Baada ya Sisco kushindikana katika madraft Tanzania nzima , leo saa 5 usiku Kuna pambano
EXCLUSIVE
Timu: Mkulima Vs Sisco(Confirmed )
Mdhamini: Boss Java
Zawadi: 60,000 (Sisco anatakiwa azuie...
Game itakuwa ngumu kipindi cha kwanza cha pili yanga watatawala mpakamwisho
ushauri yanga washambulie mwanzo mwisho wasijilinde
2-1
2-0
1-0
all d best yanga
Anasema mchezaji mmoja wa Mashujaa ambaye ni mmoja ya Walinzi. Masaa kadhaa kabla ya kucheza na Yanga walikuwa wamekutana na uongozi wa wao na wa Yanga.
GSM aliingia ufadhili nao na hivyo baada...
Yanga tuna akili. Ule uwanja wa Mkapa tuliuenyea. Simba hawezi pata matokeo Chanya na baada ya kuunyea tukahamia Zanzibar.
Tulihamia Zanzibar sababu Uwanja wa Mkapa tumeuharibu. Haufai hata...
Katika Ziara ya Kikazi ya Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer chini China alipokutana na Mwenyeji wake Rais wa China Xi Jinping amempa Mpira Uliotumika kwenye Mechi ya Ligi kuu kati ya Arsenal...
Ni furaha yangu kuona timu ambazo hazithamini damu za mashabiki wao waliouawa kwenye mauaji ya kimbari ya mwishoni mwa mwezi Oktoba zikifingwa.
Hamna timu ilituma salamu za rambirambi kwa...
GT
Habari ndiyo hiyo kwisha kabisa. Vibanda umiza kwa sasa wanapitia wakti mgumu sana mapato ya uwanjani hakuna TFF mtakula nyasi hadi mkome.
Hata kwa mechiza ulaya.watu hawana interest hata...
Mechi kali Wikiendi hii Januari 31 na Februari 1, 2026
Jumamosi
Leeds Vs Arsenal- Saa 12:00 Jioni ( Elland Road)
Chelsea Vs West Ham -saa 2:30 Usiku ( Stamford Bridge)
Liverpool Vs Newcastle-...
A public clash between Uganda' s Football president (FUFA) Engineer Moses Magogo and Sports Minister Peter Ogwang over AFCON 2027 budgeting has exposed a deeper power struggle in Uganda’s sports...
Last night’s Champions League fixture will go down as one of the most dramatic -and controversial -nights in modern European football as one of the European Giants Real Madrid fails to go through...
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limetoa adhabu kali na zisizo za kawaida dhidi ya Senegal na Morocco kufuatia ukiukwaji wa nidhamu uliotokea katika fainali ya AFCON 2025. Senegal imepigwa faini ya...
Wakuu wa hili jukwaa, haswa wale wakongwe katika soka, mje mtujuze nani alikuwa bora haswaa katika eneo la golikipa kati ya golikipa wa zamani wa Yanga na Taifa Stars Peter Manyika na mlinda...
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeufungia uwanja wa KMC, Dar es Salaam kutokana na miundombinu ya uwanja huo kutokidhi vigezo vya kikanuni na sheria za mpira wa miguu.
Si shabiki wa ligi hii ya hapa nchini ila naishi na watazamaji wa hiyo ligi.
Kila ikifika mechi za timu ndogo hakuna watangazaji ila Simba ama Yanga wakiwepo hapo wapo sasa kuna maana ipi ya...
Ngojeni leo niwasanueni Mashabiki Wapumbavu na Washamba wa Timu yangu pendwa ya Simba SC kwa msilolijua. Ukweli ni kwamba huu Usajili wa mfululizo mnaouona unafanywa / umefanyika ni wa Kimkakati...
Kipa wa zamani wa timu ya Taifa Tanzania (Taifa Stars) na Young Africans , Peter Manyika amefariki dunia leo Alfajiri katika Hospital ya St. Monica ya Jijini Dar es Salaam.
Manyika aliyewahi...
Times Fm ni redio ya michezo siku nzima, sasa katika hali isiyo ya kawaida leo wanapiga kile kibao cha Ubongo Kids kinachokwenda kwa jina la "Sifuri ni nini".
Huu wimbo mbona hauhusiani na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.