natafuta mtaalamu wa kuandika mchanganuo wa biashara. NIKO DSM. Nauhakika hapa ndiyo mahali pake. Yeyote mwenye utaalamu huu naomba anifahamishe ili nimpe details. Natanguliza...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
UK firm to build Sh2tr resort in Zanzibar
1 Reactions
6 Replies
701 Views
  • Redirect
Heshima kwenu wakuu Nina laki tano nataka kuanzisha Biashara..naogopa kukurupuka Wazoefu nisaidieni je naweza kuanzisha Biashara gani ikalipa? Naishi Mburahati
1 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom