Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Afsa TRA mnaona watu wamejazana wanaomba kufunga TIN zao kwa kuwa biashara hamna nyie at a kuangalia jinsi gani ya kuwapunguzia kodi ata wawe wanaleta kidogo hamna.alafu mnasema hapa kazi tu!!kazi...
0 Reactions
1 Replies
973 Views
Habari wana Jf natumaini kama kichwa kinavyojieleza kwa wewe ulie maeneo ya moshi na unahitaji kutengeneza hera hapo ulipo bila jasho basi changamkia mchongo huu. Mimi ni mfanyabiashara...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu zangu Bajaj mmeingia cha kike kujidai wa kishua kujichanganya kwa mabepari UBER hela hiyo hiyo ununue Smartphone, bundle, powerbank, 25% ya UBER, airtime ya kumpigia abiria ukifika alipo...
4 Reactions
74 Replies
12K Views
Habari ndugu zangu, Naomba kujua kama kuna kampuni inayosafirisha mizigo kutokea south Africa to DSM Tanzania. Kama kuna mtu anajua naomba anijulishe tafadhari. NB:Kama unawaza wizi wizi kaa...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari wakuu, Mimi ni mfanyabiasha, hivi sasa nimepata soko la bidhaa zangu za nguo huko Namibia. Naombeni kufahamu njia rahisi za kusafirisha nguo kupeleka Namibia. DHL/FEDEX nk ni gharama...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Akizungumza na Nipashe iliyotaka kupata ufafanuzi juu ya huduma hiyo jana, Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa CRDB, Tuli Mwambapa, alisema kiwango cha chini cha mikopo hiyo ni...
3 Reactions
22 Replies
10K Views
Wanajamii Kuna ukweli gani Katika huo uzi hapo juu
0 Reactions
2 Replies
611 Views
Serikali imekuwa ikifanya jitihada nyingi za makusudi ili kuvutia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi ili kuwekeza katika viwanda. Tumeshuhudia mikutano na warsha nyingi zikijadili namna ya...
0 Reactions
0 Replies
854 Views
Habarini . Surely Leo nahitaji majibu kwa wabobezi, Nimechagua gari be foward akilini nimechagua kununua gari through PayPal . Na ufafanua. Nahitaji sana kuelewesha also niendelee kununua vitu...
0 Reactions
0 Replies
888 Views
Kama unataka kufanya biashara na Botswana tafadhali ni PM ili tuweze kuwasiliana kuna biashara nyingi huko Tanzania za kuleta huku kama una fedha na ungehitaji kutengeneza fedha nipo tayari...
0 Reactions
30 Replies
10K Views
Kichwa cha habari chahusika, nisaidieni bandugu
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kwanza kabisa natoa rambi rambi zangu kwa hao watu zaidi ya 224 waliofariki hapo mv nyerere ilipozama. Mimi kaa mtu ambae anajua mungu wa kweli wa bibilia , Sitaweza kamwe kusema hio ilikuwa...
0 Reactions
2 Replies
828 Views
Ambae anataarifa kuhusu ongezeko la thamani la fedha katika soko la hisa mpaka sahivi anijuze, thamani zikoje kila nchi ukikompea na shilingi yetu ya tanzania, Ahsanteni sana na karibuni kwa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
wakuu habari zenu mimi mfanyabiashara wa viatu vya kike tatizo lilionitokea hili mteja alikopa viatu vya elfu kumi tano akalipa akabakiza elfu mbili sasa akaja tena dukani akaomba kukopa mkoba...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari zenu wanajamvi? Kuna bidhaa nimeona kwenye mtandaa wa alibaba nataka kuiagiza, lakn nata kujua cost zipote kutoa bidhaa huko kuja Tanzania Bidhaa yenyewe ipo hivi Inauzwa usd 135 Ina...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
GDP is like a speedometer: it tells you whether your economy is going faster or slower. As in cars, a speedometer is useful but doesn’t tell you everything you want to know. For example, it won’t...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ref my previous post Namshukuru mwenyezi Mungu muumba wq mbingu na ardhi kwa pumzi na afya njema aliyonijaalia ilinichukua miaka mitano na nusu kuacha kazi ya serikalini nashukuru Mungu kwa...
40 Reactions
119 Replies
14K Views
Za jioni wandugu, naomba tushirikiane kuwaonea huruma wakulima mazao yanashuka bei ilhali pembejeo bei iko juu. Mliokaribu na wanasiasa washitueni 2020 sio mbali
5 Reactions
110 Replies
29K Views
Supermarkerts/Retailers wakubwa mashariki na kusini mwa Afrika mara kadhaa zimeshindwa kujiendesha ndani ya Tanzania. Shoprite, Nakumatt na Uchumi ni mifano. Na supermarkets ndogo/uwezo wa kati...
2 Reactions
73 Replies
8K Views
Hamjambo wadau na watafutaji wa pesa, Mimi binafsi nilifungua biashara yangu ya kwanza nilipokuwa mwanafunzi wa sekondari ambayo ilikuwa ya duka dogo la rejareja ila biashara hii ilikufa...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…