Zanzibar wanachukua vitu bongo. Hiyo ilikuwa zamani siku hizi sidhani kama kuna kitu cha kutoa znz.uchumi wenyewe uko wapi wanategemea kuagiza kila kitu? Naomba uniaminiHabar Zenu wadau Naomba msaada kujua kwenye hilo nililouliza kama tittle inavyosema apo juu Nawasilisha Ahsanteni
Unaweza kutag watu mbali mbali waje watusaidie juu ya suala langu ilo apo
Ukwaju, urojo na haluaZanzibar wanachukua vitu bongo. Hiyo ilikuwa zamani siku hizi sidhani kama kuna kitu cha kutoa znz.uchumi wenyewe uko wapi wanategemea kuagiza kila kitu? Naomba uniamini
Mbona nimeskia wafanya biashara wengi Bongo wanachukua pempas za watoto Znz na kwenda kuuza Bara?Zanzibar wanachukua vitu bongo. Hiyo ilikuwa zamani siku hizi sidhani kama kuna kitu cha kutoa znz.uchumi wenyewe uko wapi wanategemea kuagiza kila kitu? Naomba uniamini
Nimekaa Znz miaka miwili na ndio nimerudi October last year, shida siku hizi utalipa ushuru Znz na ukifika hapa unalipa tena ushuru Uleule. Karibu lakini utakuja ukubali ninachokisemaMbona nimeskia wafanya biashara wengi Bongo wanachukua pempas za watoto Znz na kwenda kuuza Bara?
Ndio...urojo. Kama upo Dar ukifika Kimanga mwisho kwa mpemba utapata urojo na kachoriUrojo!?
ma tunajiita nchi zilizo ungana na kuwa nchi moja !Nimekaa Znz miaka miwili na ndio nimerudi October last year, shida siku hizi utalipa ushuru Znz na ukifika hapa unalipa tena ushuru Uleule. Karibu lakini utakuja ukubali ninachokisema
Well saidNimekaa Znz miaka miwili na ndio nimerudi October last year, shida siku hizi utalipa ushuru Znz na ukifika hapa unalipa tena ushuru Uleule. Karibu lakini utakuja ukubali ninachokisema
Labda ubuyuZanzibar wanachukua vitu bongo. Hiyo ilikuwa zamani siku hizi sidhani kama kuna kitu cha kutoa znz.uchumi wenyewe uko wapi wanategemea kuagiza kila kitu? Naomba uniamini
Me nataka nijue tu ni Biashara gan ambayo ukitoa Znz Bongo inauza sana ilo suala la ushuru ntajua nipambane nalo vpeeNimekaa Znz miaka miwili na ndio nimerudi October last year, shida siku hizi utalipa ushuru Znz na ukifika hapa unalipa tena ushuru Uleule. Karibu lakini utakuja ukubali ninachokisema
Kama mna madiwani wazuri wanauzika vizuri tu huku bara.Habar Zenu wadau Naomba msaada kujua kwenye hilo nililouliza kama tittle inavyosema apo juu Nawasilisha Ahsanteni
Unaweza kutag watu mbali mbali waje watusaidie juu ya suala langu ilo apo