MZEE WA UPUPU: Povu la Yanga ni hisia na tatizo la matokeo
Juma lililopita nilikuwa kwenye viunga vya Azam Complex Chamazi, Dar es Salaam kwenye mazoezi ya Namungo FC wakijiandaa na mchezo wao wa...
Ajax vs Young Boys
Dynamo Kyiv vs Villarreal
Roma vs Shakhtar Donetsk
Olympiacos vs Arsenal
Dinamo Zagreb vs Tottenham
Man Utd vs AC Milan
Slavia Prague vs Rangers
Granada vs Molde
Mechi...
Manchester United itacheza na washindi mara saba wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, AC Milan katika hatua ya 16 bora ya Ligi ya Europa.
AC Milan, ambayo inashika nafasi ya pili katika Serie A, bado...
1. Je, kati ya Goli alilofunga Balama Mapinduzi dhidi ya Simba SC na alilofunga jana Jose Miqquissone dhidi ya Al Ahly ni lipi ni Tamu na la Kiufundi ambalo hata Benki ya Dunia ikikudai Mkopo wake...
Kwenye uzi huu tutapata updates za game hiyo inayochezwa leo. Hizo timu zipo group 1 na Timu yetu pendwa Simba SC. Tuombee mechi hii iishe sare ili Simba aendelee kuongoza kundi hilo.
Dk 19...
Salaam,
Naomba kujua iwapo mpira wa kurushwa ukirushwa na kuingia moja kwa moja wavuni kwa timu pinzani bila ya kuguswa na mchezaji yeyote, Je hilo litakuwa ni bao halali?
Na je, ni idadi gani...
Kama taarifa ya TFF inavyojieleza hapo chini.
Game itakuwa tamu sana hii, wabongo tukajivinjari kwa Mkapa siku ya mechi tarehe 28.02.2020 tukiwa na barakoa zetu.
Leo ni mechi ya pili kati ya Namungo na CD de Agosto ambapo katika mechi ya awali CD de Agosto walipokea kichapo cha goli sita kutoka kwa Namungo dhidi ya goli zao mbili. Ushindi wowote kwa CD de...
Takwimu zinaonesha Manchester United imeshinda mechi moja tu kati ya tisa za nyumbani walizocheza dhidi ya timu za Uhispania, wakishindwa kufunga katika mechi mbili.
Mechi moja waliyoshinda...
Baada ya kutoa kichapo cha goli 6-2 katika Dimba la Azam Complex , Namungo hii leo anashuka tena dimbani kumalizia mchezo wa mwisho na De Agosto wa hatua hii ambapo mshindi wa jumla atasonga...
Mohamed Salah ni moja kati ya wachezaji bora Afrika akiwemo Riyad Mahrez, Sadio mane, Aubamayeng, koulibaly, Hakeem Ziyech n.k.
1--Mohamed Salah na Sadio Mane
2--Riyad Mahrez na Aubamayeng...
Kabla ya kuanza kwa msimu huu wa mashindano ya CAF, Tanzania ilikuwa katika nafasi ya 13 Afrika, ikiwa na pointi 14.
Pointi hupatikana kwa klabu kuingia hatua ya makundi.
Kwa ligi ya mabingwa...
Klabu ya CR Belouizdad ya Algeria imependekeza kutumia uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar kwa ajili ya mchezo wao wa klabu bingwa Afrika(Caf Champions League) dhidi ya Mamelodi Sundowns ya...
Simba sasa yaanza kukodisha mashabiki,baada ya mamelod kuomba waungwe mkono ktk mechi yao itakayopigwa dimba la mkapa.
Hakika wanamsimbazi sasa wanatisha.
Najaribu kuwaza kwa sauti jinsi Simba walivyonyimwa penalty na hawakulalamika.
Na si kwa mechi ya jana tu, hata mechi za ligi ya nyumbani, Simba wamekuwa wakichezewa rafu mbaya hasa Miquisonne na...
Klabu ya Simba ya Tanzania imeanzisha mashindano mapya ambayo yatajulikana kama Simba Super Cup, Akizungumza na vyombo vya habari CEO wa timu hiyo Barbara Gonzalez amesema mashindano hayo...
Ukiwa kama shabiki wa soka bila kujali unashabikia timu gani, dondosha maoni yako kuhusu uwezo na kiwango cha beki wa kati wa Simba kutoka Kenya Joash Onyango 'Giorgio Chiellini'
Taarifa zinasema kwamba ajali hiyo imetokea mjini California , huku dereva akiwa yeye mwenyewe ambapo ndani ya gari hilo alikuwa peke yake .
Huenda akafanyiwa upasuaji .
======
Bingwa mara 15...