JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wakuu. Nipende kuuliza swali tu. Hivi kwa hili jua linalosababisha Joto mapenzi yanafanyika kweli ?
1 Reactions
12 Replies
598 Views
Swali la kwanza(marks 40) Jinsi ya kumwingiza simba ndani ya friji. Fungua friji halafu msukume ndani na ufunge mlango wa friji. Jinsi ya kumwingiza twiga ndani ya friji. Fungua friji na umtoe...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Ulitumia masaa mangapi na muda ngani kumfuata mpenzi wako? Mwishowe ukaambulia Zero?
0 Reactions
4 Replies
354 Views
Habari za jumapili wanaJF, Kwanza namshukuru mwenyezi Mungu kwa pumzi aliyotupatia mpaka tumefika mwisho wa mwaka kwa neema yake pia tutauona mwaka mpya. Kwa ajili ya kumshukuru Mungu kwa yote...
3 Reactions
55 Replies
3K Views
jamanii hivi napataje ela bila kufanya kazi ? kama kuna kuna njia mnipange na mimi nitusue
6 Reactions
33 Replies
3K Views
Hello. Kwa kipindi kirefu nimekuwa msomaji wa comments jamiiforum. Leo nimeamua kujiunga Rasmi. Niambie kipi nizingatie. Kipi unahisi sikijui kuhusiana na Jamiiforum?
3 Reactions
53 Replies
2K Views
Kwa sasa maisha yetu ya kila siku huamuliwa kwa kuwepo kwa mchana na usiku. Jee ulimwengu ungekuwa na usiku tu ama na mchana tu, maisha yetu yangekuwaje??
1 Reactions
2 Replies
421 Views
Darassa, Huyu mwamba Ushapata picha ya ule mtu ulimwona Nyang'au, 
Ndo huyu yuko on top now you wonder how, 
Alechelewa kufika wengi walimdharau, 
Na kumbe aliyewahi kuna vitu amesahau...
2 Reactions
0 Replies
279 Views
Facebook- Wanawake kwa wanaume Tweeter-Mtandao wa kiume Instagram-Mtandao kwa ajili ya wadada TikTok- Wadada Kidume akiwa na TL account hashangazi. Uzi tayari.
0 Reactions
3 Replies
530 Views
Uwe labda umeshawahi sijui Kutongozwa humu au huko barabarani au hata kuwa na Mahusiano na Watu wenye Idadi kama Mabehewa yote ya Treni ya Bara au hata kama una mapungufu yako yoyote au hata kama...
37 Reactions
675 Replies
44K Views
Habari wana ndugu Leo Nipo morogoro nipeni location za swimming. Huwa napenda sana kuogelea, nina tabia nikifika mkoa wowote kama nitakuwapo kwa mda, huwa natafuta sehem za kuogelea. Maana...
1 Reactions
11 Replies
948 Views
𝑯𝒊𝒗𝒊 𝒖𝒍𝒊𝒔𝒉𝒂𝒘𝒂𝒉𝒊 𝒌𝒖𝒋𝒊𝒖𝒍𝒊𝒛𝒂 𝒌𝒘𝒂 𝒏𝒊𝒏𝒊 𝒖𝒏𝒂 𝒉𝒂𝒍𝒊 𝒏𝒈𝒖𝒎𝒖 𝒚𝒂 𝒌𝒊𝒎𝒂𝒊𝒔𝒉𝒂 𝒉𝒂𝒍𝒊 𝒚𝒂 𝒌𝒖𝒂 𝒖𝒎𝒆𝒌𝒂𝒎𝒊𝒍𝒊𝒌𝒂 𝒌𝒘𝒂 𝒌𝒊𝒍𝒂 𝒌𝒊𝒕𝒖 𝒍𝒂𝒌𝒊𝒏𝒊 𝒊𝒌𝒂𝒇𝒊𝒌𝒂 𝒉𝒂𝒕𝒖𝒂 𝒖𝒌𝒂𝒌𝒂𝒕𝒂 𝒕𝒂𝒎𝒂𝒂 𝒚𝒂 𝒌𝒖𝒊𝒔𝒉𝒊? 𝒆𝒘𝒆 𝒓𝒂𝒇𝒊𝒌𝒊 𝒚𝒂𝒏𝒈𝒖 𝒖𝒔𝒊𝒇𝒊𝒌𝒆 𝒉𝒖𝒌𝒐 𝒋𝒂𝒓𝒊𝒃𝒖 𝒖𝒇𝒊𝒌𝒊𝒓𝒊...
2 Reactions
2 Replies
441 Views
Hivi ni kwa nini baadhi ya vijana hupenda kuvaa mlegezo?
1 Reactions
4 Replies
595 Views
Kumbe wanatufanyia usumbufu kwa makusudi! Ona meseji yao kwangu. Maana yake nini?
1 Reactions
2 Replies
415 Views
Heri ya mwaka mpya wana JF wote. Tumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kuuanza mwaka mpya 2023 sifa na utukufu tunamrudishia yeye. Tukiwa tumeanza siku mpya ya mwaka siku ya kwanza, ni siku ya kupanga...
17 Reactions
127 Replies
5K Views
Mabaharia wengi waliozamia au waliokuwa na harakati za kuzamia meli miaka ya nyuma wanakumbuka changamoto za kupanda meli na kutorokea nje ya nchi. Wagiriki ndio nchi iliyokuwa na meli nyingi...
1 Reactions
26 Replies
7K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, Muda huu niko hapa nakunywa nimechelewa kufika sasa nimepaki gari langu nyuma ya magari ya vyombo vingine vya usafiri. Kuna jamaa yuko anafoka anataka...
5 Reactions
34 Replies
1K Views
wanyamwanga ni kabila linalo linalopatkana ktk wilaya ya mboz na pia nch jilan zambia.wanakawaida ya kusafiri makundmakund kwenda kutembelea ndg wa mbali na hukaa hata mwez mzm.bac jamaa walienda...
1 Reactions
4 Replies
5K Views
Jana nilikula kavaluu kadogo. Kama kawa nikashashusia za kienyeji baadae nikasakafia na balimi tatu. Nimerudi home saa tano nipo matingasi. Sijasikia malue wala ndoto za ajabu za majinamizi na...
2 Reactions
2 Replies
548 Views
Vyanzo vyangu kutoka Kremlin vimenidokeza kuwa Mr Putin kakosa kabisa usingizi baada ya taarifa ya msiba wa kijana wetu Tarimo. Tofauti na watu wengi wanavyofikiria ,Putin anataka kuwatimua...
5 Reactions
25 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…