ALISIKIKA MLEVI MMOJA SHABIKI WA SIMBA RAHIM SAID AKA DK MANGUNGU
KIJANA BAADA YA MECHI ALISEMA KWA UWEZA WA ALLAH TUTAFIKA ROBO
TUKAULIZA YA SUKARI YA MCHELE
YAKAANZA MATUSI ILA HATIMAE...
GAZETI LA MWANASPOT
SIMBA YAWEKA REKODI MPYA YA VIPIGO CAF TANGU ......
HATA HIVYO WANACHAMA WAMESEMA WAFANYE WAFANYAVYO WAO WANAITAKA ROBO FINALI
😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 NAPITATU
AL Ahly vs Yanga Leo Saa moja usiku kwa saa za Afrika Mashariki Afrika itasimama yote kupisha mtanange mkubwa zaidi kati ya Al Ahly SC na Yanga SC Kaa nami katika Uzi huu kwa update zaidi
Kikosi...
Nadhani Morocco kuna kitu wajifunze. Jamaa pengine ile kubebwa iliwafanya wachukiwe na watu wengi. Hadi nchi za Kiarabu nyingine zilifurahia tukio hili.
The Oval
Windhoek, Namibia
West Indies vs Tanzania highlights ll world cup 2026 highlights
Mori umepanda juu katika timu ya Tanzania, mashindano ya Kombe la kwanza la Dunia Cricket la #U19...
CAF imesema tabia hiyo ni “unacceptable behaviour”.
Thiaw atasimamishwa (suspension), idadi ya mechi bado haijatangazwa.
CAF inachunguza video zote, na kuna uwezekano wa adhabu zaidi kwa maofisa...
Klabu ya Simba SC imemrejesha rasmi kiungo wake wa zamani, Clatous Chama, akitokea klabu ya Singida Black Stars. Hii ni mara ya tatu kwa Chama kujiunga na wekundu wa Msimbazi, baada ya awali...
Asilimia kubwa ya Mashabiki wa Simba wamekuwa na Mihemko ya kukosoa na kuona kila kitu kinachofanywa na uongozi ni kibaya,hivyo wao kila kitu ni kulalamika tu,wakijazwa upepo na mashabiki wa...
SISEMI KWA UBAYA, nauliza tu.
Kuna picha zinazotrend: wachezaji wa Senegal wakiwa na mama zao wameshika bendera.
Haitoshi, hadi tuzo ya Ballon d’Or, Hakimi kaenda na mama yake.
Hata Dembélé yuko...
Yanga kipindi cha kwanza ukitoa dakika chache za mwanzo walikuwa vizuri sana wamecheza mpira mzuri sana.
Israh alizembea kuruka inatakiwa wampe adabu ya kufua jezi , mafarao wanapata bao kutokana...
Wikiendi hii, mashabiki wa soka wanatarajiwa kushuhudia burudani ya kiwango cha juu kutoka viwanja mbalimbali duniani, huku mechi kubwa zikipamba ratiba, ikiongozwa na Manchester Derby huko...
Katika Hali isiyokua ya kawaida baada ya mbinu zao chafu kufeli ama ushindi wa mezani kufeli, Sasa hasira zao wanazimalizia kwa mashabiki na wageni waliokuja ama walikuepo nchini humo kwa ajili ya...
Match Day
Al Ahly vs Young Africans
🏆 CAF Champions League
📆 23rd January, 2026
🏟️ Borg El Arab
🕰️ 🇪🇬 6pm | 🇹🇿 7:00pm
#TimuYaWananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.