JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wakuu hope mpo poa, Hii ni thd ya kujifurahisha tu "Jokes" Tunge sentensi kwa kutumia neno Simu ilikua kwa fundi, Naanza na hii, Hongereni sana mashabiki wa Argentina kwa kutwaa kombe la...
5 Reactions
24 Replies
1K Views
Guys i'm so happy today, unajua nini miaka niliyokua naombea kila siku niifikie hatimaye nimefika.....yeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeep! Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
1 Reactions
130 Replies
6K Views
Kuna watu ukisoma mada zao hadi unabaki unajiuliza huyu mtu ana umri gani? Yaani kila anachoandika lazima ucheke. -Dj Nalimison, huyu bro yaani hua ananichekesha sana hekaheka zake za usanii na...
5 Reactions
51 Replies
2K Views
Kama salary imetoka naomb taarifa maana npo kijijin yaan kwa kifup sna source of information zaid ya Jf Karibun wadau
2 Reactions
21 Replies
2K Views
What do you need most now Drop it Me: Laughter
6 Reactions
489 Replies
17K Views
Haya wazee wa chit-chat,mi naanza. 1)Tafuta hela, hakunaga mke wa mtu. 2)Tafuta hela, bodaboda si usafiri official. 3)Tafuta hela, hakuna kitu kinachoitwa wikend (week-end) 4)Tafuta hela...
13 Reactions
159 Replies
8K Views
Nasikitika sana kusema nimezidi uzito na mwili umekuwa mkubwa zaidi kiuzito Nimefanya jitihada zote ila zimegonga mwamba. Leo nimemtorosha huyu binti ambaye ni mpenzi wangu chuoni na kumuita loji...
21 Reactions
211 Replies
7K Views
😁
15 Reactions
138 Replies
5K Views
7 Reactions
23 Replies
2K Views
Hebu leo tufanye hii challenge kwa wote mnaosema kuwa urafiki kati ya mwanaume na mwanamke upo, mtumie msg best friend wako muambie "kwanini mpaka leo hatujawahi kuwa katika mahusiano ya...
4 Reactions
144 Replies
5K Views
May 20 Mohammed wa 5 nililetwa kwenye dunia hii...Asante Sana familia, baba na mama kwa upendo wenu mpaka leo nilipofika..pole Sana mama angu kwa yote uliyoyapata baada ya kunileta duniani miaka 2...
7 Reactions
53 Replies
3K Views
  • Closed
Wakuu, za sahizi tena Nipo hapa nacheka kaa fala, 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hii ni baada ya ku dislike baadhi ya comment za watu na mtu akaamua kunianzishia thread Asee hivi nyie watu mnajua mnabishana na...
-12 Reactions
134 Replies
7K Views
Wahenga wenzangu habarini! Natumaini mu wazima wa Afya, kwa wagonjwa na wenye matatizo ya aina yeyote poleni, Mungu awajalie na kiwapa wepesi wakujikwamua Wahenga mnakumbuka 1. Zamani ukitaka...
1 Reactions
1 Replies
445 Views
Nilikuwa natafuna mke wa mchungaji kila Ijumaa (ile mida ya mchana). Naenda namchukua pale jengo la VIVA (ofisi kapuni), naenda mtafuna Namnani mpaka saa 11 jioni namrudisha kwake Ubungo Maziwa...
6 Reactions
40 Replies
4K Views
Hahahah mademu wengi ukiwauliza wana experience gani na kina Issa utasikia tabia za kibandidu tu Jamani sisi ni watakatifu sana 😂😂😂 Yesu awaokoe wote
0 Reactions
2 Replies
457 Views
Na Darubini yangu MINOCYCLINE inaniambia kuwa Watatumbuliwa Wote ila siyo Yeye kwani Yeye hapo kawekwa Kimkakati na Mstaafu mwenye Nguvu na anayemmudu Mteuwaji ili Mambo yake yaende na Chenji za...
0 Reactions
0 Replies
376 Views
Kwakweli mtaani kunafurahisha ndugu zanguni, kuna vitu vikitokea huwa nakaa nakusemea siwez hata kitaa hiki. Bila kupepesa, nikiwa kitaa na marafiki tunagonga nyundo za vijiweni.. Ghafla bin vuup...
2 Reactions
2 Replies
407 Views
I wanna say ni kwamba kama una wanawake wengi lets say 4+ Unaweza unda group la WhatsApp ili uwe unawatumia Taarifa kwa Pamoja ili kuokoa Muda. Badala ya kupoteza Muda kuchart na kila mtu u may...
6 Reactions
14 Replies
790 Views
Mimi nafanana sana na Tupac na kwa mbali nafanana na godluck gozbert na mke wangu anafanana na mdada aliye pichani hapo yaani copyright kwa zaidi ya asilimia 96..je wewe na mpenzi wako mnafanana...
4 Reactions
3 Replies
468 Views
Kama **** sehemu Jamii Forums walijua kuuoiga mwingi basi na hapa. Wamekata ngebe zote za wambea za kujifanya kuchunguza mtu na profile lake. Kudos JF
2 Reactions
5 Replies
622 Views
Back
Top Bottom