Kuna michezo mingi watu huifanya hasa wanapotaka kuuza gari ,hapa wengi hufanya mchezo wa kushusha km ilinwaweze kuliuza garinkwa haraka, na kwa pesa ndefu. Wengi hufanikiwa kasheshe inakuja kwa...
Gari imezima Ghafla?
Unaweza kufanya mambo machache wewe mwenyew pindi gari inapozima katika Hali ya kutotegemea kabla aujatafuta fundi.
Kama upo barabarani au sehemu unayoziba njia sogeza gari...
Habarini za za usiku wana jf
Nimekuwa nikiona watu kwenye majadiliano wanasema kwamba fuso tandem inabeba mzigo mkubwa kushinda scania kipisi hii imekaaje mbona scania kipisi ni kubwa kushinda...
Habari ndugu zangu, samahani kama wiki hivi nimekuwa napitia changamoto ya gari yangu kuwaka taa na kuzima hata kama nikiwa nimeizima. Hali hii imenilazimu nikiwa nazima taa nichomoe terminal...
Usibadili gari yako kutoka funguo ya kawaida kwenda push start..hii ni kwa sababu unapunguza usalama wa gari lako ambapo ni rahisi sana kuliwasha kwa kuunga waya tu
Kwa kawaida gari inapotoka...
Habari!
Siku hizi gari si anasa, ni kitu cha muhimu maishani. Asilimia kubwa tunatamani kumiliki vyuma hivi vya kutembelea. Hebu tupia Usafiri unaotamani kuwa nao maishani.
Natamani sana siku...
Note:
Uzi huu unawahusu tu watu ambao gari zao zina Immobilizer
Kama una funguo inafanana na hizi hapa chini. Then kaa hapa usome.
Ipo hivi....
Kuna baadhi ya malalamiko watu...
Wakuu,
Nini kinaweza sababisha gari kutoa moshi mwingi wakati unawasha gari? Hili tatizo limeanza karibuni, haikuwa na hiyo Tabia, moshi ni mwingi sana huwezi kupaki ukaja kuwasha mbele ya watu...
Nina gari ndogo ya kutembelea, gari hii ilianza kuwa nzito yaani ukiwa D lazima ukanyage mafuta ndio iondoke na vilevile ukiwa kwenye mpando inaishiwa nguvu na kuchemsha, nilienda kwa fundi...
Habari wakuu,
kama mada inavyosema kuna hizi gari za IST a.k.a baby walker zimekuwa kero sana kwenye kuendeshwa kwa mwendo mkali bila tahadhari zozote, hadi huwa najiuliza kati ya dereva na gari...
Husika na kichwa cha habari hapo juu,
Namshukuru Mungu ni mzima hata sasa, Jumapili nilinusurika ajali mbaya san, Kikubwa Uzima.
tuende kwenye Mada
Kama unajua/unauza vifaa hivi vya nisaan...
Jamani wana jf nasikia boxa zinakufa sana piston...rings...block
Tena wazoefu wanasema hazirekebishiki zinatoa sana moshi, wengi wao zimewafia na wamezipak ndan.
Pia service yake ni garama sana...
Kichwa kimemaliza maelezo yote kla hiyo easy diag au ikiwa full box diagnosis machine ya kupima magar madogo ya aina yote nicheki:
WhatsApp: 0653271318.
Au nipigie kawaida 0653271318.
Karibuniii...
Gari ni Specio New Model
Tatizo ni kwisha kwa coolant ndani ya siku mbili, yoote inakuwa ndani ya rejeta.
Kuhusu rejeta haichemshi ila unakubidi uweke maji kila siku au baada ya km 45 - 50 Tatizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.