Wanabodi nilikua naomba kupatiwa kuhusu biashara za nywele za kichwani za kina dada,mwenye uzoefu na India nilikua naomba utupatie taarifa,alieniletea aliniambia amechukua BOMBAY(INDIA) ila...
Natumaini mko buheri wa afya kabisa.
Kila wakati nikiwa naangalia taarifa ya bahari ya ITV huwa naona taarifa ya mifuko ya UTT AMIS na nimekuwa sielewi kwa hakika ni nini hasa.
Mwenye maelezo ya...
Ni mteja wa miaka zaidi ya mitatu wa Vodacom na nimetumia hela yangu nyingi sana kwenye huduma zao hadi nimekuwa mteja wa thamani. Nimekuwa nakopa na kulipa kwa wakati (isipokuwa mara moja tu...
Habari za asubuhi wana Jf.Jana usiku nilishirikishwa kikao cha familia ya Mzee mmoja mstaafu mwalimu wa shule ya msingi wilaya ya Muheza Tanga.
Huyu mzee ni msambaa amepata milioni 77 ana watoto...
Bonjour
Hey guys nna imani mnaendelea vyema na juhudi za kusaka maisha kivyovyote vile(mpaka kieleweke).
Leo nimekuja na hoja hiyo hapo juu kwa wale wenye uzoefu.
Unaweka jina la mkoa,ikiwezekana...
Heri ya Mwaka!!
Kutokana na hili wimbi la serikali kufungia mabenk kweli nimepata shaka kuhusu uhifadhi na akiba ya masalio yetu.
Je,ni namna gani naweza kuweka hela zangu benk za nje?
Siku...
Ni imani yangu kuwa jukwaa hili ina wazoefu katika kila kipengele fulani cha biashara.
Naomba kushauriwa nataka kuanzisha biashara ya;
1. Mashine ya kukamua alizeti- nataka nifugue Dodoma...
Wakuu kama kuna mtu mwenye ujuzi wa biashara ya kununua mpunga then anakoboa na kuuza mchele naomba anisaidie kujibu maswali yafuatayo.
1. Nitajuaje mpunga ambao nikikoboa hautovunjika?
2. Gunia...
kwa yoyote anayetaka kufunguwa biashara ya fitness center yani gym mtwara mjini naomba anicheki tuangalie jinsi ya kuchangamkia fursa hii aliyetayari anicheki
Jamani humu kwema. Wadau kwetu kuna njaa sana hasa miezi ya February, March na April. Ni miezi ambayo kwa kweli kunakuwa na shida kubwa sana ya chakula.
Watu wanajinusuru kwa kununua mihogo kwa...
Habari na pole kwa kuchukua muda wenu. Kwa ufupi hali ya maisha ni ngumu sana si kwa waajiriwa wala waliojiajiri, na hii yote kila mtu atakupa sababu zake why this?
Nirejee kwenye mada husika...
kwa yoyote anayefahamu taratibu za usajiri wa biashara naomba anisaidie kunijuza taratibu zao ili kupata usajiri niliwai kusikia BRELA ni kwer wanausika na usajiri wa biashara
Naomba mwenye uwezo na uzoefu wa hii biashara iliyo tapakaa katika kila kundi la whatssap atujuze ukweli
Kwa usawa huu maisha yalivyo tight na wanavyo tutamanisha hata kama ni matapeli wanakaribia...
Siku chache zilizipita , BOT imezifungia benki tano na kuziweka chini ya uangalizi benki nyingine tatu ambazo ni Kilimanjaro corperative Bank, Tanzania Women's Bank and Tandahimba Community Bank...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bullish
The market essentially consolidated throughout last week – in the context of an uptrend. Although price did not go...
Hello wapendwa,
nilikua nauliza maswali gani unatakiwa ujiulize binafsi kabla ya kuanzisha biashara....??
naenda kumuona business advisor,ila ningependa baada ya kupata ushauri wake nimuulize...
Nina eneo kubwa zuri tu lipo barabarani. katika kiwanj a kuna maji pia umeme Ktk utafiti wangu nimeona ktk eneo lote linalohusisha kata kama 3 hivi au zaidi hakuna NURSERY SCHOOL kabisaa . na...