JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Natokaje hapa, ndo ushauri ninaohitaji. Hapa jirani kuna pub mpya imefunguliwa mwezi sasa, kuna pisi za hatari …. kuna hii moja juzi nilikuja ikanichekeachekea leo nilikuja mahsusu kwa ajili ya...
9 Reactions
59 Replies
2K Views
Nina jambo langu hapo Posta mpya naomba mtu mwenye kuyajua machimbo anipe area code. Asanteni
3 Reactions
2 Replies
405 Views
...mboni ichafukapo jicho huwa mashakani... ...Ni mbali we uliko nasijui..UHALI GANI... ..nikumbuke kwa PM hata wa kucomment post hii wazima wana JF... Uhali Gani - YouTube
9 Reactions
202 Replies
9K Views
samtz1 analeta ukakasi wa kufanya tuonekane ID moja aache kuiga iga. Anatumia picha zangu kutafuta ma kuniibiia mademu zangu. Moderator Active mnaruhusuje watu kuiga picha zangu. Why? why? why...
29 Reactions
210 Replies
10K Views
Naamini kuna vitu vidogo vidogo tunagundua kwenye maisha ambavyo vinatushangaza lakini inakuwa ngumu kupata majibu ya jinsi vilivyo.... Nimefungua hii thread kama njia ya kupata majibu. Naona...
11 Reactions
142 Replies
4K Views
Njoo mchangie hii mada nitakuwa nawauliza maswali kutokana na comments zenu "ANIMAL FARM'
3 Reactions
13 Replies
453 Views
Habari za Majukumu wakuu. Ni matumaini yangu wote mu wazima wa afya. Ningeomba niende moja kwa moja kwenye hii mada na nitaielezea kwa ufupi. Ni kisa nilichokutana nacho katika chombezo la hapa...
3 Reactions
9 Replies
434 Views
Uko single au bado unanyapia nyapia vya watu. https://youtu.be/5KeFyyy5CTI?si=GPpwndUt8DAGhDjq
7 Reactions
110 Replies
3K Views
Habari zenu wana jf.. Ningependa kushare na ninyi mambo machache kabisa ya kuangalia kwa kijana uliye maliza chuo,unaye anza maisha na uliyeko chuoni pia 1Aina ya kazi Usichague kazi ya kufanya...
17 Reactions
36 Replies
7K Views
Kwa wale mafundi wa kusaka pesa waje hapa
5 Reactions
13 Replies
708 Views
Je ni kweli kuwa kwa sasa hapa tanzania, watu wanakula mende?
1 Reactions
3 Replies
409 Views
Mama wa kambooo Mbona wanitesaaa Kaaa pekeakooo Koma kunipigaaaa Mbali na weweeee Wembe wa kuchaaa Chakula kitamuuu... Endelea............
1 Reactions
11 Replies
336 Views
Kwa niliyokutana nayo kalaga baho niseme tu safari ya maisha ni ndefu sna. Mikasa, visa na vibweka kwa akili za watanzania ndo mahala pake. Umaskini nao ndo umefika Juzi wazee nilishikwa...
11 Reactions
34 Replies
1K Views
Karibuni duniani mashujaa Benjamin na Netanyahu, kuna nguvu kubwa kwenye majina yenu.
19 Reactions
73 Replies
2K Views
Kuna wakati huwa nashangaa sana wanaume wanapo lala na njaa kisa eti mama nanii hayupo...!! Kwa hili nampongeza sana mama yangu kwa malezi aliyo nilelea, na hasa wakati ule nilikuwa nadhani...
35 Reactions
301 Replies
20K Views
Minaona.... Shida sio kuacha pombe...🤨 Shida ni..... Hiyo pombe tunamuachia nani...🤔
24 Reactions
48 Replies
2K Views
Unamkumbuka yule mwalimu uliyekuwa unamcheka kipindi uko shule? Yule mwalimu ambaye kila siku anavaa shati lilelile na viatu vyake vimeisha upande?? Yule mwalimu ndio wewe siku hizi 😂
2 Reactions
5 Replies
437 Views
Mwezi Novemba mwaka huu nilikuwa na safari kadhaa za kwenda mkoani Mtwara kwa pilika zangu binafsi. Mara nyingi nilitumia mabasi ya usiku kutokea Mbagara rangi 3. Cha ajabu na kushangaza...
1 Reactions
4 Replies
434 Views
Nahisi kama vile ni kutulipizia kisasi. Maana wazee wetu tulikua tunawaita "Dingi" au " Bi Mkubwa". Acha tupambane na hili la kuitwa "mshua".
1 Reactions
10 Replies
553 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…