Nakujuza Ili siku nyingine ukiona hii usitoe macho kama Jamaa wa Masters aliyeapply kazi ya sensa na akakosa, kabla hatujafika mbali unatakiwa kujua unleaded petrol ni petrol isiyokuwa na kiambata...
Wakuu,
Baada ya kuhanya sana huku na kule na kuona mipango ya kuweza kujenga mjini kabla ya kununua usafiri inazidi kwenda kombo kwa upande wangu,
Nataka nijilipue tu ninunue gari ya watu wa...
Wakuu nataka kununua mkweche na mm nimechoka kugongea magari ya watu ila budget yangu naona ni vizuri nikamiliki corolla sasa nimekuja kwenye mnipe ushauri kwamba kati corrolla X na Corrolla 111...
Kwenye pita pita zangu nimekutana na gari ya kwanza kabisa kusajiliwa kwa hapa nyumbani..
Haraka haraka inaonekana hii gari ni ya Mchaga.. AC ya kujaza.. Spare Tyre na spanner havipo..
Gear...
wadau Nawasalimu.
Naomba kujua ni TYRES za Brand gani ni nzuri IMARA na zina Ubora kufunga kwenye Gari.Sasa hivi kuna Tyres za MAKAMPUNI Mengi mpaka kujua Uimara na Ubora imekuwa Kazi sana ILA...
Naomba kuuliza JF
Kuna zile Gari mpya za IT zinapatikana maeneo Gani?? Mana nina safari ya kwenda Bukoba na nauli haitoshi kabisa!
Naomba mnielekeze
Bei
Na eneo zinapopatikana.
Niongezee
Vipi...
Mwenye uzoefu na AUDI A3 2012 2.0 perfomance yake nahitaji kuagiza pia ni ipi site nzuri ya kuagiza gari hapa bongo ambao hawana ubabaishaji.
AUDI A3 1.8 na 2.0 zipo vizuri au miyeyusho
Habari wadau,
Nimejichanga kwa kipindi kirefu sasa nimeamua kutafuta kigari cha kutembelea cha kutosha familia ya watu 5 (me, ke& watoto 3) kisichozidi 10m.
Binafsi sijui kuendesha gari na hata...
Wakuu habari,
Poleni na janga la corona. Nilikuwa nauliza kuhusu matumizi ya mafuta ya hi gari Nissan xtrail 2007 au 2008 ikoje kiuhalisia kwa wale waliotumia hii gari au wanijua vizuri...
Ndugu habari za jion, Kuna jambo nimeona tuambiane ukweli ili tuelimishane kidogo.
Kuna watu watu wanaagiza magari nje kupitia agents au mawakala mbalimbali mbaya zaid kuna agents wengine sio...
Wakuu hizi pikipiki kwa Bongo hazifai ...zinatoa moshi hatari ...nimeweka block mpya napo bado inatoa moshi Boxer ...nishaurini niweke block kampuni gan ili isiendelee kutoa moshi??
Salaam waungwana
Wakuuu mwenye kuijua hiyo gari tajwa anisaidie uimara wake na upatikanaji was spea,naona imenivutia sana sasa kabla ya kufanya lolote ningependa kupata ushauri wenu wajuvi wa magari
Toyota Crown ya 2004 kila ulikitembea km 37-40 hizo taa zinawaka kwa pamoja ikianza na taa ya check engine halafu ndani ya sekunde chache zinawaka hizo zingine kwa pamoja. Ukizima gari na...
Wakuu, kuna faida gani na risk nikinunua gari South Africa na nikisajili kule kisha nikaja nalo Tanzania nikawa natembelea huku kwa plate number za kule.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.