JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nimefukuzwa kazi usiku nikiwa ukumbIni na konyagi yangu alafu gari la ofisi wamelichukua bila kuambiwa hata kunibeep ila sikuwa na bando sababu mimi ndio mpandishaji wa vifurushi. Kilichoniuma...
3 Reactions
8 Replies
515 Views
Ametoweka nyumbani toka mwezi wa pili tumetoa taarifa polisi ya hapa Los Angeles atakaemuona atoe taarifa kwenye mamlaka husika. Asanteni.
7 Reactions
56 Replies
3K Views
Ina maanisha nini watu kusalimia kwa kupishanisha mikono juu na chini?
0 Reactions
8 Replies
574 Views
0 Reactions
0 Replies
383 Views
Kiukweli ilikuwa ni wiki nzito sana kiasi Cha maigizo ya Mchungaji Msigwa kutofuatiliwa kabisa Mungu wa Mbinguni atuhurumie wiki tunayoanza kesho akatufanyie Wepesi Ahsanteni Mlale Unono 😀
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Nilivyoanza kazi bwana kila weekend utanikuta kwenye expensive restaurants naenda pale kufanya kazi na kujaribu news dishes as a way ya kujipongeza baada ya wiki nzima kuwa kazini. Wee baada ya...
7 Reactions
16 Replies
1K Views
Wakuu embu leteni ushauri nimechelewa? Au nimewahi? Maana agizo la Nendeni ulimwenguni mkaijaze nchi nahisi bado sijalitendea kazi kabisa au mnasemaje
3 Reactions
29 Replies
675 Views
Ukihitaji salamu kutoka kwangu,nimekwambia subirini kwanza hiyo Tarehe 8.8.2024 Utopolo atakapomng'uta Kololizard 5 - 1 ,Tofauti na hapo mtaula wa chuya! Lei Nina taka niwatoooooo toooooo...
4 Reactions
6 Replies
347 Views
Unavuta hizi alafu unavimba nazo mjini.
5 Reactions
5 Replies
897 Views
Tanzania and Nigeria, two prominent countries in Africa, share numerous similarities in their legal frameworks due to their colonial histories and subsequent legal evolutions. Both countries have...
1 Reactions
0 Replies
473 Views
Ebana wanajamvi inakuwaje? Maisha ya binadamu yapo kwenye msingi wa vitu vitatu. Kula, Kunya na Kujamiana Na vyote hivi vitatu vinawezeshwa kikamilifu na pesa. Tutafuteni pesa asee.
6 Reactions
32 Replies
1K Views
Yaani na ndevu zangu na ukubwa huu lakini bado nikichukia naanza kulia, mfano juzi kati kuna mtu alinisingizia kitu ambacho sikufanya nikajikuta tu naanza kulia mbele za watu, baada ya kulia...
1 Reactions
5 Replies
571 Views
Yaani wakianza kuomba hela, wanaomba wote kwa mara moja😀 utadhani ni wameambizana na hawajuani. Hapa nina mizinga kama mitano, sijui nianze na upi niache upi. Nimegundua ukiendekeza hizi mambo za...
59 Reactions
500 Replies
15K Views
Msaada kwa anaye fahamu namna ya kufungua, tangu jana sijanywa maji kabisa ☹️
16 Reactions
102 Replies
3K Views
Nitavumilia tu hadi nikirejea kwa Mapumziko au Majukumu yangu Kumalizika huku ili niendelee Kula Mdudu (Kitimoto) kinachopikwa vyema na Watanzania. Yaani Wabongo wote mlioko hapa Jijini Kampala...
8 Reactions
76 Replies
3K Views
Nina 'likes' nyingi sana kwenye mitandao ya kijamii, lakini hizo 'likes' hazinisaidii chochote katika utatuzi wa changamoto zangu za kimaisha. Nini kifanyike ili hizo 'likes' zibadilike na kuwa...
3 Reactions
11 Replies
645 Views
Nigerian guy living in Sweden smartly married a Swedish lady, so as to be legally certified with resident permit, but the lady was not aware of this. He lied to the lady that he is from Kenya...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Kuna profile unaziangalia unataman kabisa kama Kasie cariha yna2 kumbe si za kwao hapo tunachanganyana. Jamani wadada tumia angalau sura zenu
10 Reactions
78 Replies
7K Views
Zamani nilikuwa najua watu wanao kimbia madeni wanafanya kusudi 🙌🙌🙌
15 Reactions
58 Replies
3K Views
Ni kipata tafsiri kamili ntaweza ku- comment kwa viongozi wa Tanzania huyu ngombe walimfanya je, baada mwl Nyerere.
4 Reactions
25 Replies
1K Views
Back
Top Bottom