Samboko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2011
- 5,417
- 7,731
Nimeona kwenye taarifa ya habari kuwa ni kinyume cha sheria kuwa na biashara isiyosajiliwa. Naomba kujuzwa na wanaojua huu utaratibu ulivyo.
Ni biashara ipi inayotakiwa kusajiliwa na nini faida za kusajili na hasara zake pia. Wajuvi karibuni kwa msaada ili nijue pa kuanzia kama nitahitajika kufanya hivyo.
Ni biashara ipi inayotakiwa kusajiliwa na nini faida za kusajili na hasara zake pia. Wajuvi karibuni kwa msaada ili nijue pa kuanzia kama nitahitajika kufanya hivyo.