HIVI UNALINDA WADHIFA(BRAND,STATUS) AU UNALINDA UMASIKINI??? Etiiiii Etiiiii!!!!!!
Wengi wetu tunaishia kwenye kununua vitu ambavyo vitaendelea kutoa fedha mifukon mwetu badala ya kununua vitu...
Ewe Mjasiriamali/Mfanyabiashara zingatia haya kabla ya kuanza biashara/wazo la biashara!
Habari zenu
Kumekuwa na ongezeko la watu kuingia katika ujasiriamali/kufanya biashara hasa katika kipindi...
CAREER TIMES LTD wameandaa semina ambayo imelenga wafugaji wa kuku wa nyama, kuku wa mayai, kuku chotara,bata na kuku wa kienyeji.
Dhumuni la semina hii ni kuwafundisha wafugaji wa kuku njia ya...
Jamani hii inasikitisha sana kuona kwamba nchi zetu haziwezi hata kutengeneza vitu vidogovidogo ambavyo vingeweza kutusaidia katika maisha yetu ya kila siku.
Kwa kweli mimi nawaahidi kuleta...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bullish
A bullish signal was generated on this pair last week, as the market gained 200 pips, to test the resistance line at...
You must be in the mind of your children in order to be successful" I stand to be corrected for this
Kwa nini unafikiri baba/mama kuna mahali walikosea? , kwa nn ukipigiwa story na kuambiwa kuwa...
Nimejaribu kupiga sana 0800110045 bila mafanikio kuanzia saa moja mpa sasa hivi saa mbili simu inaita tu haipokelewi nikapiga
+255 22 211 8411 namba ya ofisi ya Air Tanzania naambiwa haipatikani...
THE WAYS WE CON OURSELVES
I support a particular hospital charity that each year or so runs a home lottery and every year I enter. To date I have won a digital camera, an iPod, an Apple TV, a...
KUMEKUWEPO na upotoshaji mkubwa na wa makusudi unaofanywa na maafisa wa Bodi ya Bima ya Amana (DIB) kuhususiana na kwa nini wateja wa iliyokuwa benki ya FBME walichelewa kulipwa amana zao zilizopo...
Kuna hii fursa ambayo nimekuwa na lengo la kuifanya mda mrefu
kuna jambo ambalo linanisukuma kuanzisha hii e-commerce website sababu kubwa ni kuongezeka kwa watumiaji wa internet
nilijaribu...
Habari zenu wakuu
Kama hapo juu panavyojieleza, mimi ni mfanyabiashara wa mbao kutoa mafinga kupeleka dar es salaam, nahitaji mtu wakushirikiana nae mwenye ujuzi wa kutafuta masoko, hata kama...
Mfanyabiashara kutoka Nigeria Aliko Dangote bado ndiye mtu tajiri zaidi barani Afrika kwa mujibu wa orodha ya mabilionea mwaka 2017 iliyoandaliwa na jarida la Forbes.
Utajiri wa Dangote...
Mfumo wa sasa wa uchumi haumsaidii mfanyabiashara wa kati Tanzania. Wafanyabiashara wa kati ni wale ambao wanaitaji msaada wa Bank ili kuweza kukuza biashara zao. Mfumo wa sasa ni mzuri kwa...
Jinsi mtanzania anavyoweza kujiingizia kipato Kupitia mitandao, unaweza kudownload file la pdf hapa; haitumii youtube wala blog, ni njia rahisi inayoweza kukuingizia kipato kizuri kwa siku.
Wakuu.
Jana limetoka tangazo mara la kuruhusu watanzania kuuza mahindi nchi za nje. Mkumbuke mnunuzi mkuu wa mahindi ya Tanzania ni Kenya na kwa msimu huu Zambia kazalisha mahindi mengi mno na...
Hello wadau,
Naomba kujua yafuatayo kuhusu insurance brokers companies
1. Namna wanavyotengeneza faida
2. Namna ya kupata usajili ili uwe broker
Ahsanteni
Wana JF habarini.
Mimi ni kijana I am in my early 20's. Nataka kuwa na kampuni ya FILM PRODUCTION. To be honest sina mtaji mkubwa. Sina hata vifaa.
Kinacho nisukuma kufungua kampuni...
Ndugu wana jamvi,
Nimeleta uzi huu ili tusaidiane mawazo,
Mimi nataka kufungua duka jirani na duka lililopo awali, lakini ninapanga kwamba ili nipate wateja wengi basi kitu niweke faida ndogo...