JamiiCheck

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

On JF:

Katika chapisho lililopigwa pini kwenye ukurasa wake wa X, Zitto Kabwe ameikosoa vikali CHADEMA kwa kile anachokiita unafiki na kukosekana kwa mfano wa kuigwa. Amedai kuwa ni unafiki kwa viongozi wa chama hicho kuhimiza ususiaji wa uchaguzi huku wakiburuzana mahakamani kuhusu mali za chama. Zitto amehoji iwapo haya ndiyo mabadiliko ya uchaguzi yanayotakiwa na kama kuna jambo la kuigwa katika mwenendo huo. Ametamka wazi kuwa yeye na chama chake hawatasusia uchaguzi, bali wataendelea kupambana kwa ajili ya maslahi ya Watanzania wote.
Waziri wa mambo ya nje wa Cyprus bwana Constantinos Kombos, alitumwa kumwakilisha kamishina wa wambo ya nje katika umoja wa ulaya kuja Tanzania. Moja ya Marengo ya ziara hiyo ilikuwa ni kuangalia jinsi uchaguzi mkuu utakavyofanyika. Ratiba ya awali ilionesha bwana Kombos angeondoka July 10. Lakini cha kustajabisha amehairisha safari Hadi July 15, Ili audhurie kesi ya Lissu. Itakuwa mara ya kwanza Tanzania kiongozi wa umoja wa ulaya kwenda Kisutu kihudhuria kesi ya mtanzania. Waziri wa Mambo ya Nje wa Cyprus, Constantinos Kombos akikutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania Mahmoud Thabit Kombo.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…