JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Na nyie wenzangu mmeshawahi kukutana na jambo kama hili, yaani mgeni anazua mia sita kweli jamaani yaani ameona soda ni anasa kabisa kitu cha mia sita. Nimeshangaa sana. Halafu mwenye hana...
11 Reactions
32 Replies
1K Views
Nilikuwa nausubiri sana huu mwaka 2025 coz ilikuwa Aprili niende abroad kwa masomo ya juu zaidi kwangu. Lakini leo nimepokea taarifa kwamba ufadhili wangu huo umesogezwa mbele ni mpaka mwakani...
5 Reactions
11 Replies
532 Views
Mshukuruni Mungu....enendeni 2025 na moyo mkunjufu. Mwenyezi Mungu akafanikishe kila mlipiganialo maishani. Mkawe na afya, mkastawi. Nawapenda sana.🤞
18 Reactions
53 Replies
1K Views
Habari. Juzi nilikuwa kwenye harusi ya ndugu. Wakati wa kupata chakula kuna jamaa alikuwa anakula hatarii alikula sahani saba hadi kamati ya chakula wakakataa kumpa chakula kingine alikuwa bado...
17 Reactions
73 Replies
2K Views
Bila kushawishiwa na yeyote nimekaa nimeona imetosha Sasa. NAACHA RASMI POMBE ..Sigara niliacha zamani Sana.
16 Reactions
76 Replies
2K Views
Heri ya mwaka mpya ndugu zangu.Natumaini mmeuanza mwaka salama kwa baraka zake MUNGU mwenyezi. Nimeona sio mbaya niki share baadhinya nyimbo katika PLAYLIST yangu ya kila siku. Unaweza kuokota...
1 Reactions
1 Replies
259 Views
Tukiwa tunasubiri kuufikia mwaka mpya (2025), karibu hapa tupige story!
7 Reactions
281 Replies
5K Views
Unakuta joto kama hili hapa jijini Dar es Salaam Ila kuna watu wamekumbatiana mda huu wa usiku Are serious...
11 Reactions
167 Replies
4K Views
Me naanza 1. Xaxa, vp, p, xkul Hapo Huwa sijibu tena 2. Kuniita boss Unaniitaje boss wakati sikulipi, hapo najua ni fala 3 Ela za UNICEF umeziona Hapo sijibu najua hili si fala tu Bali farasi 4...
20 Reactions
68 Replies
2K Views
Jabari zenu wanaJF wenzangu, Ombi langu kwa mwanaJF mwenzetu hapa jukwaani ndugu Erythrocyte . Mkuu mbona umekuwa kimya sana tofauti na siku za nyuma, tatizo ni nini? Hebu tuambie kamanda kama...
3 Reactions
19 Replies
733 Views
Tuliozaliwa 1994 hatuamini kilichotokea usiku leo.😔😔
14 Reactions
26 Replies
1K Views
Happy new year wana JF wote2025
3 Reactions
34 Replies
1K Views
Mbezi ● Kibaha Stendi ● Kwa Mathias ● Misugusugu ● Visiga ● Mlandizi ● Ruvu ● Vigwaza ● Vigwaza Mizani ● Chalinze Chimbadawa ● Msolwa ● Mdaula ● Ubena Zomozi ● Njiapanda Mwidu ● Mikese ●...
13 Reactions
41 Replies
2K Views
Kidumu chama cha mapinduzI Nawatakia hapoye new year Wana CCM wote katika Bwana Mkawe na MWAKA WA furaha na baraka
1 Reactions
1 Replies
258 Views
Tumuimbie Nyimbo Gani Huyo Kijana hapo
1 Reactions
2 Replies
314 Views
N vyema ukauona MWAKA ukiwa kwenye madhabahu ya Mungu Tukutane Kawe kwa Mwamposa Happy New Year in Advance
2 Reactions
14 Replies
605 Views
Anasema bado ajira ni tatizo mtaani licha ya matangazo mengi ya nafasi za kazi. Bado mashoga wanapigania haki zao kama haki zingine. Bado watu wananunua upendo, toa pesa upate penzi. Bado...
3 Reactions
2 Replies
221 Views
Wakuu, Kama ulikula spana 2024 jirekebishe, acha uchawa, ukupe na umaandazi :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh: Ukibisha utakula spana tu😹😹. Happy New Year watu wazuri wa JF, wengine...
5 Reactions
8 Replies
516 Views
Zikiwa zimebaki dakika chache kuuaga mwaka 2024 na kuukaribisha 2025. Em tumbie mdau wa Jf 2025 unaupokea ukiwa wapi? Kwa upande wangu huu mwaka nitaupokea nikiwa kwenye basi kutokea Musoma...
3 Reactions
18 Replies
688 Views
Cha kwanza nimeweka mafuta ya 70000 tu yametoka marangu mtoni hadi Dar na bawa 2 zimebaki kwenye geji V8,Cruiser mkonge tu ndio zilininyanyasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yale...
21 Reactions
88 Replies
3K Views
Back
Top Bottom