Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

D9 CLUB NI KAMPUNI YENYE WATAALAMU WA KUNUNUA NA KUUZA HISA HASWA ZA MICHEZO (SPORTS TRADING) SPORTS TRADING ni biashara ya kuuza na kununua hisa za michezo kimataifa ambapo mwanachama anapata...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Sisi vijana mara nyingi tunapoanza pirika za kutafuta maisha hujikuta tunaingia katika biashara kutokana na msukumo au uhamasishaji wa marafiki ,jamaa ama ndugu zetu ambao wametangulia katika...
6 Reactions
8 Replies
6K Views
Habari za leo wakuu! Maxmalipo wameanzisha application yao inayoitwa Smartmalipo application ambayo unaweza ku-install na kufanya registration kuwa wakala wa maxmalipo kupitia hiyo application ya...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Habari wadau nimejiuliza sana hivi shilingi 5,10 na 20 kupotea mataan nina weza kusema nina miaka kama mitatu sijaziona hela hizo na sijaona tangazo la serikali au BOT kuziondoa kwenye matumizi...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Khabari wadau... Swali langu ni fupi .. je kuna usajili katika kuanzisha biashara ya min restaurant ya chakula.. kama chips.. wali.. n.k..kama ipo njia ni zipi na certificates za usajili ni zipi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wandugu napenda kuanza nianze kuongelea uchumi wa Tanzania kwa sasa.ripoti mbalimbali zilionesha ukuaji mzuri wa uchumi wa nchi yetu na BOT pamoja na Mh polepole kusifia ukuaji wa uchumi...
0 Reactions
0 Replies
971 Views
Kama una shamba heka.1 na lina.miundo mbinu kama maji na hata umeme na still wewe ni wa kutumwa basi una tatizo kichwani mwako. How come una shamba lina maji ya uhakika na sio ya kuunga uunga na...
8 Reactions
17 Replies
3K Views
Habari zenu friends hivi biashara ya tigo rusha inalipa? na kwa mtaji wa 100,000 faida inafika shngapi!
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Kama mtaalamu mdogo sana katika maswala ya uchumi kuna vitu nilikuwa navingojea ili niweze kutoa mtazamo wangu na nilikuwa nafuatilia kidogo kwa mbali nikawa napata feedback kuanzia mwezi wa tisa...
4 Reactions
24 Replies
4K Views
Habari ya kutwa wanaharakati. Nahitaji leseni ya biashara naomba kujua utaratibu ukoje mpaka napata leseni. Tin number tayari ninayo
0 Reactions
8 Replies
5K Views
It worth sharing the following SAYING of the Late Dr Myles Munroe; a man of wisdom. He was quoted as saying: I was born poor, sleeping on the floor with cockroaches and rats. Today, I own my own...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Helloo wa ndugu kati ya watu wabishi na mimi nimo lakini kuinvest kwenye biashara hii kweli nilijitoa mhanga na saivi nitakuwa nina uhakika wa kulaza zaidi ya sh 70000 kama faida per day kwa...
9 Reactions
27 Replies
6K Views
GOLD (XAUUSD) Dominant Bias: Bearish Early in September, Gold went upwards to reach a high of 1357.14 on September 8. Since then, Gold has lost at least, 8,200 pips, creating a huge Bearish...
1 Reactions
2 Replies
542 Views
Habari wakuu! Baada ya kutoa training dar kuhusu forex , TMT (The Million Team) chini ya usimamizi wa boss ONTARIO sasa ipo mbioni kuanza kutoa mafunzo hayo kwa wale watu wa mikoani ,, mafunzo...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bearish The market lost about 200 pips last week, went briefly below the support line at 1.1750 and then went above it, to close...
1 Reactions
3 Replies
609 Views
Habarini wanajukwaa? kwa wale wakatoliki hii itatugusa zaidi. Ni ukweli usiopingika kwamba hii radio station inayoitwa Radio Maria inafanya kazi kubwa kuinjilisha kwa njia mbali mbali kama...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Tulimtukana sana Mwijage kuhusu kauli yake ya kuhamasisha kuwa kiwanda ni hata pale unapokuwa na vyerehani vinne. Katika pitapita yangu kwenye mtandao nimekutana na kampuni au kiwanda kilichoanza...
0 Reactions
1 Replies
912 Views
Habari Wanajukwaa: Kwa Wale Wadogo Zangu Mliochaguliwa Vyuo Vya Afya Hasa Diploma ( Clinical Medicine, Pharmacy & Nursing) Kuna Hii Biashara Ya Vifaa Vya Hospital Vya Mwanafunzi ( Vital Sign...
2 Reactions
12 Replies
4K Views
Moja ya Chalange inayo tukabili wajasiriamali wa bongo ni kuto ku heshimu dream zetu. Kila mmoja najua ana dream au Idea yake ambayo angetamani kuitekeleza kabla hajafa. Ila tatizo ni pale mtu...
9 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau naomba kuuliza hii taasisi ya PRIDE imefilisika? Nauliza haya kwasababu siku hizi wamekuwa wakisua sua sana kukopesha Pesa. Inafikia kipindi hadi mkopoji had I wa tsh300000 inawachukuwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…