Na nyie wenzangu mmeshawahi kukutana na jambo kama hili, yaani mgeni anazua mia sita kweli jamaani yaani ameona soda ni anasa kabisa kitu cha mia sita.
Nimeshangaa sana.
Halafu mwenye hana...
Nilikuwa nausubiri sana huu mwaka 2025 coz ilikuwa Aprili niende abroad kwa masomo ya juu zaidi kwangu. Lakini leo nimepokea taarifa kwamba ufadhili wangu huo umesogezwa mbele ni mpaka mwakani...
Habari.
Juzi nilikuwa kwenye harusi ya ndugu. Wakati wa kupata chakula kuna jamaa alikuwa anakula hatarii alikula sahani saba hadi kamati ya chakula wakakataa kumpa chakula kingine alikuwa bado...
Heri ya mwaka mpya ndugu zangu.Natumaini mmeuanza mwaka salama kwa baraka zake MUNGU mwenyezi.
Nimeona sio mbaya niki share baadhinya nyimbo katika PLAYLIST yangu ya kila siku.
Unaweza kuokota...
Me naanza
1. Xaxa, vp, p, xkul
Hapo Huwa sijibu tena
2. Kuniita boss
Unaniitaje boss wakati sikulipi, hapo najua ni fala
3 Ela za UNICEF umeziona
Hapo sijibu najua hili si fala tu Bali farasi
4...
Jabari zenu wanaJF wenzangu,
Ombi langu kwa mwanaJF mwenzetu hapa jukwaani ndugu Erythrocyte . Mkuu mbona umekuwa kimya sana tofauti na siku za nyuma, tatizo ni nini?
Hebu tuambie kamanda kama...
Anasema bado ajira ni tatizo mtaani licha ya matangazo mengi ya nafasi za kazi.
Bado mashoga wanapigania haki zao kama haki zingine.
Bado watu wananunua upendo, toa pesa upate penzi.
Bado...
Wakuu,
Kama ulikula spana 2024 jirekebishe, acha uchawa, ukupe na umaandazi :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh:
Ukibisha utakula spana tu😹😹.
Happy New Year watu wazuri wa JF, wengine...
Zikiwa zimebaki dakika chache kuuaga mwaka 2024 na kuukaribisha 2025.
Em tumbie mdau wa Jf 2025 unaupokea ukiwa wapi?
Kwa upande wangu huu mwaka nitaupokea nikiwa kwenye basi kutokea Musoma...
Cha kwanza nimeweka mafuta ya 70000 tu yametoka marangu mtoni hadi Dar na bawa 2 zimebaki kwenye geji
V8,Cruiser mkonge tu ndio zilininyanyasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.