JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kwangu mimi kama ni kitabu kingekuwa ni UNANSWERD CRIES WEWE JE UNGEKIITAJE?
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Je kungekua na uwezekano wa kuzaliwa upya, ungependa kuzaliwa nchi gani? Toa sababu?
3 Reactions
39 Replies
2K Views
Miss Natafuta aka Baby J....ukiwa nyumbani haya ndo huwa unayafanya? Leo nimekumbamba!
12 Reactions
328 Replies
19K Views
Mpaka leo huwa naikumbuka Jumamosi ile niliopata ajali.Kiufupi nilipanda pikipiki bahati mbaya hakuwa ameiwasha na tuko kwenye mteremko mkali,dereva nikamuuliza nini hiyo maana nilisikia...
37 Reactions
267 Replies
34K Views
Niko Dodoma hapa mshikaji kaniita kwa kibar fulani kipo kina guest eeeh bhna eeh nikamwona mwigizaji wa bongo movie hapa ila ni wale wa kale kidogo kapauka hapa anakata viuno nikamtia beer 2...
1 Reactions
6 Replies
582 Views
JF Members mmefanya niende shule this year bila kupenda kisa matus yenu ya hapa. Ngoja niende nikaongeze elimu af nitarudi JF tena
5 Reactions
32 Replies
1K Views
Heshima yenu wakuu. Kuteleza na kuanguka kisha kuinuka tena na kusonga mbele ni shule nzuri sana ya vitendo ambayo humfanya mwanadamu kuwa na mbinu thabiti za kutatua changamoto zake za hapa na...
3 Reactions
28 Replies
1K Views
Tumekuwa wazinzi na walevi wa pombe kupindukia na tumekuwa wanafiki. Ndugu zangu haya mambo yamekithiri.
1 Reactions
4 Replies
504 Views
Mimi ni mpenzi sana wa konyagi, nipo moshi kikazi bar maarufu sana hapa Moshi nimeagiza konyagi lakini nahisi ina ladha tofauti na nilivyozoea. Vipi ni mimi tu au wenzangu mnaonaje ladha ya...
3 Reactions
7 Replies
574 Views
Wanaume wenzangu mnaweza vipi kuwamudu wanawake wenye njaa ya kuolewa [emoji276]? Mwanamke hata miaka 10 hatujatoboa unataka ndoa ya nini?
1 Reactions
10 Replies
609 Views
1. Mafuta hayajawahi kuvuka nusu tank. 2. Ukiingia sheli unaweka mafuta yasiyozidi 20k. 3. Gari yako kuwaka taa ya mafuta ni kiawaida sana (unajisemea hii gari mimi ndio naijulia, hii taa natembea...
4 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari zenu humu.... Member ninao wakubali sana ambao nyuzi zao zinabamba sana,tena wakicomment kwenye nyuzi za watu lazima ufurahi tuu hawana baya.. 1.mshana. 2.mpwayungu. 3.mangi...
17 Reactions
180 Replies
8K Views
Aloooooooooooooo. its my birthday. shukrani kwa mwenyezimungu muumba wa mbingu na ardho kwa kunifikisha siku hii ya leo. siku muhimu katika maisha yangu. lakini pia nitumie nafasi hii kuwashukuru...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Hivi kuna mtu ambaye amefanikiwa kuonja ladha ya hizi konyagi mpya ambazo zimejaa kwenye mabango barabarani? Maana ni muda mrefu naenda maeneo ila kila nikiagiza haiji yenye ndimu ndani? Hebu...
11 Reactions
39 Replies
6K Views
SORRY KWA SABABU ZILIZO NJE YA UWEZO WANGU SITAENDELEA NA HUU UZI LABDA MPAKA MIAKA 10 IJAYO MAANA NI NOMA SANAA
1 Reactions
22 Replies
5K Views
Jamani kwema? Hebu fikiria Kuna mtu anaingia chumbani anafunga mlango,anazima taa,anajifunika shuka,lastly anafumba na macho kabisaaaaa !!Sasa najiuliza ni kupenda Sana giza au Aina Fulani ya...
19 Reactions
142 Replies
5K Views
Salamu zenu wana Jukwaa, Leo kwa mara ya kwanza katika pitapita zangu kwa nimemwagiwa maji machafu hadharani halafu ukicheki nimetupia pamba zangu za ukali kuwahi appointment na demu wangu, dah...
2 Reactions
9 Replies
630 Views
Nimealikwa jamani kanisa moja hivi, kabla sijafika nikapewa Stori Kwanza Kwenda nakutana na mambo yako hivi💃💃 Dada anapambana kweli kweli doh 🙆🙆🏃🏃 Kwa Yesu kunanoga Balaa, Mauno kama Yote
12 Reactions
169 Replies
12K Views
Kwa kweli ndoto yangu ni kuangalia kwenye ile microscope na mimi niwaone wale bacteria, hahahahah. Naelewa sio muhimu, ila natamani kweli siku moja nimuombe lab technician na mimi nichungulie.
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Watu wa Mtaani walikubaliana Kuwauwa Wote kutokana na Kero zao za Kulia kama Binadamu na hasa nyakati za Usiku na nikawa Mtetezi wao. Ila kwa jinsi wanavyolia sasa huku wakisogea mkabala ( jirani...
6 Reactions
11 Replies
814 Views
Back
Top Bottom