JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wazee wanasema, "Ukikosa mtu wa kukupinga kuna hatari ya kuwa mbaya." Mti unaota bila mpango unaweza ukawa dhaifu kwasababu ya matawi mengi! Ni vizuri kukubali kukosolewa! Wala usitengeneze uadui...
2 Reactions
0 Replies
347 Views
Siku moja nilikwenda Gairo kununua mahindi.Kwa kuwa ulikuwa ni msimu wa mavuno nilikosa nafasi katika nyumba za wageni ila nilibahatika kukaribishwa na mwenyeji mmoja nyumbani kwake nijipumzishe...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Mithali 3:5-6 Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote, Wala usizitegemee akili zako mwenyewe; Katika njia zako zote mkiri yeye, Naye atayanyosha mapito yako.
5 Reactions
1 Replies
1K Views
Mniambie kwa kina nisije kuwa nimepigwa na kitu kizito. Ni kweli kuna nchi ina majengo marefu kiasi kwamba yapite usawa wa Mawingu😅😅 Kuna watu wanamchokoza Mungu, tusije letewa yale yale ya mnara...
5 Reactions
26 Replies
2K Views
Kwa mtazamo wa fasta.....sababu hakuna anayeweza kutoraka.......hakuna aliyeletwa humo akiwa hai...
2 Reactions
6 Replies
865 Views
Kama kuna kitu unataka kununua kwa matumizi ya kesho na unaishi kwenye maeneo tajwa hapo juu, tafadhali nunua leo. Pia wanaopanga kwenda kanisani nivema mkaabudu majumbani. Kuna hatari...
14 Reactions
31 Replies
2K Views
Huu wimbo unaimbwa bar walevi hawaangalii unamaana gani. Utasikia .....''kula bia kula bia."
1 Reactions
3 Replies
738 Views
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Nipeni muelekeo nataka nifike Temeke Sokota kwa dada zangu wale, nasikia tu ila sipajui aisee.. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!. Aisee leo nikasema imefika wakati sasa niwe na akaunti huko X au zamani kama "Twitter". Nilipanga nitumie jina langu la UMUGHAKA lakini baada ya kutaipu...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Ukipita ukasikia mtu anaongea.. "Niki renew lani hela atakua hajaitoa bado"? Hapo ujue imeenda hio na huyo mtu hio.
4 Reactions
25 Replies
2K Views
Nilikua nadhani ni uongo na mambo aya ayapo. Ila asubuhi nimeingia na bado nipo ndani ya mwili wamke wangu pasipo yeye kujijua. Simu hii anayotype jf nj yake ila ameingia kwenye acc yangu na...
22 Reactions
136 Replies
6K Views
Hiki ni kifaa cha nini wakuu?
2 Reactions
12 Replies
751 Views
Hawa dada zetu wakifika miaka ya 30 utaskia wakisema mimi nahitaji wakunioa sio kuchezea mwili wangu, ili uingie kingi mfunge harusi upoteze gharama za mahari halafu mwisho wa siku unafunua...
15 Reactions
64 Replies
4K Views
Wakuu tujuzane na kuhabarishana hapa maajabu ya wanyama mbalimbali. Kwanini nyoka ana ndimi mbili? Nyoka na wanyama kama kenge huwa na ndimi zilizogawanyika. Ndimi zile huwasaidia kujua lindo...
14 Reactions
41 Replies
10K Views
Chizi Maarifa vs UMUGHAKA GENTAMYCINE vs Dr Matola PhD Mshana Jr vs FaizaFoxy
15 Reactions
77 Replies
4K Views
Mkuje sasa tupige soga mnaleta vurugu sana kwenye madarasa ya watu nimeamua kufungua darasa hapa. Cc.Shunie Cc.Carba Cc.Sakayo Cc.Emmyta Cc.Ukhuty Cc.Numbisa Cc.Youngblood Cc.Sergio5 Cc.Baily...
21 Reactions
7K Replies
252K Views
Utasikia nilikuwa nafanya moja mbili tatu kipindi najitafuta, au jitafute ww ni nani, usipojitafuta utakufa maskini Jamani ivi kujitafuta inakuwaje mwenye kujua japo kwa uchache atupe ABC na...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Wadau hamjamboni nyote? Nimerudi kwenu kwa mada mpya kidogo ihusuyo ene la Mbagala. ~ Huko hakuna hoteli ya kitalii. ~ Huko hakuna beach. ~ Huko hakuna makazi maalimu ya wakubwa. ~ Huko hali...
3 Reactions
31 Replies
2K Views
Back
Top Bottom