Kawa kawaida ndani ya daladala Mbagala, wakati konda akiendelea na zoezi la kuchukua pesa kwa abiria. Kuna kijana akamuibia nauli
mzee mmoja aliyekuwa kasimama kwenye siti za nyuma.
Konda...
Kuna Jamaa alikwenda
kumtembelea mwanamke wake, alipofika nyumbani kwa mwanamke hakupiga hodi, moja kwa moja akaingia mpaka ndani, alipofika ndani akashangaa kuiona picha ya mwanaume mwingine ipo...
Hi Forumers,
Please I’m having an issue with my blog (….blogspot.com). The Google Adsense application on it was running for more than 4 years without any problem.
Nevertheless, I recently saw...
Kuna tofauti kati ya harusi za sasa na zamani,ilikuwa ni shughuli kupata uso wa bibi arusi wakati wa kupiga picha,na alikuwa amenuna,tofauti na sasa bi arusi kichwa wazi hadi mabegani na tabasamu...
nimepita maeneo ya sokoni leo nikakumbuka kubeba vimatunda nyumbani nikafika eneo yamepangwa maparachichi nikakuta wamama wanayauza, kabla sijaanza kuchagua kila mmama,mbinti,mbibi onja ya kwangu...
Wapendwa, wana JF poleni na majukumu, kheri ya mwaka mpya, ongeleni kwa kupataa uongozi mpya kuanzia diwani hadi rais, kiukweli nimekuwa mbali sana na forum hii kwa sababu ambazo sikuweza...
*** Usisome kama una roho nyepesi. ***
ZAIDI YA MIAKA 18!!!
Baada ya zaidi ya miaka 40 ya ndoa, mke na mume walikuwa wamelala kitandani.
Mara tu, mume akaanza kumpapasa mkewe kwa ulaini kama...
Bila shaka mu wazima tu.... Kuna majina ya vijiji yanachekesha sana.. Kuna kijiji kimoja kipo mkoa wa Ruvuma kinaitwa mpitimbi, hili Jina limekaa kimzaha mzaha sana na linachekesha balaa. Hebu...
Jamaa: Mama, unajua nimefikia umri wa kuwa na familia. Huko mjini ninapoishi nimetafuta msichana bikra wa kumuoa sijampata. Kwa hiyo nimekuja huku kijijini unisaidie kutafuta.
Mama: Ukweli...
Mke: Hivi mume wangu, kati ya mimi na house girl unampenda nani?
Mume: (Akajibu kwa sauti ya ukali) Nakupenda wewe mke wangu. Sasa maswali gani hayo ya kipuzi tunaulizana?!
Mke: Nauliza kwa sababu...
Jamaa kafumwa na mke wa mtu, mwenye mke akamwambia, "Chagua moja; unipe nile tigo au nikufumue ubongo?" Jamaa kwa sauti ya unyonge akajibu, "Bro, kula tu tigo yaishe."
Tehe tehe tehe mke wa mtu sumu!
Siku ya kwanza Jamaa kapigiwa simu na mwanamke wake.
Mwanamke: Hi baby!
Jamaa: Hi uko poa mchumba? Mwanamke: Niko poa, baby nilikuwa na shida. Jamaa: Shida gani? Mwanamke: Naomba unitumie laki...
Wakuu,
Kesho jumatano natarajia kwenda Kyela, Mbeya lakini usafiri nitakaoutumia ni pikipiki ya tairi 3 yaani bajaji, na nitapita nayo pale mbugani Mikumi kwa kasi ya roketi, natumaini hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.