Salaam wakuu!
Jajajomills we want to make it simple and clear, sembe na dona safi, inatengenezwa na Jajojomills tu. Hizo zingine ni lazima uchekeche kabla ya kutumia, uchafu kibao!! yaani ni...
Wakuu,
Mwenye uzoefu na hizi Tritank (zinatengenezwa Arusha) za kuhifadhia maji tafadhali nijuze naona bei yake ipo chini kidogo ya Polytank na Simtank (za Dar).
Shukrani kwa ushirikiano katika...
habarini wandugu, nina tv yangu ya mchogo ilikuwa inaonesha rangi vizuri ila saivi inaonesha rangi ya blue iliyochanganyikana na nyeusi kiujumla inaboa kinoma noma, sasa juzi niliileta kwa fundi...
Habari zenu jamani, nilikua naomba kama kuna mtu anajua njia rahisi ya kutuma mizigo kutoka Marekani kwenda Tanzania anipe mwongozo.Coz sielewi Tanzania posta wanatumia vigezo gani wanapo charge...
Habari zenuwana JF. naomba ushauri wa hili jambo
Nilifungua biashara stationary ndogo tu mwaka 2013. Halafu mwaka 2014 kutokana na biashara kutokuwa nzuri nikaifunga. kwa kutokujua kuwa biashara...
Barrick, AGA on defensive
By J. MWAMUNYANGE
THE EAST AFRICAN
Posted Saturday, November 29 2008 at 09:58
Two of Tanzania's largest mining companies have come out fighting over...
Kwa wadau wanaoishi Marekani..haswa wa Houston. Kuna tetesi kwamba Dr Tenende wa Houston na wenzake wachache wako mbioni kuandaa mkutano wa diaspora ya watanzania wanaoishi marekani. Cha...
Wakuu kuna kitu kimoja nimekiona kwa wafanyabiashara wengi wa Tanzania ambacho naona kama kinaendelea na kuzoeleka kwa wafanyabiashara wengi sina uhakika kama wako sahihi lakini kwa mtazamo wangu...
Habari wadau.
Natafuta mjasiriamali wa kushirikiana kupanga nae fremu kwenye hostel za wanachuo udsm na kufanya separation ya fremu space via aluminium na kila mtu akafanya biashara yake...
Habari wana jamii. Nahitaji taarifa au msaada wenu hasa wadau, wataalamu wa uchimbaji madini ya Dhahabu.
Mimi ni Mtanzania lakini naishi nje. katika mazungumzo na sifa mbali mbali za nchi yetu...
Hivi nasikia Tanzania hii kuna madini mengi sana jamani na biashara ya madini watu wanatengeneza pesa sana mm nataka maarifa juu ya madini haya yanayo patikana humu nchi
1. Greenganet
2...
Ndugu wana JF naomba kuuliza bei ya madini ya green amazonite na mtu mwenye kujua soko lake kwa hapa Tanzania. Ninaposema soko namaanisha ni wapi naweza kuuza au ni kina nani ambao wana"dili" na...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bullish
This pair is bullish, though it only consolidated last week, moving between the support line at 1.1700 and the...
Isha wahi kukutokea una shamba au unafuga kuku au una Duka au una miliki basi la Usafiri au Mradi wowote ule.
UKO UNAFUGA KUKU
Unafuga kuku labda layers au Broiler na unawafanya kazi wawili au...
Habari Jf,
Nina msichana wangu wa nyumbani ambaye kwa kweli amenisaidia sana kwa miaka 2 na nusu aliyokaa na mimi.pamoja na kazi zake kufanya vizuri lakini pia hana kiburi au tabia za kuchocha...
Tanzania Q1 growth slows to 5.7% - CNBC Africa
Tanzanian growth slowed to 5.7 percent in the first quarter of this year, hurt by slower-than-expected performance of construction, transport...
Habari zenu wana jukwaa,
Ndo kama Leo tulivotangaziwa na tulivoona Leo ulikuwa ni uzinduzi Wa mradi mkubwa Wa Bomba la mafuta toka Hoima Uganda mpaka Tanga
Mimi kama mdau Wa sekta ya ujenzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.