JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nimefanya utafiti wangu kila kona ya Dar es salaam nimeona wazawa wengi wa hili jini wote ni mabandidu wasio na huruma na hawaogopi lolote juu ya swala la pesa, watu wakilala wakiamka wanawaza...
8 Reactions
8 Replies
611 Views
Wanaume wenzangu yani hawa wanawake wakikukosa sehemu ya mapenzi,pesa basi wanatumia vyeo vyao kutusurubisha. Nilipataga mdada mmoja simple na haya yote na mlaumu athumani wangu wa chini kutawala...
5 Reactions
20 Replies
947 Views
Naona sushi kinakuwa overrated lakini mimi sijawahi kukielewa kabisa pamoja na chapati za kusukuma kila mtu ana hype chapati maharage ila mimi sizielewi kabisa.
10 Reactions
203 Replies
9K Views
Kwema jamani? Kuna tabia ninayo na naona kabisa imekua kama addiction yangu.kwa kifupi napenda sana kupiga chabo watu wakiwa faragha,yani huwa nafurahia kuwachungulia watu wakiwa...
3 Reactions
36 Replies
4K Views
MIMI:- Mwalimu, nina swali 🙋🏾‍♂️ MWALIMU:- Ni lipi? 🙄 MIMI:- Unamweka aje tembo ndani ya friji? 😜 MWALIMU:- Sijui 😒 MIMI:- Ni rahisi sana, unafungua friji na kuweka tembo ndani 😁 MWALIMU:-...
5 Reactions
11 Replies
548 Views
Asilimia 90 ya wanama huwa wanadhani hamna kinywaji cha asili kinachoifikia mbege kwa hapa Tanzania mpaka siku wanapofanikiwa kuonja togwa. Japokuwa togwa sio kinywaji namba moja kwa umaarufu...
2 Reactions
10 Replies
487 Views
Monday, November 29, 2010 3:43 AM Mwizi wa nchini Japan ambaye kutokana na kufanya wizi kwa mwaka alikuwa akijiingizia kiasi cha pesa sawa na Tsh. Milioni 540 ametoa...
3 Reactions
51 Replies
10K Views
Tutasalimia muda mwingine hapa twende kwenye hoja. Miaka hii michache kumekuwa na wimbi kubwa la masingo mothers na team kataa ndoa Tatizo liko wapi? Tatizo hili hapa, "nina bodaboda wangu"...
3 Reactions
20 Replies
801 Views
Hili suala sijui ni kwanini yani asilimia kubwa ya wabongo ujinga wana upuuzi since enzi za Nyerere mpaka Karne hii ujinga haujaisha!
3 Reactions
9 Replies
504 Views
Ni mwendo wa kuangalia notifications, Email na SMS tu, kila ukisikia mlio unashtuka
1 Reactions
3 Replies
379 Views
1.Simiyu 2.Geita 3.Shinyanga 4.Mwanza 5.Mbeya 6.Iringa 7.Njombe 8.Ruvuma 9.Lindi 10.Mtwara 11.Manyara 12.Singida 13.Rukwa. 14.Songwe 15.Dodoma
12 Reactions
84 Replies
4K Views
Wadau naona usingizi hauji, nikicheki horror movie, ntapata usingizi?
6 Reactions
98 Replies
2K Views
Wasukuma, Wapemba ,Wangoni, Wanyaki, Wakurya,Wanyiramba,na Wahaya ndo Kabila zinaongoza kwa kuwa na viongozi wengi Serikalini kwa sasa. Nipe maoni yako, Je, sababu ni nini?
7 Reactions
62 Replies
4K Views
Heri ya mwaka mpya wanaJf.Ninaimani mmeupoea mwaka salama ninyi na wapendwa wenu salama.Kwa upande wangu ninamshukuru Mungu kwani amenichagua tena na si kwa kupenda kwangu bali ni katika mapenzi...
11 Reactions
18 Replies
1K Views
Wakuu ninaomba kwa wenye utaalamu wa hivi vitu wanijulishe nataka kifaa cha kuchomea nyama kipi ni bora kati ya hivyo hapo juu? Kwaajili ya matumizi yangu binafsi ya nyumbani.
4 Reactions
15 Replies
856 Views
Halafu unaambiwa lazma wali uliwe (ufunge harusi). Utaenda wapi? Zingatia: Hakuna mambo ya NONE of the above (wala kataa ndoa haipo🚮🚮). NB: Muda mwingine inabidi jichomoe akili kidogo, usiwe...
6 Reactions
46 Replies
2K Views
Najaribu kupita mtaa kwa mtaa, sioni zile pukurushani za mwezi wa kumi na mbili, zile shamra shamra za maandalizi ya sikukuu, nyimbo hazipigwi, sijui tatizo ni nini? Ninachoona tu, ni wazazi...
8 Reactions
33 Replies
1K Views
Yana kina kirefu
7 Reactions
17 Replies
643 Views
Hapo umeelekezwa kibra. Ni tumsalie sala ya mwisho tu. Uzi tayari.
5 Reactions
41 Replies
1K Views
Tajiri huwa haongei sana. inajulikana masikini wana hasira za haraka mno, nahofia nisije kutumia njia ya kawaida tu kumwambia huyu mtu nikashangaa ananipiga kabali. Na vile masikini walivyo na...
13 Reactions
107 Replies
3K Views
Back
Top Bottom