PROJECT PROPOSAL YA KITAIFA
**KAMPENI YA KITAIFA:
“TUINUE VIPAJI KWA TAIFA LETU NA MAENDELEO YETU”**
Wizara Husika:
Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
1...
Heshima kwako Mohammed Dewji
Pole na majukumu ya kuijenga Simba SC. Ili Simba irejee kwenye utawala wa soka la Afrika na Ligi ya NBC, nimefanya uchambuzi wa kina (Squad Audit) kufuatia matokeo ya...
Shirikisho la soka nchini Tanzania (TFF) leo limetoa orodha ya mawakala 12 wa wachezaji waliofaulu na kupata leseni ya kufanya shughuli za uwakala wa wachezaji ya Shirikisho la soka duniani...
Mashabiki wa soka wanatarajia michezo ya kusisimua wikiendi hii, ambapo EPL itakuwa na pambano la kuvutia. Arsenal itakutana na Sunderland baada ya sare ya bao 2-2 katika mechi ya kwanza...
Kwako boss Mo,
Toka hapo DUBAI haraka na mzigo wa kutosha nenda pale mali kwenye club ya Stade malien,, ulizia mchezaji anaitwa lassine kouma ulizia bei then sajili chap usiombe negotiations...
Simba SC inakutana na Petro Atlético katika mchezo wa Kundi D la Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF CL) unaopigwa Jioni leo Februari 7, 2026, kwenye uwanja wa Estádio 11 de Novembro. Mechi ya...
Kijana wa Kitanzania, Joseph Jr Michael (JJ), amepiga hatua kubwa baada ya kusajiliwa na klabu ya Celta Vigo nchini Hispania kwenye timu ya vijana (Juvenil B) kupitia dirisha dogo la usajili la...
AFCON 2027
Nitashangaa sana kuona CAF inaicha Tanzania kuwa mwenyeji wa AFCON 2027 baada ya yote yaliyotokea
Nashauri CAF waiondoe Tanzania mapema kabisa katika nchi mwenyeji wa AFCON 2027
Kabla ya kutangaza tender ya nani atafadhili uwanja wao na namna ya kugawana mapato ya uwanja na mwekezaji walipaswa kuwa BOQ ya uwanja na aina ya biashara zinazotakiwa kuwepo na namna mfadhili...
🟩🟨[emoji834]Wanatumia hela zao kwenda kucheza michuano ambayo hawamo. Hakika kuna watu wanatumia hela vibaya[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Bora makolo wangekacha...