Kwenye MAISHA bila kujali wewe ni MWEMA kiasi gani ni lazima kuna watu ambao hawatakupenda, bila kujali umefanikiwa kiasi gani lazima kuna watu WATACHUKIA mafanikio yako, bila kujali unafanya nini...
anaandika zingo
Mawazo ya HOFU ndani ya mtu hayana uhalisia na ni kitu cha muda tu, bali ni zao la TABIA za hofu tulizorithi au tulizolishwa kwenye jamii kupitia milango yako ya ufahamu na...
Wakuu salaam
Nipeni mchanganuo wa ujenzi wa nyumba yenye vyumba viwili na sebule chumba kimoja ni master
Na vyoo vya nje
Kwa hapa mwanza inaweza kucost sh ngapi?
Habari,
Mazingira yangu ya kazi ni kijijini nahitaji kujaza gesi ya lake pale Igunga mtungi wa kg 15 nauliza je bei ya sasa ya kujaza kg 15 ni bei gani. Nauliza nipate uhakika maana naagiza mtu...
Wandugu naomba msaada MTU mwenye uzoefu na Biashara ya max malipo, faida zake zikoje na utaratibu Wa kujiunga?
Natanguliza shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu habarii?
Naomba kwa MTU yoyote ambaye anafahamu hii biashara ya kuchukua move kwenye mtandao kisha kubarn na kuziweka kwenye CD, au dvd, namaanisha biashara ya aliyokuwa anafanya lufufu...
Ninayo good news ambayo napenda nikufikishie mtu wangu ambayo nimefikishiwa na Kampuni ya Mikono Speakers na wanapenda pia ikufikie.
Ninazo Complimentary Tickets zaidi ya 500 ambazo zitakuwezesha...
Wadau wale wataalamu wa mambo ya uchumi na ujasiriamali naomba kufahamishwa kuhusu Taratibu zinazotakiwa kufuata na kiasi cha mtaji wa fedha unaohitajika ili kuanzisha Microcredit Company hapa...
Habari wana ndugu wa jukwaa hili la kuelimishana jinsi gani ya kujikwamua kiuchumi,lengo la kuandika uzi huu ni kumpata mtu ambae nitashirikiana nae katika kuiendeleza biashara yangu ambayo...
Naomba msaada kwa Watalam wa uchumi Nina pesa mil 5 je ili nisikumbane na makato makubwa niweke kwa bank account au eatel money? Msaada.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kichwa kinavyo sema hapo juu Mim ni muhanga wa ajira za serikali.
Nataka hamishia makazi yangu Tabora na kujihusisha na biashara ya matunda mchanganyiko hapo tabora
Kwa wakazi wa Tabora...
AUS200
Dominant bias: Neutral
In the last two months, this market has not moved in a directional mode. It has been moving only in a zigzag manner since then, in a quite choppy environment. This...
Habari wakuu,
Kama kichwa kinavyojieleza nataka kutumiwa mzigo kutoka sweeden! Tulitaka kutumia DHL ila inasemekana hawa jamaa branch ya bongo siyo waaminifu so, tumekua scared kufanya nao hyo...
Kama mlivosikia kuwa bomba hilo la mafuta litagharimu sh. Trilioni zaidi ya 7
Zabuni za ujenzi zinatazamiwa kutangazwa mwishoni mwa mwaka huu na hivyo ujenzi wa bomba utaanza katikati ya 2018 na...
wana jamii forums wote karibuni kiwanda changu kidogo cha kuchapa tshirt, mabango, kofia, banners,
tumsapoti magufuli kwa vitendo..
tanzania ya viwanda iko mikononi mwetu
Habari wakuu..!!
Kifupi nina shida na uhitaji wa kupata mtaji wa kuendesha biashara yangu (operating capital). Nina kampuni changa ya microcredit activities (utoaji wa huduma za mikopo) ambayo...
Habari wadau,
Kuna cement za aina ya rhino na lucky naziona sokoni zikiuzwa kwa 14,000/= na 14,500/= respectively.Je ni nzuri kwa kutumia kutengeneza matofali? Nipeni info kuhusu quality za...
Lets Share; Our Trades, Pips Made, Losses & Profits, Signals, Strategies and Analysis.
This is for Experienced Traders and Newbies.
CC @tallinex, Davion Delmonte Jr.
NB: Naomba Moderators...