Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Ingekuwa ni ajabu sana kwa Nchi iliyojaa madimbwi ya damu kwa timu zake kufuzu, Hicho kilichotokea ndio halali Yake Asante Mungu kwa kusikia kilio cha Wananchi, Amen.
23 Reactions
47 Replies
1K Views
Uongozi wa Yanga ujitafakari, na utafakari tena, mashindanyo makubwa kama haya unapeleka tanzania bara, huko zanzibar, unaacha watu mamilion washangiliaji hapa, mjitafakari, msipoangalia mtaweka...
6 Reactions
15 Replies
414 Views
Mume akiwa na UKIMWI na akamuambukiza UKIMWI Mkewe kamwe usitegemee Mume akifa na Mke nae hatokufa nao.
1 Reactions
2 Replies
177 Views
Hii ni kwa sababu huko ina mashabiki wengi kuliko Tanganyika na inashangiliwa sana. Kingine ni kwamba ina bahati sana na Zanzibar inashinda sana huko Ina wachezaji kadhaa Wazanzibar na hata Mama...
5 Reactions
7 Replies
244 Views
Natoa onyo kwa Mamlaka zitakazoruhusu kuingiza siasa kwenye mechi za Simba na Yanga dhidi ya Wapinzani wao kuacha kufikiria jambo hilo. Hatutarajii kwenye uwanja wa Mkapa kuona mabango ya...
13 Reactions
19 Replies
1K Views
Tangu tarehe 29.10.2025 ,Tanzania ilipata doa ,nchi ilichafuka ,Taifa limelaaniwa. Hatuwezi kupata chochote kama Taifa tuka toboa .Iwe mpira, muziki ,biashara na uwekezaji . Tunahitaji toba ya...
12 Reactions
27 Replies
839 Views
  • Featured
--- Kujiamini na matarajio vinaendelea kuongezeka kuelekea Kombe la Mataifa ya Afrika 2027 (AFCON), huku Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) likijaribu kuzima tetesi zinazoongezeka kuhusu...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Vyura wamerudi matopeni. Red black Vincenzo Jr Mbaga Jr, what's up!
6 Reactions
22 Replies
400 Views
Timu ya Azam FC imekamilisha Michezo ya Hatua ya Makundi ya Kombe la Shirikisho kwa kufungwa Magoli 2-0 dhidi ya Wydad AC ya Morocco na hivyo kukwama kuingia Hatua ya Robo Fainali kwa kuwa...
0 Reactions
2 Replies
186 Views
BABA MTUMISHI ZA ASBH KWANZA NAJUA HAIJAFIKA INAKARIBIA NIMEONA SEHEMU VIJANA MUAMKE.MAOMBI YA USIKU MAISHA YAMEKUWA MAFUPI SANA TUMJUE MUNGU AMEN KUONGEZEA USIKU WA LEO KAMA UJALA MASHABIKI WA...
1 Reactions
2 Replies
179 Views
Uganda’s political landscape is shifting once again after Persis Namuganza, the State Minister for Lands, Housing and Urban Development (Housing), officially joins the race for Speaker of...
2 Reactions
2 Replies
149 Views
Hii hapa mechi ya kukamilisha ratiba kwa Simba SC dhidi ya Stade Malien kutoka Mali, ambao tayari wameshafuzu hatua ya Robo Fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika (CAFCL) katika...
3 Reactions
58 Replies
1K Views
Kwa heshima na taadhwima wakubwa kwa wadogo napenda kuwaarifu kua endapo mtu au watu watataka nyumba za faraghq na sio hoteli kwa kipindi hiki cha CHAN kwa Zanzibar anitafute utakodishwa kwa bei...
5 Reactions
25 Replies
885 Views
  • Redirect
Yanga inakutana na JS Kabylie kwenye mechi ya CAF Champions League, Group Stage, itakayofanyika kwenye uwanja wa New Amani, Zanzibar, leo Februari 15, 2026 kuanzia 1:00 usiku.
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Habari za asubuhi Gamblers. Nimeshitushwa na ukubwa wa Odd aliyowekewa Yanga kushinda leo na Js Kabylie..... Wakati bookmarkers wengine wameteremsha odd ya Yanga kushinda leo kutoka 1.35 hadi 1.38...
2 Reactions
Replies
Views
HAKIKA WEMA NA FADHILI ZITANIFWATA....AMEN SHIKAMOO MHINDI
2 Reactions
37 Replies
631 Views
Wakuu Mimi ni mkali wa correct scores kwenye mikeka hata ofsini kwangu wananiita Messi wa mikeka Toka huu mwezi uanze Kuna intuition imekaa ndani yangu ikiniambia kuwa Arsenal atabeba ubingwa...
4 Reactions
11 Replies
431 Views
Aziz K Atajwa Kurejea Yanga Baada ya Haya Kutokea Kwa Waarabu. Makala hii inachambua hali ya wachezaji wa Yanga SC wanapojaribu kutafuta mafanikio katika ligi za Kiarabu, kwa kuangazia mfano wa...
3 Reactions
19 Replies
1K Views
Tanzania Benjamin Mkapa Stadium (Dar es Salaam) Ujazo: 60,000 Gharama: $90M (Initial Construction), $12M (Renovations) Maendeleo: Renovations finalizing Vyanzo: IPP Media...
4 Reactions
9 Replies
761 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…