wanyamwanga ni kabila linalo linalopatkana ktk wilaya ya mboz na pia nch jilan zambia.wanakawaida ya kusafiri makundmakund kwenda kutembelea ndg wa mbali na hukaa hata mwez mzm.bac jamaa walienda dar wakafika na mwenyeji wao akawapokea ck moja wakiwa matembez bila mwnyj wao walianz kuhesabu magorofa kwa kshndana mnyha mmoja jilani na ndugu yao akawatambua na kuwaambia ni marufuku kuhesabu nyumb bila kulipia hivyo akawataka kila m2 atoe hesabu yake na kisha kulipa wa kwanza nyumba 5 wa pil 4 wa tatu 6 wa nne 8 bac kila m2 akalipa elf moja kwa kila nymba baada ya yuld mnyha kuondoka kila m2 akaanza kujdai jins alivyodanganya.mi nilkuwa nimehesabu ishlin nimemdangany nikalipa