Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

ALISIKIKA MLEVI MMOJA SHABIKI WA SIMBA RAHIM SAID AKA DK MANGUNGU KIJANA BAADA YA MECHI ALISEMA KWA UWEZA WA ALLAH TUTAFIKA ROBO TUKAULIZA YA SUKARI YA MCHELE YAKAANZA MATUSI ILA HATIMAE...
1 Reactions
6 Replies
222 Views
Huu ujinga ni aibu sana kwa watu waliostaarabika. Wanawaogopa au ni nini?
2 Reactions
8 Replies
289 Views
GAZETI LA MWANASPOT SIMBA YAWEKA REKODI MPYA YA VIPIGO CAF TANGU ...... HATA HIVYO WANACHAMA WAMESEMA WAFANYE WAFANYAVYO WAO WANAITAKA ROBO FINALI 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 NAPITATU
2 Reactions
8 Replies
369 Views
  • Closed
Fas Rabat kayakanyaga huko Ft 0-0 Yanga kazi kwenu Mshindwe wenyewe amani
3 Reactions
3 Replies
312 Views
AL Ahly vs Yanga Leo Saa moja usiku kwa saa za Afrika Mashariki Afrika itasimama yote kupisha mtanange mkubwa zaidi kati ya Al Ahly SC na Yanga SC Kaa nami katika Uzi huu kwa update zaidi Kikosi...
16 Reactions
384 Replies
7K Views
Nadhani Morocco kuna kitu wajifunze. Jamaa pengine ile kubebwa iliwafanya wachukiwe na watu wengi. Hadi nchi za Kiarabu nyingine zilifurahia tukio hili.
8 Reactions
15 Replies
625 Views
The Oval Windhoek, Namibia West Indies vs Tanzania highlights ll world cup 2026 highlights Mori umepanda juu katika timu ya Tanzania, mashindano ya Kombe la kwanza la Dunia Cricket la #U19...
1 Reactions
1 Replies
140 Views
CAF imesema tabia hiyo ni “unacceptable behaviour”. Thiaw atasimamishwa (suspension), idadi ya mechi bado haijatangazwa. CAF inachunguza video zote, na kuna uwezekano wa adhabu zaidi kwa maofisa...
2 Reactions
8 Replies
556 Views
Klabu ya Simba SC imemrejesha rasmi kiungo wake wa zamani, Clatous Chama, akitokea klabu ya Singida Black Stars. Hii ni mara ya tatu kwa Chama kujiunga na wekundu wa Msimbazi, baada ya awali...
2 Reactions
15 Replies
917 Views
Asilimia kubwa ya Mashabiki wa Simba wamekuwa na Mihemko ya kukosoa na kuona kila kitu kinachofanywa na uongozi ni kibaya,hivyo wao kila kitu ni kulalamika tu,wakijazwa upepo na mashabiki wa...
8 Reactions
41 Replies
750 Views
Hii ni kumaanisha kwamba, jamaa atagombea tena. Hongera sana genius Mangungu, tunakutegemea.
5 Reactions
16 Replies
415 Views
SISEMI KWA UBAYA, nauliza tu. Kuna picha zinazotrend: wachezaji wa Senegal wakiwa na mama zao wameshika bendera. Haitoshi, hadi tuzo ya Ballon d’Or, Hakimi kaenda na mama yake. Hata Dembélé yuko...
3 Reactions
48 Replies
813 Views
  • Redirect
Yanga kipindi cha kwanza ukitoa dakika chache za mwanzo walikuwa vizuri sana wamecheza mpira mzuri sana. Israh alizembea kuruka inatakiwa wampe adabu ya kufua jezi , mafarao wanapata bao kutokana...
1 Reactions
Replies
Views
Dah hii Al Ahly ya Sudan ya Libya Yaan nilifikia uamuzi wa kusema wakizingua kama afcon tutoke uwanjan Ila.kwa mpira huu tutakufa nao
1 Reactions
3 Replies
209 Views
Wikiendi hii, mashabiki wa soka wanatarajiwa kushuhudia burudani ya kiwango cha juu kutoka viwanja mbalimbali duniani, huku mechi kubwa zikipamba ratiba, ikiongozwa na Manchester Derby huko...
3 Reactions
0 Replies
587 Views
Katika Hali isiyokua ya kawaida baada ya mbinu zao chafu kufeli ama ushindi wa mezani kufeli, Sasa hasira zao wanazimalizia kwa mashabiki na wageni waliokuja ama walikuepo nchini humo kwa ajili ya...
9 Reactions
39 Replies
879 Views
  • Redirect
Match Day Al Ahly vs Young Africans 🏆 CAF Champions League 📆 23rd January, 2026 🏟️ Borg El Arab 🕰️ 🇪🇬 6pm | 🇹🇿 7:00pm #TimuYaWananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko
0 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom