kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Najaribu kuwaza kwa sauti jinsi Simba walivyonyimwa penalty na hawakulalamika.
Na si kwa mechi ya jana tu, hata mechi za ligi ya nyumbani, Simba wamekuwa wakichezewa rafu mbaya hasa Miquisonne na Morrison tena eneo la 18 lakini waamuzi huwa wanapotezea. Kwa kweli Simba ni timu kubwa na huwa mara nyingi hawalalamiki.
Najiuliza ingekuwa hawa jamaa zetu, je wangetishia kujitoa kwenye mashindano?
Na si kwa mechi ya jana tu, hata mechi za ligi ya nyumbani, Simba wamekuwa wakichezewa rafu mbaya hasa Miquisonne na Morrison tena eneo la 18 lakini waamuzi huwa wanapotezea. Kwa kweli Simba ni timu kubwa na huwa mara nyingi hawalalamiki.
Najiuliza ingekuwa hawa jamaa zetu, je wangetishia kujitoa kwenye mashindano?