JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Huu ni uzi huru ukiwa na wazo unaloona linafaa Kuwa wazo la siku tupia hapa. ..kijiweni Mfano tuanze na "Kadri unavyozidi kupanua ndivyo watu wananyozidi kutamani"
6 Reactions
100 Replies
31K Views
Kuna matukio nikikumbuka huwa najisikia vibaya, fedheha, pengine na kujicheka ndani yake. Kwamba ndio kujifunza huko. Wakati fulani nafanya kazi za video shooting nilishoot dicumentary ya dada...
2 Reactions
0 Replies
131 Views
Swali gani unachukia kuulizwa?
8 Reactions
111 Replies
2K Views
Habari zenu wana JF, ni id gani ya member wa humu jamvini unayo ikubali zaidi? Mi binafsi nakubali iyi: #Mtoto halali na Hela Sent using Jamii Forums mobile app
7 Reactions
377 Replies
19K Views
Wakuu mko salama humu?. Baada ya kupitia changamoto nyingi za kimaisha,nikaamua kwenda kwa mganga kusafisha nyota.mganga hakua na mengi ya kunifanyia ,zaidi alinipa tu chumvi ya mawe akaniambia...
11 Reactions
35 Replies
3K Views
Soma ujumbe na ufanyie kazi
1 Reactions
5 Replies
167 Views
Deadline ya kunyoa ni kesho ili by valentine uwe umemaliza kujikuna
4 Reactions
53 Replies
599 Views
Sasa mtaanza kumtetea kuwa hio ni briefcase, sijui man purse, lakini kiukweli this is whack!
26 Reactions
114 Replies
2K Views
Nitaanza na hawa dosho12 Vincenzo Jr Upande wa manzi kuna Carleen na leo dada Hawa jamaa wapo active ila sijawah kuona wanafanya ukorofi humu. Wataje wengine🫵
19 Reactions
501 Replies
7K Views
Kuna wakaka wastaarabuuu....yaani mpaka unasema mwenyewe enheeeh. .....huyu ndo mtu. Hata IDs zao tu unaona wapoleeeee. Na wakiandika wanaandika mambo ya maana mpaka unafurahia kuwa JF. wapole...
21 Reactions
193 Replies
5K Views
Mtaniona hivi hivi, mtaniona.
2 Reactions
88 Replies
1K Views
Ukikipenda kitu ni ugonjwa mbaya sana hutasikia la mnadi swala wala la muadhini ni full kudata... Huambiliki.... husikii... Hushikiki... Hukamatiki!!! Ni sawa na ulevi wa bangi, ulevi wa Mpira...
9 Reactions
83 Replies
13K Views
Habari za wakati huu Bila kuchelewa nimerudi kuWASHUKURU KWA MAWAZO NA MICHANGO YENU KWENYE POST YANGU YA MWISHO, NILIPATA MWANGA NA NIKIRI TU HUU MWEZI WA PILI UMEKUWA MZURI KWANGU, KWANI KILA...
1 Reactions
3 Replies
128 Views
Mshana Jr Kuna viumbe vitamu hadi uzeeni shauri yako. UNAWEZA zeeka ukiwa na umbo lako Binti wa zamani uongo Mbaga Jr dronedrake Wazee WA kubeti nyetukeni
11 Reactions
26 Replies
930 Views
Tuacheni maskhara asilimia 80 ya wana JF waliopo Dar hawakosi kufahamu si chini ya gesti 10(nyingine bubu) zilizopo dar na viunga vyake...wengine ni wateja mahiri na wengine wanajua vituko vyake...
2 Reactions
284 Replies
42K Views
Yupi kati yao hasa ungependa kukutana nae? Ungepata nafasi ya kukutana nae ungemwambia nini kuhusu mtandao huu? Nini kiboreshwe zaidi? Nini kipunguzwe? ==== Hakuna mwenye uwezo wa kuingilia...
7 Reactions
146 Replies
5K Views
Habari wanajamii, Naomba kuuliza kwa heshima na busara kuhusu jambo linalonitatiza kidogo moyoni. Kumekuwa na hali ambapo mwanamke anakula chakula bila kumkaribisha mume wake mara kwa mara...
6 Reactions
99 Replies
1K Views
Huyu member kitambo sana sijamuona Jf alikuwa mcheshi na anatoa madini sana sasa sijui kimemkuta nini natamani kujua BICHWA KOMWE - secretarybird alikuwaga demu wake baada ya kumpora kutuka kwa...
11 Reactions
54 Replies
769 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…