Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

AHSANTEN KWA KUTUNYOOSHA MMEJUA KUTUNYONGOROSHAAA AZAAAWAISIII. TURUDN TUJE KUKAMILISHA RATIBAAAAA ALWAYS NXTYM NEVER GV UP
2 Reactions
8 Replies
381 Views
PROJECT PROPOSAL YA KITAIFA **KAMPENI YA KITAIFA: “TUINUE VIPAJI KWA TAIFA LETU NA MAENDELEO YETU”** Wizara Husika: Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1...
0 Reactions
1 Replies
244 Views
  • Redirect
My Take Anaendeleza mafanikio ya alipoishia mwaka Jana. https://www.instagram.com/reel/DUi4pEgDH06/?igsh=NW9rMXY2bHMzc3Fi
0 Reactions
Replies
Views
Heshima kwako Mohammed Dewji Pole na majukumu ya kuijenga Simba SC. Ili Simba irejee kwenye utawala wa soka la Afrika na Ligi ya NBC, nimefanya uchambuzi wa kina (Squad Audit) kufuatia matokeo ya...
7 Reactions
23 Replies
717 Views
Shirikisho la soka nchini Tanzania (TFF) leo limetoa orodha ya mawakala 12 wa wachezaji waliofaulu na kupata leseni ya kufanya shughuli za uwakala wa wachezaji ya Shirikisho la soka duniani...
4 Reactions
35 Replies
2K Views
CAFCL GROUP STAGE : Young African SC vs Al Ahly//Amaan complex Zanzibar 31.01.2026// 10:00 Jioni.
10 Reactions
170 Replies
4K Views
Mashabiki wa soka wanatarajia michezo ya kusisimua wikiendi hii, ambapo EPL itakuwa na pambano la kuvutia. Arsenal itakutana na Sunderland baada ya sare ya bao 2-2 katika mechi ya kwanza...
5 Reactions
10 Replies
562 Views
This Carrick Ball might earn United the EPL Trophy 🏆 😂 this season...
3 Reactions
7 Replies
191 Views
Kwako boss Mo, Toka hapo DUBAI haraka na mzigo wa kutosha nenda pale mali kwenye club ya Stade malien,, ulizia mchezaji anaitwa lassine kouma ulizia bei then sajili chap usiombe negotiations...
6 Reactions
61 Replies
5K Views
Simba SC inakutana na Petro Atlético katika mchezo wa Kundi D la Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF CL) unaopigwa Jioni leo Februari 7, 2026, kwenye uwanja wa Estádio 11 de Novembro. Mechi ya...
7 Reactions
60 Replies
2K Views
Kijana wa Kitanzania, Joseph Jr Michael (JJ), amepiga hatua kubwa baada ya kusajiliwa na klabu ya Celta Vigo nchini Hispania kwenye timu ya vijana (Juvenil B) kupitia dirisha dogo la usajili la...
4 Reactions
8 Replies
491 Views
https://youtube.com/shorts/tOJxCv3CcT0?si=xSS3Qrohs5htvSKG Japo Kwenye mechi ya leo Mangungu hana kosa lolote, ila polisi wangeacha kidogo ale mitama
7 Reactions
35 Replies
900 Views
AFCON 2027 Nitashangaa sana kuona CAF inaicha Tanzania kuwa mwenyeji wa AFCON 2027 baada ya yote yaliyotokea Nashauri CAF waiondoe Tanzania mapema kabisa katika nchi mwenyeji wa AFCON 2027
5 Reactions
6 Replies
476 Views
Sitajihusisha tena na mpira kwa kipindi cha miaka 10
11 Reactions
69 Replies
1K Views
Ona mfano huyu kwa 20K amepata 90 million hapa ashakuwa milionea tayari
9 Reactions
80 Replies
2K Views
Kabla ya kutangaza tender ya nani atafadhili uwanja wao na namna ya kugawana mapato ya uwanja na mwekezaji walipaswa kuwa BOQ ya uwanja na aina ya biashara zinazotakiwa kuwepo na namna mfadhili...
3 Reactions
25 Replies
785 Views
HAWA WATU WASALITU SANA MSIKIE I APA ANASEMA I LIKE ESPER KHA SIJUI N KIINGEREZA SHIDA AMA ALIMAANISHA
1 Reactions
6 Replies
307 Views
Hao waliosimama ni lothar mathaus na dunga Mimi: Mathaus Keane Makelele
7 Reactions
51 Replies
955 Views
Mchezaji gani hapa Tanzania anapewa Heshima kubwa ila uwezo wake ni wa kawaida sana !
4 Reactions
38 Replies
1K Views
🟩🟨[emoji834]Wanatumia hela zao kwenda kucheza michuano ambayo hawamo. Hakika kuna watu wanatumia hela vibaya[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Bora makolo wangekacha...
3 Reactions
13 Replies
415 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…