JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
1. Nina elimu ya Masters. 2. Nimetembea ulaya na USA mostly italy na UK. 3. Nina watoto 3. 4. Mke mzuri. 5. Mpare kwa kabila. 6. Naipenda Israel na Urusi. 7. Najua kutumia silaha za moto...
19 Reactions
100 Replies
4K Views
Habari wanajamvi! Kondomu si bidhaa ngeni kwa mwanaume mchezaji wa game za 6 kwa 6 anaejali afya yake. Sasa linapokuja suala la kwenda kununua ni mambo gani huyazingatia? Mimi yangu ni...
2 Reactions
6 Replies
346 Views
Last time huyu member alikua anasema ana changamoto za kiafya, tumezoea hua anakua active sana ila sa ivi naona kama account yake inakua dormant... Huyu member Yuko wapi Analyse
4 Reactions
2 Replies
456 Views
Haiwezekani waliochaguliwa wote ni wale wabaya wenye sura za karafuu na maumbo ya pilipili manga. Halafu warembo halisi wenye sura na uzuri wa asili kama mie Mshangazi na miss Gf tukawekwa kapu...
9 Reactions
20 Replies
753 Views
NAOMBA KUULIZA JE UNAWEZA KUCHEZA GAME LA DREAM LEAGUE SOCCER 2019 KWENYE IPHONE 11🙏🏽
2 Reactions
6 Replies
303 Views
Binafsi nimewahi kutembea umbali takribani kilometer 100. Ilikuwa ni safari ya kwenda na kurudi na ilinigharimu siku moja ya kwenda na siku ya pili ya kurudi. ilikuwa nimeelekea msibani na...
24 Reactions
274 Replies
23K Views
Mko poa bila shaka Kiswahili fasaha ni kipi au neno sahihi ni lipi 1. Ndiyo Au 2. Ndio Lipi neno sahihi
2 Reactions
67 Replies
3K Views
This is for you Kasie ... A best friend ever[emoji173][emoji173][emoji173]
6 Reactions
37 Replies
2K Views
The day is finally here shostie. Have loads of fun and more happy days of joy . Let your life be filled with health love strength success and passion. Wish you more years of happiness and...
37 Reactions
535 Replies
15K Views
Kuna mbibi humu watoto wa jana hamumjui kabisa yaani akianza kusifia jinsi alivyokunwa utapenda. Yupo wapi huyu bibi jamani asiyezeeka? Popote ulipo bibi tumekumisi na stori zako za kusifia...
2 Reactions
14 Replies
912 Views
Ukitumiwa ujumbe mfupi na matapeli wa mtandao wale ambao wanaandika “tuma ile pesa kwenye namba ” Huwa unajibu nini? Na unachukua hatua gani?
3 Reactions
22 Replies
953 Views
Igunga kesho dakika za jioooooniiii kabisa nitakuwa hapo. Baada ya kupata fedha zangu za mauzo ya korosho (mnada wa kwanza na choma choma) Nimeona ni Bora nitembelee Igunga mahali ambapo...
0 Reactions
0 Replies
310 Views
Ili kuepusha kuharibu nyuzi nyingine kama ambavyo imekuwa ikitokea katika majukwaa mbali mbali Sasa rasmi huu ndo Uzi wenu wambea wa jf na nje ya JF. Kwa umbea Wa ndani au hata nje ya JF...
6 Reactions
53 Replies
2K Views
Zamani nilidhani mambo yako simple kumbe ni magumu sana, sikujua uhalisia 1. Kufika South Africa Zamani tuliamini South Africa ni hapo tu bondeni, Yaani life likibana hapa Kwa Nyerere ni chap...
2 Reactions
6 Replies
514 Views
😆 Just imagine sasa hivi umri ulionao mwaka 2070 utakuwa na miaka mingapi? Kizazi cha 1990 mpaka 1999 ndio watakuwa wazee wa busara 😀 HALI ITAKAVYOKUWA Enzi zetu kulikuwa na msanii anaitwa...
3 Reactions
9 Replies
571 Views
http://1.bp.blogspot.com/-3n9zUDPKyT...ty-massage.gif Haya tena wadau wa JF. Baada ya kufanya utafiti wanakamati tumeona kwamba Kebby”s Hotel ndio kuna gharama nafuu na masharti yao sio magumu...
18 Reactions
258 Replies
16K Views
Mzuka wanajamvi. Tafiti za uhakika zimethibisha waziwai watu wengi wafupi wa kimo na wenye miili midogo duniani wanaongoza kwa maendeleo, utajiri, maendeleo, akili, mafanikio, uongozi pamoja na...
1 Reactions
17 Replies
896 Views
Kuna watu huwa wanalike kila post, hasa pale anapoanzisha uzi halafu watu wakachangia. Utakuta analike tu kwa aliyemjibu vizuri au hata aliyemjibu vibaya yeye anatoa like tu. Lakini tangu...
30 Reactions
105 Replies
6K Views
Leo nilikuwa kawe kwenye msiba wa Askofu Jonathan kwanza nilikuwa nahuzuni kweli moyoni. Mpaka pale alipo panda Askofu mkuu wa makanisa ya Calvary akatoa maneno ya kuchangamsha kusahaulisha...
2 Reactions
13 Replies
655 Views
Makamarade nimeona nianzishe huu Uzi ili kupeana uzoefu wa maisha ya Jela. Sisi wote ni wafungwa watarajiwa alijisemeaga magufuli. Sasa hebu tupeane mbinu maisha misamiati tamaduni taratibu za...
21 Reactions
140 Replies
13K Views
Back
Top Bottom