Sasa hapa umeongea nn ndugu?Kuna hizo gari ni PRADO
zimetolewa katika mfumo wa mfuatano Prado TX ikaja Prado TXL ikafuata Prado Diamond neno Land Cruiser ni sawa linahitajika hapo
Ukiingia Google utaziona na Land Cruiser utaziona GX, VX, VX8 nk
K-vant inaongeaSasa hapa umeongea nn ndugu?
K-vant inaongea
TXL Ina Turbo Vs TX haina turbo so mwendo wa konokonoToleo la LC Prado TXL ni la juu kuliko TX. Tofauti ni kwenye vitu baadhi kwenye TXL viko advanced kama idadi ya airbag, fridge, seat na mwonekano wa seat ni luxury na pia dash board yake ni soft kidogo.
Kwenye bei pale Toyota TXL inasimama 240m na TX 222 kwa automatic
AiseeToleo la LC Prado TXL ni la juu kuliko TX. Tofauti ni kwenye vitu baadhi kwenye TXL viko advanced kama idadi ya airbag, fridge, seat na mwonekano wa seat ni luxury na pia dash board yake ni soft kidogo.
Kwenye bei pale Toyota TXL inasimama 240m na TX 222 kwa automatic
Zipo zenye turbo na zisizo na turbo nadhani mimi nina TX ya 2014 nilinunua kwenye mnada wizara moja ndio naikarabati nowTXL Ina Turbo
NicePrado Tx Ni gari ya kiKAZI kazi zaidi,
Prado TxL Ni gari ya KAZI ila ina LUXURY
(Urembo, entertainment, interior ya kuvutia, luxury seats, music etc)
Pia prado wanazo Prado VX, pamoja na Prado VXL
Zote ubora WA kuhimili KAZI&makoro Koro ya luxury unaenda kwa series from TX>TXL>VX> VXL
KwaniniPumba
Kikazi zaidi ndio Nini?Kwann
Kikazi zaidi maana yake zinafaa kwendea site za rough road na sio kulia bata eg: migodini, msituni, vijijini n.kKikazi Zaid ndio Nini?
Jirani ukinunuapo kamoja usisahau kunipa lift, nikiminya honi tu nitaridhika...Aisee
AsanteKikaz zaid maana ake zinafaa kwendea site za rough road na sio kulia bata eg: migodini,msituni,vijijini n.k
Mf: uonekane na Prado mchaga na wenzio wako na Prado matoleo ya hivi karibun, ww UTAONEKANA Kama unaenda shamba
SawaAsante
Safi sana!Zipo zenye turbo na zisizo na turbo nadhani mimi nina TX ya 2014 nilinunua kwenye mnada wizara moja ndio naikarabati now