JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Na Darubini yangu MINOCYCLINE inaniambia kuwa Watatumbuliwa Wote ila siyo Yeye kwani Yeye hapo kawekwa Kimkakati na Mstaafu mwenye Nguvu na anayemmudu Mteuwaji ili Mambo yake yaende na Chenji za...
0 Reactions
0 Replies
376 Views
Kwakweli mtaani kunafurahisha ndugu zanguni, kuna vitu vikitokea huwa nakaa nakusemea siwez hata kitaa hiki. Bila kupepesa, nikiwa kitaa na marafiki tunagonga nyundo za vijiweni.. Ghafla bin vuup...
2 Reactions
2 Replies
407 Views
I wanna say ni kwamba kama una wanawake wengi lets say 4+ Unaweza unda group la WhatsApp ili uwe unawatumia Taarifa kwa Pamoja ili kuokoa Muda. Badala ya kupoteza Muda kuchart na kila mtu u may...
6 Reactions
14 Replies
790 Views
Mimi nafanana sana na Tupac na kwa mbali nafanana na godluck gozbert na mke wangu anafanana na mdada aliye pichani hapo yaani copyright kwa zaidi ya asilimia 96..je wewe na mpenzi wako mnafanana...
4 Reactions
3 Replies
468 Views
Kama **** sehemu Jamii Forums walijua kuuoiga mwingi basi na hapa. Wamekata ngebe zote za wambea za kujifanya kuchunguza mtu na profile lake. Kudos JF
2 Reactions
5 Replies
622 Views
🗯️
7 Reactions
2 Replies
727 Views
Mimi si mtumiaji wa vyote hivyo lakini kama nitaamua siku moja basi nitachagua jani kwasabu -haivutwi hadharani -haivutwi kila wakati -inatibu baadhi ya magonjwa hasa ya kisaikolojia...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Hivi kuna ukweli wowote kuwa utamu wa tendo kwa mwanamke anaupata wakati wote wa tendo tofauti na mwanaume ambaye hupata uhondo huo wakati anapokojoa?
2 Reactions
35 Replies
6K Views
Hellow africa Kuna watu ni walemavu lakini hawajijui tu lakini ndio wanalinga hatar Mtu mwenye mwanya: Huyu ni mlemavu wa meno meno yameshindwa ungana ndio maana kuna sehemu ipo wazi huyu pia ni...
4 Reactions
65 Replies
4K Views
Ifike mahala tujiheshimu kisha tuheshimiane sisi kwa sisi. Mbona tunakuwa na tabia za kimasikini kana kwamba hatumiliki ma Range humu ndani? Unakuta jitu linaingia M.M.U linakutana na nyuzi za...
4 Reactions
10 Replies
519 Views
Huwezi kupanda bange ukategemea uvune tumbaku! Hata siku moja [emoji23] Ukijifanya unajua hivi wenzako wanajua vile na kinyume chake Pata burudani 1.Mwanzo wa ukorofi
5 Reactions
21 Replies
1K Views
Ndugu zangu kwema, Nilikuwa naomba msaada tafadhali, maana hili jambo linaniumiza kichwa sana leo. Kati ya uzi hizi mbili kesho nivae ipi jamani? Maana hapa nilipo nimepatwa na mkanganyiko...
0 Reactions
3 Replies
364 Views
Habarini Wadau wangu wa nguvu Ni jambo la kumshukuru Mungu muumba mbingu na nchi kwa nafasi hii ya upendeleo kwangu kunitoa duniani tarehe kama yale nakumbuka nilivyotokea na amenipa afya tele...
13 Reactions
46 Replies
2K Views
Hellw africa Siku hizi JF kila mtu ana chawa wake wengine mnaboa sana yaana uchawa promax kiasi kwamba unashindwa jishikilia shobo mda mwingine sio mzuri ndugu zangu. Punguzeni uchawa; yaani...
5 Reactions
22 Replies
905 Views
Baa ya Kitambaa Cheupe iko sehemu gani tanzania nataka kuenda huko. Nini kizuri kwa hii baa imesifiwana.
7 Reactions
42 Replies
7K Views
Mwanamke mmoja aliamua kusherehekea siku yake ya kutimiza miaka sabini duniani kwa kwenda kulala katika hoteli moja nzuri. Wakati anaondoka asubuhi mhudumu akampatia bili ya shilingi laki tano...
4 Reactions
4 Replies
806 Views
1 Reactions
17 Replies
643 Views
Wafuatao ni baadhi ya JF members na mbinu zao za kuwasilisha hoja zao kwenye nyuzi mbali mbali especially kwenye comment sections. Yaani unaweza kutambua majina yao bila kurefer kwenye ID zao kwa...
11 Reactions
50 Replies
2K Views
Najikuta kama nimekaa sehem nahisi kitu kinatambaa nikiingiza mkono na ikuitoa nakutana na majimoto. Aina ya siafu wa rangi ya mbao almaafu majiamoto. Wengine huita sisimizi. Naona wote ni...
2 Reactions
4 Replies
669 Views
Hebu taja wahenga wa humu jamii forum tuwaone,,na uwatag waje wajione hapa ,,ili kama mtu bado ni mhenga halaf anachokiandika hakieleweki inabidi tushangae Haya lets goooooo
6 Reactions
130 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…