Za asubuhi nyote.
Naombeni msaada kidogo wa kupatiwa maeneo ambayo kuna wakulima wengi wenye kulima mazao ya biashara. Na wakulima wenyewe wanauza kwa vikundi au wanauzia makampuni moja kwa moja...
Nimeona kwenye taarifa ya habari kuwa ni kinyume cha sheria kuwa na biashara isiyosajiliwa. Naomba kujuzwa na wanaojua huu utaratibu ulivyo.
Ni biashara ipi inayotakiwa kusajiliwa na nini faida...
Dear All,
Please i looking partinership for NGOs project.
The NGOs will provide food,shelter and clothes and their education every where.
for information please call me and send email ...
Nataka kujua bei ya embe, mimi nipo Kahama, Shinyanga. Tafadhali mnaojua bei kwa azam na kwingineko naomba mnijulishe.
Nina gunia zaidi ya 150 nataka niangue hivyo nataka kujua bei kwa kilo au...
Kwa wanunuzi wa mazao click link Soko la mazaoUZA NUNUA kujiunga katika group la what's app litakalo kuwezesha kuwafikia wakulima kirahisi na kupata mazao mbalimbali kama papai, kitunguu maji...
Habari,
Taarifa za fedha hasa za robo ya mwaka na za mwaka kwenye makampuni yaliyosajiriwa DSE zimekuwa zikichapishwa kwenye lugha ya kiingereza na kushindwa kufikia malengo ya Taarifa za fedha...
Najiuliza coca cola wanatumia bajeti ya kiasi gani kwa marangazo ya TV...?
watu wao wa matangazo strategies zao ni nini?
Hili tangazo la sasa naliona ni kila baada ya dakika chache tu...
je...
Habari Wanajukwaa
Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu chuo kikuu cha Dodoma(UDOM)
Natarajia kuhitimu masomo mwezi wa saba (July) mwaka huu.(2016).
Profesheno yangu ni Ualimu, tena ni Mwalimu...
Habar?
Kuna njia nyingi ambazo zinaweza kukusaidia kufikia malengo yako mojawapo ni kujitangaza!
Kwa njia ya kisasa kabisa GRAPHICS DESIGN/MABANGO
Njoo tufanye promotion ya biashara kwa njia Hui...
Habari za kazi wana jamvi....
Nilikua na share na kampuni fulani ambayo ilisajiriwa brela na mimi nikiwa share holder na mmoja wa directors lakini mimi sikua owner wala founder wa hiyo kampuni...
Habarini za leo?
Natafuta mtaalamu wa kuandika mchanganuo wa biashara. NIKO DSM. Nauhakika hapa ndiyo mahali pake. Yeyote mwenye utaalamu huu naomba anifahamishe ili nimpe details. Natanguliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.