JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kufuatia Uporoto kukuona wa kazi gani ! Mimi kwangu nakuchukulia kama "Mali Kipusa" Husniy kwangu utakua Dhahabu . Husniy utakua Tanzanite . Hii ni OFFER maalumu kwako, njoo mammiy...
2 Reactions
917 Replies
39K Views
Miaka ya nyuma na fikiri hadi sasa Wazazi walipendelea kuwapa watoto wao majina mawili. Moja halisi katika vyeti likitumika hadi shuleni mfano GERVAS jina hili unakuta liltajulikana shuleni tu...
9 Reactions
25 Replies
1K Views
hawa watu nasikia wameanzisha blog yao inaitwa "kwetu pazuri" kwa wale wanaopata ban huwa wanaenda huko
1 Reactions
36 Replies
3K Views
Nilikua natuma picha zangu kawaida tu, na zinaonesha kabisa mimi ni mwanaume ila kilichonitokea ikabidi nifute account, pia nikajifunza Kenya kuna watu mafilauni wa waziwazi. Yani mtu anakutumia...
4 Reactions
57 Replies
2K Views
Wanaume tukutane hapa tujadiliane. Mara nyingi wanaume ndio wamekuwa mstari wa mbele kutoa zawadi kwa wanawake. Lakini ukweli ni kwamb hata wewe unaesoma uzi huu wala haujawahi pewa yamkini...
9 Reactions
92 Replies
2K Views
Hivi wanakukera na wewe huko kiasi gani
2 Reactions
5 Replies
495 Views
Nasikia deni la taifa limefikia tsh. Tilion 97.35 nataka nielekezwe utaratibu wa kulipa deni lote kwa raia wa kawaida, nikiwa mzalendo kwa nchi yetu nahitaji kuilipia serikali yetu ili kuongeza...
0 Reactions
1 Replies
167 Views
Naomba kuelekezwa jinsi ya kutag mtu JF. Asanteni
3 Reactions
663 Replies
44K Views
Habari za muda huu Wana JF Leo katika kukaazangu bila ya kazi nikamua bana kumcheki mpenzi wangu nakumuelezea Hali ya afya yangu ili kumpima atanichukuliaje? Chatting zikawa kama hivi...
7 Reactions
26 Replies
2K Views
Utakasikia: "Masela nina koneksheni ya vidio ikionesha mababu wa Simba wakiwa na mbuzi ndani ya basi sema niliifuta bahati mbaya" "Dah mechi ya Arsenal juzi imenikosesha mkeka wa milioni 20"...
7 Reactions
20 Replies
878 Views
Wakuu habari za kulala. Leo nitatoa siri ambayo wengi imekuwa inawapa shida ya kuwapelekea kusumbuka kukwaruza vocha zao kabla ya kuzijaza tena wakiwa wamezilipia. Mimi nitakuelezeni leo jinsi...
8 Reactions
39 Replies
2K Views
Natamani kuwa na huyu mwanaume kwenye siku ya valentine day,aniambie popote alipo ntamfata kwa gharama zangu,ananikosha sana nyonga zangu,simmalizi nikimfikiria, niitieni anitoe hamu nataka...
3 Reactions
85 Replies
6K Views
Just for 😁😂😀🤣
7 Reactions
23 Replies
1K Views
Habari wanaJF, Leo tunakuja na mchezo mpya unaoitwa “Niongezee Sentensi” – huu ni mchezo wa fikra, ubunifu na mantiki, ambao wa mwisho kabisa tutamtumia mkono wa pongezi. Unaburudisha, unachokoza...
3 Reactions
69 Replies
2K Views
Kudadadadeki! Tumetoka mbali mangi tangu enzi zileeeeeee.... unaogeshwa live.... Mpaka yaani shheenzy zakoooo ukapitia matatizo makubwa sana.... dingi yako alikuwa mmmbaayyyaaaa!! Nakumbuka...
31 Reactions
243 Replies
14K Views
Nimekutana na hii picha kwa kweli nimecheka sana. Na tunaishi wa watu wenye mawazo ya mbali sana. Don't take it serious it's for fun tu 😃
3 Reactions
3 Replies
396 Views
Inakuwaje wakuu Naanza na mimi simu yangu ya gharama ambayo ndio hii nayotumia nilinunua 255k mwaka 2021 Nachoinjoy inakaa sana na chaji, imeniwezesha kuingia mtandaoni na kuchota madini mengi...
4 Reactions
21 Replies
850 Views
Mfano Ray vanny ni kijana wa kuigwa kulingana na mafanikio yake lakini very humble hata ukimuangalia na Izo bnes mtakubaliana na mimi. Msinitukane plz ni maoni yangu tuu.
23 Reactions
391 Replies
38K Views
Wakuu Leo ni ni siku ya Kuzaliwa ADRIAN HILLARY STEPP aliekuwa EATv ambae sasa yupo AZAM Tv two. Hope mnajua ni mdau wetu. Chanzo cha Habari ni AZAM Two na mtoa habari ni yeye mwenyewe kwa...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Ni ng'ombe jike katika familia fulani...huyu ng'ombe alikuwa anakamuliwa maziwa na kuleta riziki kwenye hiyo familia. Mtoto wa kwanza mpaka wa mwisho kwenye hiyo familia alikuzwa na maziwa ya...
2 Reactions
10 Replies
696 Views
Back
Top Bottom