JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mambo vipi wanachit chat.Bila shaka mko Salama. Kupitia Uzi huu hebu tueleze ukweli ni jukwaa gani ukiingia JF lazima liwe la kwanza kuperuzi??. Naanza na Mimi mwenyewe .Binafsi kuna vitu huwa...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Habari wana MMU je, wewe mwanaume wa JF ni mwanamke gani wa JF ungependa kukutana naye hivyo hivyo kwa mwanamke ni mwanaume gani wa JF ungetamani kukutana naye?
12 Reactions
683 Replies
28K Views
Nawasalimu kwa jina la katiba mpya#Mbowe siyo gaidi. Huu ni uzi wa memes kali.Screenshot memes kali then uzitupie kwenye uzi huu ili tufurahi pamoja lkn,tuendelee kumuombea Mh.Mbowe kwa kuwa yupo...
1 Reactions
17 Replies
6K Views
Nimeshangaa kuona kuna watu wana likes zaidi ya laki na nikashangaa wengine hawana hata likes 20 hawana na ukute account ina miaka 10. Sasa mimi ni wakuja humu, najua Kuna wenyewe ombi langu...
17 Reactions
43 Replies
2K Views
Mwana jf yeyote aliyekaribu na MAMIZ pub mwanza. Karibu tuage mwaka.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za muda ndugu zangu, Mimi ni mpenzi wa nature naombeni mnitajie sehemu nzuri zenye nature kama milima, bustani za maua, miti, camps, beach ambapo zinafaa Kwa honeymoon, vacation zenye...
7 Reactions
76 Replies
3K Views
Wadau nataka nihamie Sinza niambie Sinza ipo nzuri yenye watoto wakali na Bei elekezi ya master
0 Reactions
7 Replies
750 Views
Niko JF tangu kitambo na wengi sana humu mmenikuta nishaijua hii mitaa sema sikua active sana kwenye huu mtandao pendwa ila katika kuishi humu nimegundua kuna watu wenye ushawishi sana humu JF...
13 Reactions
181 Replies
9K Views
Kauli ipi ilikishangaza toka kwa Kondakta wa Daladala?
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Wakuu Heshima mbele. Kwa kweli miaka ya nyuma kidogo kabla ya kupoteza akaunti yangu ya Jamii forums. Nilikuwa napenda sana kumsoma jamaa mmoja anaitwa barafu. Kwa waliokuwepo jamii forums miaka...
0 Reactions
1 Replies
418 Views
Ukitaka kupata tikiti lenye ladha nzuri i mean tamu, basi chagua lile lililo kubwa kubwa.Hii kitu ni ukweli mtupu, huwezi kulinganisha ladha ya tikiti dogo (hata kama limekomaa) na tikiti...
2 Reactions
143 Replies
22K Views
Hadi nikawa namlisha kwa mikono, kijiko asije kukimeza lakini wapi!? 😂 👇👇 Titirika kwenye comment mwanawane ukimalizia na lakini wapi. Tucheke wote😆
1 Reactions
3 Replies
294 Views
Tofauti na binadamu kuna wanyama wengine wanapiga Mgalala Hawa ni wanyama 9 wanaopiga Mgalala 1. sokwe 2. tembo 3. Popo 4. konokono 5. nyangumi 6. walarasi 7. panya 8. mjusi 9. Ngwini Na...
2 Reactions
13 Replies
786 Views
  • Closed
Huyu memba nampenda sana, mimi ni yule yule kijana wa makamo 40+. Wewe member nakupenda sana sijali watakachosema mimi na wewe mpaka kiama. Nakupenda Eph kwanza hueleweki mchumba wako ni nani...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Tuorodheshe tabia za waTanzania halisi 1 Anakukopa hela kiupole ila ukidai automatically unakua mtu mbaya kwake asiyefaa 2 Kabla hajajua cheo chako au wadhifa wako anakutreat kama takataka ila...
3 Reactions
11 Replies
442 Views
Mm nahitaji kumzaba Kofi Olomide shabiki yoyote wa Uto, maana wanasumbua sana kitaaa Tiririka Mkuu.....
6 Reactions
108 Replies
3K Views
MISEMO YA WAKOSAJI🤡 Gari lenyele ni la mkopo Manzi kampendea pesa iPhone ni simu za showoff Chakula cha hotel hakina afya— junky Kila mtu atarudi kaburini mtupu Wenye pesa hawana furaha maishani...
4 Reactions
42 Replies
2K Views
Daah! Hii nchi hiii. Kuna muda nakaa naisikitikia hii nchi kwa namna inavyoendeshwa, Kumbe nchi nayo inanisikitikia jinsi ninavyoishi maisha ya kimaskini na utajiri upo. Si ajabu atakuja Rais...
0 Reactions
2 Replies
440 Views
GARDEN BOY IMPREGNATES THREE BIOLOGICAL SISTERS. According to reports, the Kenyan parents to the girls kept their daughters indoors and could not allow them to mingle with friends. The gardern...
1 Reactions
5 Replies
636 Views
Back
Top Bottom