Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Hamtaki kusema ukweli hii ndio timu Bora duniani imagine imecheza games 3 kubwa wiki Moja na imepata point 7 muhimu gunner to the world
1 Reactions
6 Replies
387 Views
Magoli mchezaji aliyempigania na anakula nae ni Joshua Mutale budo. Lazima aanze piga ua. Na Fadlu kuondoka tu kawashika wasouth wawili. Za ndani kabisa.(kwa mujibu wa za ndani kabisa) Mpanzu ni...
3 Reactions
10 Replies
551 Views
Klabu ya Manchester United imeamua kuendelea kubaki na Erik ten Hag na tayari mazungumzo ya mkataba mpya yameanza na Kocha huyo ambaye iliaminika atafukuzwa kazi kutokana na kufanya vibaya katika...
1 Reactions
2 Replies
840 Views
Nimemnukuu msemaji wa simba ambaye uwa namuweka kwenye kundi la comedian aliwai kusema Kuna katimu kazi yake ni kugawa utamu tu kwenye kundi lake! Maneno hayo alikuwa anailenga yanga kabla...
4 Reactions
1 Replies
344 Views
Mwenye macho aambiwi tizama, na mwenye masikio anasikia, hivyo ndivyo unavyoweza kusema juu ya mabingwa wa kihistoria nchini Tanzania Yanga! Siku zote form uwa inakuja na kupotea lakini class uwa...
0 Reactions
2 Replies
338 Views
  • Poll Poll
Kama naona Mpanzu, anavyo futa makosa leo, ataimbwa sana Trust me
0 Reactions
32 Replies
897 Views
Sasa mtanielewa kwa haya Matokeo na hapo bado. Siyo kila Mchezaji anafaa kuwa Nahodha na kubalini kuwa kuna Watu wana Nyota ya Mafanikio na Nyota za Nuksi na kwa Mtaalam kama Mimi nilishaiona Siku...
0 Reactions
9 Replies
454 Views
Kampuni ya Konami Digital Entertainment LTD, imefurahi kutangazwa Kwa Game ya EFOOTBALL imeshinda Kategoria ya "Best ongoing category" kwenye soko la Play store Kwa mwaka 2025. Kila mwaka...
2 Reactions
10 Replies
688 Views
Ahueni kwa Simba SC katika haya Mashindano ya CAFCL ni kushinda Mechi yake ijayo ili kurejesha Saikolojia ya Wachezaji kuelekea Mechi zingine Nne (4) zitakazosalia. Ila kwa tunaojua Mpira hasa...
3 Reactions
30 Replies
1K Views
Naomba sana kwa mungu hili timu lifungwe limekosa utu mashabiki zake wameuwawa kinyama hata kupost tu halijapost salamu za rambi rambi haya matimu simba na yanga Mimi nayachukia sana Kwa...
6 Reactions
16 Replies
466 Views
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania, Wallace Karia amesema kuwa amefurahishwa zaidi na bao la Clement Mzize lililoshinda Tuzo ya Bao Bora Afrika mwaka huu kuliko lile la nyota wa zamani...
1 Reactions
7 Replies
472 Views
Nyota wa Wydad AC, Stephane Aziz Ki amekimbizwa hospitalini Mjini Zanzibar baada ya Mchezo dhidi ya Azam FC wa Kombe la Shirikisho hatua ya Makundi, huku ikiripotiwa kuwa hali yake ni mbaya. Aziz...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Rais wa klabu ya Azam Nassor Idrissa Leo Novemba 29 ameshinda nafasi ya mwenyekiti wa bodi ya ligi TPLB baada ya kumshinda Mwenyekiti wa Namungo CPA Hosea Lugano. Nassor Idrissa ameshinda nafasi...
3 Reactions
4 Replies
253 Views
Haji Manara aka Haji Matrophy . Shareef El Buggati. Shareef Makombe. Shareef Makarama. Yanga itapaa kwa viwango vya juu sana. INJINIA na Haji sasa mambo powa. Alichokisema Haji ni kwamba...
6 Reactions
58 Replies
3K Views
“ Kuna watu wanajiona bila wao baadhi ya Mambo ndani ya Simba hayawezi kwenda nadhani wanatatizo la afya ya akili . Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi Simba Sc Crescentius Mgori, akizungumza...
3 Reactions
8 Replies
758 Views
Kabla Mods hamjakimbilia Kuushusha Uzi naomba msome kwanza , muangalie na Source ya habari Hii , naweka Link. Aliyekuwa Mwenyekiti wa Simba msimu wa mwaka 2020/2021 , Bwana Muhina Kaduguda ametoa...
11 Reactions
42 Replies
3K Views
Taarifa kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) inaufahamisha umma wa watanzania kuwa hafla iliyokuwa ifanyike Desemba 05 imeahirishwa 'kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wao'...
3 Reactions
32 Replies
1K Views
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Leo Novemba 26 limeufungia Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga kutumika kwenye michezo ya Ligi kutokana na kukosa vigezo vya kikanuni na kisheria...
1 Reactions
3 Replies
271 Views
Nimetulia kuwafanyia Tathmini ya Kina na niseme tu huenda Jumapili tukafungwa nao au kutoka nao Sare / Suluhu.
3 Reactions
16 Replies
924 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…