Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,209
- 4,706
Wadau hamjamboni nyote?
Nimerudi kwenu kwa mada mpya kidogo ihusuyo ene la Mbagala.
~ Huko hakuna hoteli ya kitalii.
~ Huko hakuna beach.
~ Huko hakuna makazi maalimu ya wakubwa.
~ Huko hali hewa ni joto muda Mwingi.
~ Huko muda wote kuna msongamano.
~ Huko muda mwingi huwezi ona mtu kavaa suti na briefcase.
Nauliza kwanini iwe hivyo? Ni bahati mbaya?
Wakuu karibuni tujadili.
Nimerudi kwenu kwa mada mpya kidogo ihusuyo ene la Mbagala.
~ Huko hakuna hoteli ya kitalii.
~ Huko hakuna beach.
~ Huko hakuna makazi maalimu ya wakubwa.
~ Huko hali hewa ni joto muda Mwingi.
~ Huko muda wote kuna msongamano.
~ Huko muda mwingi huwezi ona mtu kavaa suti na briefcase.
Nauliza kwanini iwe hivyo? Ni bahati mbaya?
Wakuu karibuni tujadili.